Kweli biashara ya ndege ngumu, Kenya Airways na ukubwa wote wamechemka. Ruto kuiuza kwa Wamarekani. ATCL vipi?

Kweli biashara ya ndege ngumu, Kenya Airways na ukubwa wote wamechemka. Ruto kuiuza kwa Wamarekani. ATCL vipi?

Rais wa Kenya, William Ruto amekutana na viongozi wakuu wa shirika la ndege la kimarekani la Delta katika mpango wa kuwauzia hisa zote 48.9% zinazomilikiwa na Serikali ya Kenya kwenye shirika hilo.

Kenya Airways imekuwa ikitegemea hazina ya Kenya kuweza kujiendesha huku kipindi cha Januari-Juni ikiwa imerekodi hasara ya dola milioni 82 na kipindi kama hicho 2021 kikitoa hasara dola milioni 95.8.

Kwa upande wa Tanzania, ripoti ya mwisho inayopatikana inasema ATCL imepata hasara ya TZS bilioni 36 mwaka 2020/21 kutoka bilioni 60 mwaka 2019/20. Kwasasa shirika hilo ndege zake kubwa inazoziendesha zimepumzishwa huku moja ikishikiliwa kwa madeni.

Serikali chini ya Rais Magufuli iliamua kulifufua shirika la ndege la Tanzania lililokuwa hoi bin taaban kwa kununua ndege mpya na kuliazima shirika hilo.
Kwani ATCL ipo kweli? Ndege zake watu wanazilia timing zikiruka nje ya Tanzania tu watu wanazirukia
 
Marekani nchi inayoongoza kwa utalii duniani hawana Shirika la ndege la Taifa.
Ufaransa na Uingereza ambayo ni mataifa makubwa kwa utalii na kila aina ya biashara duniani hakuna mashirika ya ndege ya Taifa/serikali.
Biashara ya ndege haikwepeki japokuwa huwa tunapenda kuipaka matope kwa hizi siasa zetu nyepesi za humu jukwaani.

Huwezi kuwa na nchi yenye vivutio vinavyoongoza kwa kupewa tuzo za kimataifa halafu nchi yako ikakosa kuwa na shirika la ndege. Mungu aliyetupa vivutio hivi alikuwa na maana yake kwetu sisi.
 
Ni Habari njema, huoni kuwa ni Maendeleo? Delta waki-invest Kenya Airways how big the airline will be? More revenue for Kenya, bigger worforce guaranteed by first World Economy growth! Stop your communist Thinking! The biggest investor in China is also US of America, what is your problem?

Fikra za mwenyekiti zimewaharibu bongo zenu, you need change, Serikali haiwezi kufanya biashara iwaachie wananchi!!!
Tulia wewe mkenya mbona unatema moto, umekula isije kuwa ni njaa.
 
yani wabongo bwana na ndio mana mnajikuta mtaani mnafungua biashara ya aina moja kisa jirani kakwambia inalipa kakupigia na hesabu za uongo na kweli,suala la ndege kwa Taifa ni la msingi sana wakulaumiwa ni walioliua na kushindwa kulisimamia na sio kulaumu au kuamini kwa sababu ni ngumu lisifanyike
Ipi biashara ya serikali iliyosimama.
 
Rais wa Kenya, William Ruto amekutana na viongozi wakuu wa shirika la ndege la kimarekani la Delta katika mpango wa kuwauzia hisa zote 48.9% zinazomilikiwa na Serikali ya Kenya kwenye shirika hilo.

Kenya Airways imekuwa ikitegemea hazina ya Kenya kuweza kujiendesha huku kipindi cha Januari-Juni ikiwa imerekodi hasara ya dola milioni 82 na kipindi kama hicho 2021 kikitoa hasara dola milioni 95.8.

Kwa upande wa Tanzania, ripoti ya mwisho inayopatikana inasema ATCL imepata hasara ya TZS bilioni 36 mwaka 2020/21 kutoka bilioni 60 mwaka 2019/20. Kwasasa shirika hilo ndege zake kubwa inazoziendesha zimepumzishwa huku moja ikishikiliwa kwa madeni.

Serikali chini ya Rais Magufuli iliamua kulifufua shirika la ndege la Tanzania lililokuwa hoi bin taaban kwa kununua ndege mpya na kuliazima shirika hilo.
Biashara yoyote haifanywi kwa amri za Serikali(by fiat). Biashara Ina amuliwa na soko, demand and supply, strategy, basi!
 
yani wabongo bwana na ndio mana mnajikuta mtaani mnafungua biashara ya aina moja kisa jirani kakwambia inalipa kakupigia na hesabu za uongo na kweli,suala la ndege kwa Taifa ni la msingi sana wakulaumiwa ni walioliua na kushindwa kulisimamia na sio kulaumu au kuamini kwa sababu ni ngumu lisifanyike
Huwezi kuendelea kiuchumi bila biashara ya anga, Magufuli alijitahidi sana ila wasioipenda hii nchu wanakuja kuondoa zile juhudi ndani ya dakika 0, huwezi kuwa na uchumi imara bila biashara ya usafirishaji chini na angani, Ethiopia walijitahidi, wanajitahidi, na watazidi kwenda mbele. Pumzika JPM ulifanya kazi usiku na mchana kutuonesha yasiyowezekana kumbe yanawezekana, ila kwa wavivu, wachumia tumbo, wasiopata elimu sahihi wanaturudisha nyuma.
Ahsante JPM.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Kenya, William Ruto amekutana na viongozi wakuu wa shirika la ndege la kimarekani la Delta katika mpango wa kuwauzia hisa zote 48.9% zinazomilikiwa na Serikali ya Kenya kwenye shirika hilo.

Kenya Airways imekuwa ikitegemea hazina ya Kenya kuweza kujiendesha huku kipindi cha Januari-Juni ikiwa imerekodi hasara ya dola milioni 82 na kipindi kama hicho 2021 kikitoa hasara dola milioni 95.8.

Kwa upande wa Tanzania, ripoti ya mwisho inayopatikana inasema ATCL imepata hasara ya TZS bilioni 36 mwaka 2020/21 kutoka bilioni 60 mwaka 2019/20. Kwasasa shirika hilo ndege zake kubwa inazoziendesha zimepumzishwa huku moja ikishikiliwa kwa madeni.

Serikali chini ya Rais Magufuli iliamua kulifufua shirika la ndege la Tanzania lililokuwa hoi bin taaban kwa kununua ndege mpya na kuliazima shirika hilo.
Ndege sio bodaboda, inahitaji investment kubwa sana
 
Kuna sehemu nimesema ni jambo baya mkuu? Nimesema biashara ya kuendesha shirika la ndege ni ngumu na dunia nzima mashirika mengi ya ndege yamekuwa yanapambana na hasara zisizoisha. Air Tanzania ilijiunga na SAA lakini ngoma ikaishia pabaya.

Kudondoka fastjet ilikuwa makosa makubwa kwani tayari ilikuwa imeshasimama, bora Serikali wangewakopesha waimarike zaidi..
Ni ngumu kwa serikali kumkopesha kila mwenye shirika la ndege. Na fastjet wamekufa kiuendeshaji wao wenyewe.

Ipo dhana potofu kwamba serikali ililiua shirika lile, ni uongo mkubwa. Walikufa wao wenyewe baada ya kushindwa kuajiri mtaalam wa mambo ya ndege kama kanuni za uendeshaji wa mashirika ya ndege zinavyowataka.
 
Ni ngumu kwa serikali kumkopesha kila mwenye shirika la ndege. Na fastjet wamekufa kiuendeshaji wao wenyewe.

Ipo dhana potofu kwamba serikali ililiua shirika lile, ni uongo mkubwa. Walikufa wao wenyewe baada ya kushindwa kuajiri mtaalam wa mambo ya ndege kama kanuni za uendeshaji wa mashirika ya ndege zinavyowataka.
Mwenye jukumu la kusimamia hizo sheria ni nani kama sio hao serikali?
 
Moja ya makosa makubwa ya magufuli ni kuingiza mabilioni ya pesa za watanzania kwenye biashara ya ndege, hapo alichemka sana
 
Back
Top Bottom