Kweli Biden kazeeka, amwita Zelensky President Putin!

Kweli Biden kazeeka, amwita Zelensky President Putin!

Mungu ni mwingi wa rehema ndio maana anawapa umri mrefu sana madhalimu hapa duniani ili huenda wakarudi na kutubia na pia ni mkali sana wa kuadhibu kwa maana ya kwamba akiwakamata madhalimu huwa hawana pa kutokea
 
"Mzee Putin waachie vijana ursis."

Nawe umezeeka waachie vijana JF.
 
Kuna kipindi Biden aliwahi kusema wahanga wa kimbunga Katrina wanatakiwa wapatiwe chanjo ya corona ili kuepukana na kimbunga.
 
Mzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Huo ni Utabiri kwamba Zele atachukua ushindi kwenye vita inayoendelea baina ya Ukraine vs Urusi na atakikalia kiti cha Putin.
 
kwa wanaojua siasa za marekan je kuna uwezekano Biden akaondolewa kugombea
 
Wengi wanaomsapoti Putin wanatamani joe Biden aendelee Ili wapate nafasi ya kuingia white house kiulani,
Democrats wakifanya makosa na kuendelea kumbakiza Biden watakuwa wametoa free ticket kwa Trump kuelekea white house

Ukweli uliopo wazi ni kwamba wamarekani wengi hawaoni mgombea yeyote wa kuwafaa kati ya Biden na Trump.,

Lakini ikiwa democrats watarekebisha makosa na kuweka mgombea mwingine,basi mzee mzima trump ni vyema akajiengua mapema maana ndoto zake kuelekea white house zitakuwa zimezimwa na kuzikwa kabisa,
Ponapona ya Donald trump ni kuomba rais Biden aendelee kuwepo Kama mgombea wa democrat
Democrats hawana mtu wa kumzuia Trump kuingia ikulu kwa sasa
 
Putin punguza kasi, unaumiza watu, ona sasa zelensky anaita putin 🤣
 
Hivi hafanyi kusudi kweli?
Hapana hafanyi kusudi na yeye sio wa kulaumiwa. Wamarekani wenye umri mwafaka walikuwa wapi wakati Mzee Biden anagombea? Je, waliompigia kura hawakuwa na akili? Wamuache Mzee wa watu.
 
Back
Top Bottom