- Thread starter
- #21
atakuwa anapenda vitu vyako na sio wewe kama wewe,, ujue katka mapenzi lazima moyo wa mtu udondoke sehem!! yawezekana mapenz yake ya dhat yapo kwa huyo mwenzio na hawez kumuacha hata kama utampa kila kitu!
ni PM nikushauri zaid coz kuna vingne sio vzur kuvweka hapa
pouwaaah!