Kweli binadamu ana 'roho'? Iko sehemu gani hasa mwilini?


Dirk, you know for sure and fact that Kiranga has no ability to support her notions. Non theist always demanding physical proof of a non-physical entity which is asinine, because non theists are too intellectually lazy to think through evidence.


Tungependa utueleweshe roho ni nini, inakaa wapi katika mwili wa binadamu na kazi yake ni nini, na wala sio kushambulia atheists.
 

Why applaud another avoidance maneuver? None of you can address the argument. You dodged it too.
Your poster is just a silly way of saying non theism is intellectually lazy. In other words, you're clueless and have no argument.
Roho ni nini?, inakaa wapi katika mwili wa binadamu na kazi yake ni nini?
 
Roho hiyo siyo phyiscal bali ni spirit watu wengine wanasemaga *amekata roho
*anaroho mbaya au nzuri
ana roho ngumu kama ya paka
ana roho nyepesi
something like 'wil'
 
Ipo utosini kwenye ubongo. Ndiyo maana vyote vitazimika lakini ubongo ni wa mwisho kabisa kuzimika.
 
.....mimi nafahamu roho=uhai

I can understand that, which means there is no place where roho resides, just as there is no place where life resides, life being a permeating force rather than an object.
 
Huyo yupo ignore list muda tu, hata sioni anachoandika mpaka anukuliwe.

Kajishusha huko mwenyewe.
Na mimi nitamtupia huko muda sio mrefu, maana hakuna anachoweza kuelezea zaidi ya kutukana tu, mara you are silly, you are mindless na maneno mengine ambayo hayatoi ufafanuzi wowote wa tunachokijadili, kwa hiyo to argue with such people, is to waste valuable time.
 
Unawezaje kuthibitisha hili kwa ushahidi madhubuti ili tufahamu kwamba unachosema ndicho na si habari za mapokeo tu zisizo na ukweli?

Binafsi hiki kitu nina kiishi, kuna wakati naweza nikawa sehemu fulani ghafla najikuta naona kitu kinacho endelea sehemu nyingine, hiki kitu hua kinatokea katika hali mbili; moja inaweza ikakutokea ukiwa na fahamu na ukatambua kinacho endelea, ama ukahamishwa kiroho kabisa usiweze jua chochote kinacho endelea na hapo mwili hubaki bila matunda.

Kwa kifupi, Roho ni kiumbe kisicho na mwili ila kina uwezo wa kuingia katika mwili na kikafanya yale kinacho taka, na katika mwili kuna uwezekano wa kukaa roho zaidi ya moja na zote zikafanya kazi kutegemea na wakati na mazingira.
 
Unagofautishaje roho na uhai katika context yako?

Huoni kwamba unauita "uhai" roho tu na hakuna roho?
You just presented some of the best psudeo science I have ever seen. lol
 
Kwa hiyo roho ni neno lingine la kumaanisha uhai tu?

Where's your arguments and evidence? ...or were you lying - like the other 16 atheists who lied about having arguments and evidence when they had none?
 
Roho hiyo siyo phyiscal bali ni spirit watu wengine wanasemaga *amekata roho
*anaroho mbaya au nzuri
ana roho ngumu kama ya paka
ana roho nyepesi
something like 'wil'

Will is something in the mind.

Unaposema roho ni kama will, unamaanisha roho ipo kwenye mind?
 
Tungependa utueleweshe roho ni nini, inakaa wapi katika mwili wa binadamu na kazi yake ni nini, na wala sio kushambulia atheists.

How would you know macroevolution is fact? Do the chemicals force that delusion?

As a non theist, how could you choose rationally to believe Darwinian dogma - apart from chemical delusions. What non-chemical part of you exists to choose apart from chemical delusion?
 

Hujajibu swali.

Unaweza kuwa na upungufu wa madini ya chuma katika damu na ubongo wako kukosa hewa ya oxygen na hayo yakakufanya uone mauzauza uliyoyasema.

Unawezaje kuhakikisha kwamba roho ipo na si matokeo ya mapokeo potofu tu?
 
Tungependa utueleweshe roho ni nini, inakaa wapi katika mwili wa binadamu na kazi yake ni nini, na wala sio kushambulia atheists.

Roho ni nini?, inakaa wapi katika mwili wa binadamu na kazi yake ni nini?

You have no naturalistic mechanism to account for the vast existence of highly ordered, specifically designed, complex and integrated systems driven by DNA information.

Instead, you have a blind Naturalistic faith that ignores reason and evidence by imposing dogma. Your faith is as irrational as the most rabid fundamentalist.
 

You have no evidence nor proof for no God, no spirit, yet you believe in No God and no spirit.

Nothing worse than a self-assured bonehead celebrating stupidity as something profound.
 
Hujajibu swali.

Unawezankuwa na upungufu wa madini ya chuma katika damu na ubongo wako kukosa hewa ya oxygen na hayo yakakufanya uone mauzauza uliyoyasema.

Unawezaje kuhakikisha kwamba roho ipo na si matokeo ya mapokeo potofu tu?
Bunch of malarkey
 
Roho hiyo siyo phyiscal bali ni spirit watu wengine wanasemaga *amekata roho
*anaroho mbaya au nzuri
ana roho ngumu kama ya paka
ana roho nyepesi
something like 'wil'
Right on ......
 
Unawezaje kuhakikisha kwamba roho ipo na si matokeo ya mapokeo potofu tu?
Kiranga

ninacho amini mimi kitakua tofauti na wewe, nafikiri itakua ngumu wewe kunikubalia mimi au mimi kukubalia wewe, kiukweli mambo ya Rohoni ni ya kiimani zaidi na sio physical, ukitaka niweke uthibitisho katika ulimwengu huu wa kawaida ni ngumu na haiwezekani, vya rohoni ni rohoni na vya mwili ni vya mwilini.

Naamini Biblia Takatifu, Naamini katika Mungu wa Bwana wangu Yesu Kristo.

Warumi 10 : 17 Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…