MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Hawatumii magitaa wale...Hayo Magitaa msiyajaze poda tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawatumii magitaa wale...Hayo Magitaa msiyajaze poda tu.
Mkuu umechanganya kidogo boss. Kuna Parokia ya Mt. Kizito na Kwaya ya Mt. Kizito.Lilipo Hilo Kanisa ni Ulaya Kabisa iliyo Tz panaitwa Kunduchi Mtaa wa Kilongawima(Wanaishi Watu Wasomi Sana hasa waliosoma Ulaya na nimatajiri) hivyo sioni Cha kushangaza kupata hiyo connection .
Kiongozi unaenda kwa mabeberu huko au sio?Tupo pamoja.
Tunapanga mabegi yetu.
Away we fly.
Umemaliza ansahau parokia ya Mt.Gasper de bufalo Ina watu wanene piaMkuu umechanganya kidogo boss. Kuna Parokia ya Mt. Kizito na Kwaya ya Mt. Kizito.
Kwaya ya Mt. Kizito iko Parokia ya Mwenyeheri Anuarite, Makuburi, Ubungo. Hii unayoeleza ni Parokia ya Mt. Kizito iko Kilongawima, Kunduchi. Mt. Kizito ya Kilongawima ni kanisa na si kwaya.
SwadaktaaHivi kizito ni hii hii ya Mwenyeheri anuarite makuburi???
Naam
hahaaa mondi anagundu hata aliyeenda kumsdadia kenya kashindwa uchaguziVp diamond hajaitwa huko
Ova
Mapendo daima.Zipo tetesi Kwaya hii maarufu inajiandaa kukwea pipa mpaka London kufuatia mwaliko ili kuwafariji wafiwa huko! Tunashukuru IEBC kwa kutupaisha kimataifa
Sio asante kwa TETESIAhsante kwa taarifa...
Uongo utakusaisia nini mkuu? Mabibo na Kunduchi ni sawa? Au umekuja dar na mbio za mwenge? Pia nikwambie mtoa mada kaamua kufurahisha genge tuLilipo Hilo Kanisa ni Ulaya Kabisa iliyo Tz panaitwa Kunduchi Mtaa wa Kilongawima(Wanaishi Watu Wasomi Sana hasa waliosoma Ulaya na nimatajiri) hivyo sioni Cha kushangaza kupata hiyo connection .