Majibu unayo mbona???Afu ungeweka MMu
kweli ihamishe bana, mpenzi sio mke, jitahidi atamuacha ila kama ana maagano na wazazi ujue atamuoa huyo wa kwao
@ Tracylyne my dia...kwann upoteze muda na nguvu zako kwa huyo asiye appreciate wakati there are a lot of worthy men!!!
Mkalishe chini mwambie akupe jibu moja! ni wewe au si wewe full stop ayo ya kitandani ayo nadhani ni wewe unataka tu!
heri ata ungenipaga mimi ningeappreciate zaidi yake...
wanaume wengine ni waongo sana,unaweza kuta huyo wa kijijini kwao ni mke wake kabisa,usiamini sana maneno ya kuambiwa na huyo mwanaume,kama unaweza fanya utafiti mwenyewe ikiwekana hata wasiliana na huyo wa kijijini ili ujue ukweli
dia i have tried nkitok nae haishi kuomba msamaha na he knowz kama nampenda na most ov times anatumia machozi yake kunibembeleza...!
wewe nenda kajisalimishe mwenyewe polisi kwa kosa la utoaji mimba,kwanini ushike mimba wakati hutaki kuzaa.
Jamani wewe upo siriaz kweli!??
anampenzi nyumbani kwao ila kila 2kigombana anaomba msamaha 2narudiana na nimetoa mimba yake kwani nmeona hatuna future ila nampenda sana hyu mwanaume...kitandani najitahidi kumpa kile anachostahili kwani nmefundwa kwetu Tanga na anasema nampa kile anataka ila bado haachani na hyo msichana wakati aliahidi kumuacha..!
anampenzi nyumbani kwao ila kila 2kigombana anaomba msamaha 2narudiana na nimetoa mimba yake kwani nmeona hatuna future ila nampenda sana hyu mwanaume...kitandani najitahidi kumpa kile anachostahili kwani nmefundwa kwetu Tanga na anasema nampa kile anataka ila bado haachani na hyo msichana wakati aliahidi kumuacha..!
wanaume ndivyo tulivyo...twapenda gegeda wanawake wengi ...wee ata ukatike vipi papuchi nje tutakuwa nayo
Mi hayo maujuzi ya Kitanga ndo nayoyataka!!!! Embu niku PM unipe refresher course manake elimu haina mwisho, niongeze ujumvi mie!