Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Huo ni Utabiri kwamba Zele atachukua ushindi kwenye vita inayoendelea baina ya Ukraine vs Urusi na atakikalia kiti cha Putin.Mzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Mzee Putin TenaMzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Na Kamala akamuita TrumpMzee Biden aachie ngazitu.
Jioni hii amemwita Zelensky President Putin. Katika mkutano mkuu wa NATO.
Mzee Putin waachie vijana ursis.
Democrats hawana mtu wa kumzuia Trump kuingia ikulu kwa sasaWengi wanaomsapoti Putin wanatamani joe Biden aendelee Ili wapate nafasi ya kuingia white house kiulani,
Democrats wakifanya makosa na kuendelea kumbakiza Biden watakuwa wametoa free ticket kwa Trump kuelekea white house
Ukweli uliopo wazi ni kwamba wamarekani wengi hawaoni mgombea yeyote wa kuwafaa kati ya Biden na Trump.,
Lakini ikiwa democrats watarekebisha makosa na kuweka mgombea mwingine,basi mzee mzima trump ni vyema akajiengua mapema maana ndoto zake kuelekea white house zitakuwa zimezimwa na kuzikwa kabisa,
Ponapona ya Donald trump ni kuomba rais Biden aendelee kuwepo Kama mgombea wa democrat
Fat chance!Huo ni Utabiri kwamba Zele atachukua ushindi kwenye vita inayoendelea baina ya Ukraine vs Urusi na atakikalia kiti cha Putin.
Hapana hafanyi kusudi na yeye sio wa kulaumiwa. Wamarekani wenye umri mwafaka walikuwa wapi wakati Mzee Biden anagombea? Je, waliompigia kura hawakuwa na akili? Wamuache Mzee wa watu.Hivi hafanyi kusudi kweli?