Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Kwenye mawazo, yanayoendeshwa na ubongo.
Unazunguka palepale hujajibu swali.
mawazo ndio mkasakinyiko wa huruma,hasira,na hekima. naomba unijibu kama inavyotakiwa.
kwa jibu lako la kusema mawazo yanayoendeshwa na ubongo bado hujaniambia hivyo vitu huwanga vinakaa wapi?
na ubongo njisi ulivyoelezea maana yake mawazo yanesehemu yake na ubongo unesehemu yake lakn ubongo ukemaa kama generetor(au umeme) kwamba ili kitu kiwenze kufanya kazi kinatakiwa kiwe na nyezo kama umeme .