Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.. kwanini lo??
Juzi kati alijinyea sijui kwanini Democracy wanamuweka tenaMzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Huyo kesha zikwa kitambo na badala yake kuna mtambo tu ndio unaiongoza hiyo nchiMzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Alshawahi kujitambulisha yeye ni vice president na ni mwanamke...😂😂😂😂😁
Akili zake anazijua mwenyewe walai
Huyo fyuzi mbili zimefyatuka kichwani walaiAlshawahi kujitambulisha yeye ni vice president na ni mwanamke...
Ha ha ha naona uko nyuma katika current news.We mwenyewe ushazeeka mbona unachanganya Biden na Putin?
Huyu sio slip of the tongue, Huyu n Kawaida yake kuchapiaSlip of the tongue.
Huyu anapigia chapuo ushoga , sasa anaadhiriwa na Mola!Huyo fyuzi mbili zimefyatuka kichwani walai
65 bado kijana kabisa.huyo mzee ni km mzee wangu umri mkubwa ila ving'ang'anizi sana mzee wangu ana 65 anaendeshaga boda kwenda kwenye mishe zake nimeshamwambia mara nyingi umri huo sio rafiki na mapikipiki ila mbishi.
Usimpigie kura yako.Mzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Huo si uzee tu hata ugonjwa unachangia pia ..Mzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Quran:Huyu anapigia chapuo ushoga , sasa anaadhiriwa na Mola!