Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Hiyo video imeanza na disclimmer, and kwake sio issue kwa Kua ni Imani yake. Tuliza akili utagundua Kua mmekosea, shida hata ubongo wako umeshaharibiwa na wasafi unaamini kila wanalofanya wako sahihi
Hebu nipishe mie,
[emoji706]
 
Diamond amekuwa mpumbavu sana ktk hili...

Worse enough they dont realize that they messed up with the Christian faith.. and this is not the first time.

Diamond I tell you... I like ur music. But this time u r f cked!!
 
Mimi ni mkiristo kabisa sioni shida yoyote kwenye ule wimbo. “ IFIKE MAHALI WAKRISTO TUACHE MIHEMUKO ! ... kama ameshakubali kuwa Yesu ni Mwema sana kwanini roho zetu zimekuwa na ufitina sasa !! .... Msanii ameakisi kile kilichopo kwenye jamii hivi sasa !! Miaka 29 ya ukristo “Mungu awasaidie kuelewa tangulizeni hekima mbele”

Tatizo letu wa bongo tuna roho za kwanini sana!?hata mm nashanga shida ipo wapi!?nyimbo hizo hizo za dini zinapigwa bar na clubs na watu wanazicheza wakiimba huku wamelewa,mbona hatulalamiki!?
 
Hizi dini zimeshawatoeni akili bado kidogo zitawatoa na uhai... Shauri yenu

Dini zenyewe mliletewa kipindi cha utumwa 😁😁
 
Sio mihemuko, kaa utulize akili, Naseeb pamoja za zuhura walikaaje wakafikiria kuingia kanisani na kufanya Hilo igizo badala ya kwenda msikitini?
Ni rahisi Sana wao kwenda msikitini kwa Kua wote ni waisilamu, wakaanzaje kupata wazo la kwenda kuigizia kanisani?
Tafsiri yake ni kwamba umedharau Imani ya wenzio.
Kubalini tu kwamba mmekosea na kuomba radhi, ndio uungwana wenyewe, sio kila siku lawama kwa basata hata Kama tatizo liko kwenu.
Ni wapuuzi na washenzi tu maana waliona ni rahisi kuingia kanisani kufanya ushenzi kuliko kufanya hivyo msikitini,

Sijui tungekuwa wapi watanzania kama na sisi mapadre na wachungaji wangekuwa wanahubiri mapanga na tindikali

Cc ROBERT HERIEL
 
Nimefurahishwa na maamuzi ya BASATA kuufungia huo wimbo.

Naamini wakati mwingine wataenda kufanyia shooting za hizo nyimbo zao kwenye Misikiti au kwenye Madrasa zao ili kuonesha namna wanavyo ithamini dini yao.
 
Embu jiulize ingekuwa Wakristu wawili, wanaigiza wanapigiana simu mmoja yupo msikitini, anatoka anaanza kutongozwa hali ingekuwaje? Embu tuendelee kuheshimu imani za watu wengine hata kama kwa imani zetu tunaafikiri wanatenda makosa, tuwaache na makosa yao kwa kuwa hayaingilii uhuru wetu.Lakini tusifanye jambo lolote la kuonyesha kuwa imani ya mwenzako ni dhaifu

Walikuwa na uwezo kabisa kipande hicho, wakafanyia msikitini kwa kuwa wote ni waislam, na Tanzania miskiti ipo kila mtaa na huyo binti angeitwa akiwa anaimba qaswida, isingeleta shombo yoyote
Though siujui huo wimbo na huwa sifuatilii!
Lkn hawa watu wamezidi dharau,mbona huwa hawa fanyi msikitini? Ukizingatia wote waislam?
 
Bint, mkristo, katika mazoezi ya kwaya ya kumsifu Mungu anaona simu ya mhuni, anatoka kuipokea anapigwa vocal, anaona kwaya upuuzi analala mbele kwa muhuni wake.

Kwamba masifu kwa Mungu hayana uzito kwa ukristo ila uhuni na uasherati unatuzidi, hii ni tafsiri kwamba imani ya kikristo ni dhaifu na ndio maana wameamua kuichezea chezea
Kumbe![emoji848]
Kwann asiigize yuko msikitini ?
 
Huku nikukosa kazi yaani km mm ningekuwa Daimond ningehamia hata Nairobi hapo kila sku ujinga ujinga usiokuwa bmna mashiko
 
Mnazidi kunifanya nitake kwenda kuuangalia huu wimbo YouTube, maana mnaupa kiki sana. Kwanzia hao walioufungia na nyie mnaouongelea muda wote
 
Back
Top Bottom