atakuwa anapenda vitu vyako na sio wewe kama wewe,, ujue katka mapenzi lazima moyo wa mtu udondoke sehem!! yawezekana mapenz yake ya dhat yapo kwa huyo mwenzio na hawez kumuacha hata kama utampa kila kitu!
ni PM nikushauri zaid coz kuna vingne sio vzur kuvweka hapa
hëh ckujua hyo
sasa umelijua...chakufanya ni wewe nae kuwa unagegedwa na zaidi ya dushelele moja...nipo available
sasa umelijua...chakufanya ni wewe nae kuwa unagegedwa na zaidi ya dushelele moja...nipo available
wewe nenda kajisalimishe mwenyewe polisi kwa kosa la utoaji mimba,kwanini ushike mimba wakati hutaki kuzaa.
anampenzi nyumbani kwao ila kila 2kigombana anaomba msamaha 2narudiana na nimetoa mimba yake kwani nmeona hatuna future ila nampenda sana hyu mwanaume...kitandani najitahidi kumpa kile anachostahili kwani nmefundwa kwetu Tanga na anasema nampa kile anataka ila bado haachani na hyo msichana wakati aliahidi kumuacha..!