Kweli binadamu ana 'roho'? Iko sehemu gani hasa mwilini?

Kweli binadamu ana 'roho'? Iko sehemu gani hasa mwilini?

Si lazima kuchangia kila mada hapa jukwaani, ni busara pia kusoma na kujifunza, maelezo yako mengi hapa hayana logic kwasababu tu unachokiandika hukijui na hukielewi kwakuwa una-copy na ku-paste comments za watu wengine kutoka hapa:Is Atheism mindless? - Page 8 na kujifanya ni za kwako na kujiita great thinker. So sio wote hapa ndani wapuuzi na wajinga kama wewe, changia kwa kwa uelewa wako na si KU-COPY na KU-PASTE.
hhh_zpsnphgbdrk.jpg
[/URL][/IMG]

wakati wengine tunaumiza kichwa ili tumjibu bwana Kiranga kumbe wengine wana copy na kupaste tu, bila hata kutoa source.
 
Last edited by a moderator:
no contradiction. First i said there is no answer in virtue of our limitedness in acquiring knowledge. I never meant that there is no answer in your sense. I think it is self evident truth that human beings are finite in different dimension including what we can know. Considering the question that does the soul exist?. such a question is beyond of what we can know. In fact,to say we are limited is not a contradiction.

So there is no answer meaning by our current knowledge? Not that the question is unknowabke?

What if we acquire ways to find a rational and definitive answer to this question?

How do you know what we can know if we are limited in knowledge to begin with?
 
Si lazima kuchangia kila mada hapa jukwaani, ni busara pia kusoma na kujifunza, maelezo yako mengi hapa hayana logic kwasababu tu unachokiandika hukijui na hukielewi kwakuwa una-copy na ku-paste comments za watu wengine kutoka hapa:Is Atheism mindless? - Page 8 na kujifanya ni za kwako na kujiita great thinker. So sio wote hapa ndani wapuuzi na wajinga kama wewe, changia kwa kwa uelewa wako na si KU-COPY na KU-PASTE.
hhh_zpsnphgbdrk.jpg
[/URL][/IMG]

Tatizo ni nini hapo?

Kimsingi haya tunayojadili hapa yalishajadiliwa zamani sana na hata nyingi ya hoja hapa tumezipata huko huko sasa wewe ambae unaona ni kitu cha ajabu mtu kukopi na kupest hapa nakupa pole sana

Kama wewe ni msomaji wa makala mbali mbali utajua kuwa hakuna kipya kwenye haya na yalishajadiliwa siku nyingi sana na sisi tunafanya marudiao tu!
 
Eiyer hata mimi sijui roho ni nini na inakaa wapi, kama unaweza kusaidia, pamoja na JingalaFalsafa, juve2012 na Rakims

Roho ni uhai kwa maana nyingine....

Lakini pia ukijifunza roho ni nini utajua kwamba roho haiko limited na time and space kwa maana kuwa inaweza kuwepo hapa na kule na kwingine pia na haya yako proved na sayansi

Nadhani ulishapitia mambo ya quantum physics na quantum mechanics .......!!
 
Kwa nini niyageuze kwangu kabla hujayajibu wakati mimi nimeanza kukuuliza wewe?
Nikiwambia sijui jibu, hilo litathibitisha kwamba roho ipo?

Nimekuuliza hayo maswali ili uache majibu yako yakubabisha.

nimekuuliza huruma hekima na hasira zinakaa wapi katika mwili wa binadamu wewe unalitea jibu jepesi

eti vinakaa kwenye mawazo vikiongozwa na ubongo??

mawazo ni mkusanyiko wa huruma,hekima na hasira, nikakuuliza tena mawazo yakaa wapi? katika mwili wa binadamu bado hujanijibu.

tabia yako yakujibu majibu mapesi imenifanya nijitoe ufahamu nikawa kama wewe,

nikajibu roho ni nafsi inayoogozwa na moyo, ukaja na maswali lukuki ambayo kwa hali ya kwawaida hata wewe huwezi kuyajibu

maswali yako yanafanana na haya

kwa nini binadamu anatembea kwa kutumia miguu? kwa nini hatumii kichwa, swali kama hili wewe utalijibuje?

tukirundi kwenye mada.
roho ni pumzi inayomwezesha mtu kuishi(kwa maana nyingine roho ni uhai) mtu akifa pumzi hiyo hurundi kwa mungu.
 
Kwa hiyo mtu anapomaliza uhai wake, anapokufa, roho nayo inakufa?

Aliekuambia uhai unakufa nani?

Mtu kufa maana yake uhai unakuwa haupo kwenye mwili wake,kutokuwepo kuna maana umetoka ....

Au kama unajua uhai unakufa nithibitishie!
 
Tatizo ni nini hapo?

Kimsingi haya tunayojadili hapa yalishajadiliwa zamani sana na hata nyingi ya hoja hapa tumezipata huko huko sasa wewe ambae unaona ni kitu cha ajabu mtu kukopi na kupest hapa nakupa pole sana

Kama wewe ni msomaji wa makala mbali mbali utajua kuwa hakuna kipya kwenye haya na yalishajadiliwa siku nyingi sana na sisi tunafanya marudiao tu!
Lakini si ku-copy na ku-paste kama unavyofanya na kujingea like kila comment yako. Eiyer, Ishmael
 
Last edited by a moderator:
Aliekuambia uhai unakufa nani?

Mtu kufa maana yake uhai unakuwa haupo kwenye mwili wake,kutokuwepo kuna maana umetoka ....

Au kama unajua uhai unakufa nithibitishie!

Akishidwa kuelewa na hapa nitashagaa sana.
 
Lakini si ku-copy na ku-paste kama unavyofanya na kujingea like kila comment yako. Eiyer, Ishmael

Msolo tatizo la ku-copy na ku-paste halina tatizo kabisa lakini Inasababisha kudharaulika pale unapogundulika umefanya hivyo na hujataja source.
 
Last edited by a moderator:
Msolo tatizo la ku-copy na ku-paste halina tatizo kabisa lakini Inasababisha kudharaulika pale unapogundulika umefanya hivyo na hujataja source.
Ni kweli, ila kuonyesha source ni muhimu zaidi.
 
Ni kweli, ila kuonyesha source ni muhimu zaidi.

Lakn mimi huyu jamaa huwanga simuelewi kabisa ambacho huwanga anaongelea.

unakutana na mtu kama mimi nilieishia darasa la saba lakn anaendelea kuni-quote macoping yake yakizungu. kwa nini asiwe anatumia lugha inayoeleweka kwa wengi kama anavyofanyaga kiranga. akikutana na mtu aliyemu-quote kwa kingereza anamjibu kwa kingereza wa kiswahili anajibu kwa kiswahili.
 
Si lazima kuchangia kila mada hapa jukwaani, ni busara pia kusoma na kujifunza, maelezo yako mengi hapa hayana logic kwasababu tu unachokiandika hukijui na hukielewi kwakuwa una-copy na ku-paste comments za watu wengine kutoka hapa:Is Atheism mindless? - Page 8 na kujifanya ni za kwako na kujiita great thinker. So sio wote hapa ndani wapuuzi na wajinga kama wewe, changia kwa kwa uelewa wako na si KU-COPY na KU-PASTE.

Just look carefully at the name and you will know who exactly is the person, inter-alia, you did not respond to my impeccable arguments but you are whining just like other oafish non theists.
 
look at this fool??? ivi anajua swali la hii mada kweli au? MOD ni nani jaman watu wenye ugonjwa wa akili kama hawa wanatujazia server hapa!!!
A fool is an oafish non theists who is blind just like you and can not support her evolving microillusions of no God and No Spirit.

People who are informed are not followers like you. Refute my arguments if you can or you are just another silly non theistic animal chemical.
 
A fool is an oafish non theists who is blind just like you and can not support her evolving microillusions of no God and No Spirit.

People who are informed are not followers like you. Refute my arguments if you or you are just another silly non theistic animal chemical.

Hahahahahaaaa ......!!
 
Back
Top Bottom