Kweli anaye wamba ngoma........!

Kweli anaye wamba ngoma........!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,437
Reaction score
1,027
Nchini kenya,kuna sheria iko mbioni kuundwa.Sheria hii itamruhusu mwanamke aliye katika ndoa,ambaye mumewe amepungukiwa nguvu za kiume,kumshtaki mumewe mahakamani na hatimaye kuomba kupewa talaka.Wanaume wengi nchini kenya wameonesha kutoridhishwa na mchakato huo."kama hili tatizo lingekuwa upande wao basi wangepinga vikali mno na hata wangeandamana",walisikika baadhi ya wanaume wakisema baada ya kuhojiwa.(BBC)
 
Je kwa wale waliojiingiza wakati mwanaume tayiri yuko hivyo???
 
the more women become powerfull
the less men will be available for marriages
 
Back
Top Bottom