Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Mimi ni mkristo wa kanisa Lutheran. Sioni tatizo kwenye huo wimbo. Ukiambiwa usanii,zile ni tungo kwa hiyo kuna sehemu ili kufupisha au kurahisisha mashairi unaweka vifupisho ili kufanya wimbo ueleweke.

Ninachokiona hapo ni ile ile hali ya Diamond kuwindwa na wenye chuki tu
Huoni tatizo?
Wale wote waislam,kwann wasifanyie msikitini?
 
Mbona hua hatanii tanii uislam hata kidogo.Siku 1 aimbe Basi nasafisha mtaro sijui nini halafu amalizie kwa kusema Takbiiiir,tuone reaction ya waislam itakuaje.
[emoji16][emoji16],ila jamaa hakua na nia mbaya,, msikitini wanawake hawaimbi kaswida kama kwaya,, mfumo ni tofauti,,
Watoto wa madrasa sana sana ndo huimba,, na sio wakati wa ibada,
Msikitini watu wanaingia na simu na ikiita kwa vibration, sio sauti,, huwezi pokelea ndani, inabidi kama hauswali, utoke nje,, kama uko katikati ya swala huwezi kujishughulisha nayo hadi umalize
 
Aanzie msikitini aonekane akiswali then video iendelee yupo club na zuchu na vichupi wakinywa hennesy
Ukristo haujazuia kunywa pombe ila usizidishe tu,,
Ukristo haujazuia minskirt[emoji2372]
 
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha.

Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo mzuri katika muktadha wa burudani.

Ukakasi unakuja katika video ya wimbo huu. Kile kinachoonekana katika sekunde za mwanzo za wimbo huu ni dharau na kejeli kwa ukristo, na zaidi kwa kwaya ya Mt Kizito Makuburi.

Uongozi wa Kwaya ya Mt Kizito, Mwenyekiti, chukueni hatua za kisheria dhidi ya hawa watu, hatuwezi kuruhusu wimbo wetu wa YESU NI MWEMA kutumika kuinajisi imani, na katika hili hakuna kumuachia MUNGU. Chukueni hatua, shitakini huyu mtu kwa kutumia maudhui ya wimbo bila ridhaa ya kwaya, shitakini huyu mtu kwa kukashifu imani ya wengine.

Dharau dhidi ya imani nyingine sio mara ya kwanza kufanywa na huyu Bwana. Miaka kadhaa nyuma alishawahi kutoa wimbo kwa jina 'Hallelujah' huku wimbo huo ukisifia mambo ya kiasherati.

Kwa kuwa hawa wawili, Diamond na Zuchu wote ni waislamu, na kwa kuwa misikiti ipo mingi tu, kiliwashinda nini kuigiza Zuchu yupo msikitini anaimba Qaswida na diamond yupo club anampigia Zuchu simu kisha huyu bint anaacha Qaswida na kumfata Diamond waanze kutongozana?

Hizi ni dharau na dhihaka kwa wakristo! Kwamba bint mcha Mungu anathamini zaidi uasherati, anaacha kuimba kwaya anakimbilia uhuni, stupid!

Kumnyamazia kimya sio sahihi, he needs to be taught a lesson, mbona nyimbo zake ni nzuri tu bila kuingiza vikorombwezo vya dharau na dhihaka dhidi ya imani nyingine?

Haya anayoyafanya kwa imani ya kikristo anaweza kuthubutu kuifanyia imani yake islam?


#AchaDharau
Angalia hiyo ngoma.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu jiulize ingekuwa Wakristu wawili, wanaigiza wanapigiana simu mmoja yupo msikitini, anatoka anaanza kutongozwa hali ingekuwaje? Embu tuendelee kuheshimu imani za watu wengine hata kama kwa imani zetu tunaafikiri wanatenda makosa, tuwaache na makosa yao kwa kuwa hayaingilii uhuru wetu.Lakini tusifanye jambo lolote la kuonyesha kuwa imani ya mwenzako ni dhaifu

Walikuwa na uwezo kabisa kipande hicho, wakafanyia msikitini kwa kuwa wote ni waislam, na Tanzania miskiti ipo kila mtaa na huyo binti angeitwa akiwa anaimba qaswida, isingeleta shombo yoyote
Msikitini hawaimbi mkuu
 
Bint, mkristo, katika mazoezi ya kwaya ya kumsifu Mungu anaona simu ya mhuni, anatoka kuipokea anapigwa vocal, anaona kwaya upuuzi analala mbele kwa muhuni wake.

Kwamba masifu kwa Mungu hayana uzito kwa ukristo ila uhuni na uasherati unatuzidi, hii ni tafsiri kwamba imani ya kikristo ni dhaifu na ndio maana wameamua kuichezea chezea
Siyo mhuni,, ni mchumba,,
Makanisani wachungaji huwatafutia wachumba wabinti,, [emoji16],hakuna kitu kipya,, kanisani hawazuii kuingia na simu na wengi hupigiwa simu, wanatoka wanaongelea nje,,
Kanisani ndo sehemu pia ya kupatia to achumba
 
Ni wapuuzi na washenzi tu maana waliona ni rahisi kuingia kanisani kufanya ushenzi kuliko kufanya hivyo msikitini,

Sijui tungekuwa wapi watanzania kama na sisi mapadre na wachungaji wangekuwa wanahubiri mapanga na tindikali

Cc ROBERT HERIEL
Akina nani wanahubiri mapanga na tindikali?
 
Msikitini hawaimbi mkuu
♦️Kwani Qaswida huimbwa wapi boss? Au maana ya kuimba hujui?

♦️Je! Wajua kuanzia adhana, na melody zote zinazotumika kuswalisha ni nyimbo?

♦️Je! Wajua kuwa naweza kuandika nota zake na zikaimbwa sauti hiyohiyo na mtaalamu wa muziki asiyejua lolote kuhusu uislamu?

♦️Je! Wajua sauti zote mnazotumia kuswalisha ni muziki wenye asili ya middle east na hata wakatoliki wakiwa wanasali ibada za kilstini sauti ndio hizo hizo ambazo huziita ( gregorian chant?)

♦️Mkuu amini usiamini hakuna ibada kavukavu bila kuimba, aliyekudanganya kama huwa hamuimbi hajui lolote

♦️ Nikupe mfano rahisi pale tu mnapoanza swala kiongozi huimba surah al fatiha, na zipo sauti nyingi (melody) za kuimba sura hiyo inategemea kiongozi huyo wa ibada kasomea wa pi ilim yake. Embu fikiria angenkuwa anaitamka kavukavu bila kuimba ibada ingenoga?

♦️ Mkubwa mlivyoambiwa IQRA hamkuambiwa mkariri kitu kimoja kwa kumeza kama kilivyo bali mliambiwa muitafute elimu hata uchina ikimaanisha mjifunze mambo mbalimbali ili muweze kuelewa mambo kwa upana , kwa hii comment yako ukienda kusoma angalau certificate ya muziki na kurejea ibada zenu baada ya elimu hiyo huwezi ku comment tena utopolo kama huu
 
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha.

Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo mzuri katika muktadha wa burudani.

Ukakasi unakuja katika video ya wimbo huu. Kile kinachoonekana katika sekunde za mwanzo za wimbo huu ni dharau na kejeli kwa ukristo, na zaidi kwa kwaya ya Mt Kizito Makuburi.

Uongozi wa Kwaya ya Mt Kizito, Mwenyekiti, chukueni hatua za kisheria dhidi ya hawa watu, hatuwezi kuruhusu wimbo wetu wa YESU NI MWEMA kutumika kuinajisi imani, na katika hili hakuna kumuachia MUNGU. Chukueni hatua, shitakini huyu mtu kwa kutumia maudhui ya wimbo bila ridhaa ya kwaya, shitakini huyu mtu kwa kukashifu imani ya wengine.

Dharau dhidi ya imani nyingine sio mara ya kwanza kufanywa na huyu Bwana. Miaka kadhaa nyuma alishawahi kutoa wimbo kwa jina 'Hallelujah' huku wimbo huo ukisifia mambo ya kiasherati.

Kwa kuwa hawa wawili, Diamond na Zuchu wote ni waislamu, na kwa kuwa misikiti ipo mingi tu, kiliwashinda nini kuigiza Zuchu yupo msikitini anaimba Qaswida na diamond yupo club anampigia Zuchu simu kisha huyu bint anaacha Qaswida na kumfata Diamond waanze kutongozana?

Hizi ni dharau na dhihaka kwa wakristo! Kwamba bint mcha Mungu anathamini zaidi uasherati, anaacha kuimba kwaya anakimbilia uhuni, stupid!

Kumnyamazia kimya sio sahihi, he needs to be taught a lesson, mbona nyimbo zake ni nzuri tu bila kuingiza vikorombwezo vya dharau na dhihaka dhidi ya imani nyingine?

Haya anayoyafanya kwa imani ya kikristo anaweza kuthubutu kuifanyia imani yake islam?


#AchaDharau
Wewe, uislamu hauendani na mambo ya kijinga
 
Ukristo umejitengenezea mazingira ya haya yote kutokea

Kanisani unaweza kupigiwa simu na ukaacha ibada kutoka nje kuipokea

Kanisani ni sehemu ambayo mabinti hushindana mavazi kama walimbwende

Kanisani ndio sehemu mabinti huvaa nguo nyepesi zilizobana na fupi sana

Kanisani ndio sehemu watu huingia na viatu walivyotoka navyo chooni

Kanisani ndio sehemu wanawake na wanaume huchangama wakati wa Ibada badala ya kuconcetrate mahubiri wanaume wanakuwa bize kutamani wanawake anawaona mbele yake
 
Kanisani ndio sehemu watu wanaenda kutafuta wanawake kwa ajili ya kungonoka
 
Halafu pia ukristo ibada zake zimejaa kelele sana wakati wa kuabudu, wakati ibada zinahitaji utulivu mkubwa sana
 
Tatizo letu wa bongo tuna roho za kwanini sana!?hata mm nashanga shida ipo wapi!?nyimbo hizo hizo za dini zinapigwa bar na clubs na watu wanazicheza wakiimba huku wamelewa,mbona hatulalamiki!?
Ngozi nyeusi unafki umetujaa sana, na nafsi za kimaskini, visasi na roho mbaya zimetutawala,
Hapo hilo swali la "Mbona hizo nyimbo za dini zinapigwa clubs na bars watu wakiwa wamelewa na wanaimba na kucheza hawajawahi kulalamika"

Wanalikwepa mtoa Mada na wafuasi wake.
 
Kanisani ndio sehemu watu wanaenda kutafuta wanawake kwa ajili ya kungonoka
Marehemu mudi amewadanganya sana.

Labda yeye ndo alikuwa akienda msikitini kutafuta wanawake wa kungonoka, kanisa ni pahala patakatifu, watu huenda kutafuta huduma ya kiroho na siyo ngono
 
Ngozi nyeusi unafki umetujaa sana, na nafsi za kimaskini, visasi na roho mbaya zimetutawala,
Hapo hilo swali la "Mbona hizo nyimbo za dini zinapigwa clubs na bars watu wakiwa wamelewa na wanaimba na kucheza hawajawahi kulalamika"

Wanalikwepa mtoa Mada na wafuasi wake.
Kama mlivyo wafuasi wa marehemu mudi mnavyokwepa hoja ya msingi ya KWANINI WASIFANYIE HUO USHUZI WAO MSIKITINI ILIHALI WOTE NI WAISLAMU
 
Back
Top Bottom