Kweli aombae hupewa: viongozi wameomba ugaidi, wameupata!

Kweli aombae hupewa: viongozi wameomba ugaidi, wameupata!

Omusolopogasi

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
7,101
Reaction score
18,051
Bandugu,

Wahenga walisema, "Aombae hupewa". Juzi tu viongozi wetu wa juu kabisa waliiombea Tanzania ugaidi kwa kusingizia wapinzani wao wa kisiasa kuwa ni magaidi. Na kuwakamata na kuwasweka jela. Na kweli maneno yana nguvu ya kuumba. Uongo na ufedhuli wao umemuumba gaidi wa kweli. Bahati nzuri huyo gaidi wa kweli alikuwa hana hamu ya kuua raia wa kawaida. Leo wanausalama 4 wamepoteza maisha yao na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la ugaidi ambao hauna ubishi kabisa. Viongozi wetu na polisi hawataki kabisa kutamka neno ugaidi katika kile kilichotokea leo mbele ya Ubalozi wa Ufaransa. Badala yake ugaidi ni mpinzani kumtumia mtu shilingi laki 6 na kudai katiba mpya! Kwa kile kilichotokea leo, eti kinaitwa uhalifu tu!

Tujihadhari sana na kile tunachoomba. Solomon alipoambiwa aombe chochote alichotaka, hakuomba utajiri. Aliomba hekima. Na alipewa hekima na Mungu.

Usiku mwema wana-JF.
 
😀😀😂😂😁😁😃🤣😁😂😂
 
Bandugu,

Wahenga walisema, "Aombae hupewa". Juzi tu viongozi wetu wa juu kabisa waliiombea Tanzania ugaidi kwa kusingizia wapinzani wao wa kisiasa kuwa ni magaidi. Na kuwakamata na kuwasweka jela. Na kweli maneno yana nguvu ya kuumba. Uongo na ufedhuli wao umemuumba gaidi wa kweli. Bahati nzuri huyo gaidi wa kweli alikuwa hana hamu ya kuua raia wa kawaida. Leo wanausalama 4 wamepoteza maisha yao na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la ugaidi ambao hauna ubishi kabisa. Viongozi wetu na polisi hawataki kabisa kutamka neno ugaidi katika kile kilichotokea leo mbele ya Ubalozi wa Ufaransa. Badala yake ugaidi ni mpinzani kumtumia mtu shilingi laki 6 na kudai katiba mpya! Kwa kile kilichotokea leo, eti kinaitwa uhalifu tu!

Tujihadhari sana na kile tunachoomba. Solomon alipoambiwa aombe chochote alichotaka, hakuomba utajiri. Aliomba hekima. Na alipewa hekima na Mungu.

Usiku mwema wana-JF.
Hakika hii ni karma!
Mwana kulitafuta ,mwana kulipata!
 
Gaidi mwenyewe kumbe ni mwana ccm mwenzao
Screenshot_20210825-211605_1.jpg
 
Bandugu,

Wahenga walisema, "Aombae hupewa". Juzi tu viongozi wetu wa juu kabisa waliiombea Tanzania ugaidi kwa kusingizia wapinzani wao wa kisiasa kuwa ni magaidi. Na kuwakamata na kuwasweka jela. Na kweli maneno yana nguvu ya kuumba. Uongo na ufedhuli wao umemuumba gaidi wa kweli. Bahati nzuri huyo gaidi wa kweli alikuwa hana hamu ya kuua raia wa kawaida. Leo wanausalama 4 wamepoteza maisha yao na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la ugaidi ambao hauna ubishi kabisa. Viongozi wetu na polisi hawataki kabisa kutamka neno ugaidi katika kile kilichotokea leo mbele ya Ubalozi wa Ufaransa. Badala yake ugaidi ni mpinzani kumtumia mtu shilingi laki 6 na kudai katiba mpya! Kwa kile kilichotokea leo, eti kinaitwa uhalifu tu!

Tujihadhari sana na kile tunachoomba. Solomon alipoambiwa aombe chochote alichotaka, hakuomba utajiri. Aliomba hekima. Na alipewa hekima na Mungu.

Usiku mwema wana-JF.
Dogo hakuwa gaidi. Angekuwa gaidi angeuwa raia.
 
Bandugu,

Wahenga walisema, "Aombae hupewa". Juzi tu viongozi wetu wa juu kabisa waliiombea Tanzania ugaidi kwa kusingizia wapinzani wao wa kisiasa kuwa ni magaidi. Na kuwakamata na kuwasweka jela. Na kweli maneno yana nguvu ya kuumba. Uongo na ufedhuli wao umemuumba gaidi wa kweli. Bahati nzuri huyo gaidi wa kweli alikuwa hana hamu ya kuua raia wa kawaida. Leo wanausalama 4 wamepoteza maisha yao na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la ugaidi ambao hauna ubishi kabisa. Viongozi wetu na polisi hawataki kabisa kutamka neno ugaidi katika kile kilichotokea leo mbele ya Ubalozi wa Ufaransa. Badala yake ugaidi ni mpinzani kumtumia mtu shilingi laki 6 na kudai katiba mpya! Kwa kile kilichotokea leo, eti kinaitwa uhalifu tu!

Tujihadhari sana na kile tunachoomba. Solomon alipoambiwa aombe chochote alichotaka, hakuomba utajiri. Aliomba hekima. Na alipewa hekima na Mungu.

Usiku mwema wana-JF.
CCM ni kenge,kenge kukuelewa hadi atoke Damu sikioni
 
Bandugu,

Wahenga walisema, "Aombae hupewa". Juzi tu viongozi wetu wa juu kabisa waliiombea Tanzania ugaidi kwa kusingizia wapinzani wao wa kisiasa kuwa ni magaidi. Na kuwakamata na kuwasweka jela. Na kweli maneno yana nguvu ya kuumba. Uongo na ufedhuli wao umemuumba gaidi wa kweli. Bahati nzuri huyo gaidi wa kweli alikuwa hana hamu ya kuua raia wa kawaida. Leo wanausalama 4 wamepoteza maisha yao na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la ugaidi ambao hauna ubishi kabisa. Viongozi wetu na polisi hawataki kabisa kutamka neno ugaidi katika kile kilichotokea leo mbele ya Ubalozi wa Ufaransa. Badala yake ugaidi ni mpinzani kumtumia mtu shilingi laki 6 na kudai katiba mpya! Kwa kile kilichotokea leo, eti kinaitwa uhalifu tu!

Tujihadhari sana na kile tunachoomba. Solomon alipoambiwa aombe chochote alichotaka, hakuomba utajiri. Aliomba hekima. Na alipewa hekima na Mungu.

Usiku mwema wana-JF.
Eti wakereketwa wanasema jamaa alikuja kumkomboa Mbowe na kuwa alitumwa na Lissu.
 
Bandugu,

Wahenga walisema, "Aombae hupewa". Juzi tu viongozi wetu wa juu kabisa waliiombea Tanzania ugaidi kwa kusingizia wapinzani wao wa kisiasa kuwa ni magaidi. Na kuwakamata na kuwasweka jela. Na kweli maneno yana nguvu ya kuumba. Uongo na ufedhuli wao umemuumba gaidi wa kweli. Bahati nzuri huyo gaidi wa kweli alikuwa hana hamu ya kuua raia wa kawaida. Leo wanausalama 4 wamepoteza maisha yao na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la ugaidi ambao hauna ubishi kabisa. Viongozi wetu na polisi hawataki kabisa kutamka neno ugaidi katika kile kilichotokea leo mbele ya Ubalozi wa Ufaransa. Badala yake ugaidi ni mpinzani kumtumia mtu shilingi laki 6 na kudai katiba mpya! Kwa kile kilichotokea leo, eti kinaitwa uhalifu tu!

Tujihadhari sana na kile tunachoomba. Solomon alipoambiwa aombe chochote alichotaka, hakuomba utajiri. Aliomba hekima. Na alipewa hekima na Mungu.

Usiku mwema wana-JF.
🤔 🙁😳
 
Back
Top Bottom