Kweli bongo kuna viwanda vya uongo!

Kweli bongo kuna viwanda vya uongo!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kuna hii mechi ya preseason ya Simba Sc huko Misri.

Huko Youtube kuna Channels za hapa Bongo zinatangaza mechi live. Wale jamaa wanatangaza mechi as if kweli wao wanaitazama. Kitu ambacho sio kweli.

Ukiwasikiliza wachezaji wanaowataja ni wa Simba Sc tu dakika zote, kama vile Simba inacheza peke yake.

Kumbe ni muhuni tu kajifungia uswazi huko Tandale anatangaza mpira unaochezwa huko Misri
 
IMG-20240722-WA0677.jpg
 
Kuna hii mechi ya preseason ya Simba Sc huko Misri.

Huko Youtube kuna Channels za hapa Bongo zinatangaza mechi live. Wale jamaa wanatangaza mechi as if kweli wao wanaitazama. Kitu ambacho sio kweli.
Ukiwasikiliza wachezaji wanaowataja ni wa Simba Sc tu dakika zote, kama vile Simba inacheza peke yake.
Kumbe ni muhuni tu kajifungia uswazi huko Tandale anatangaza mpira unaochezwa huko Misri
matokeo yapo vp mpaka sasa?
 
Kuna hii mechi ya preseason ya Simba Sc huko Misri.

Huko Youtube kuna Channels za hapa Bongo zinatangaza mechi live. Wale jamaa wanatangaza mechi as if kweli wao wanaitazama. Kitu ambacho sio kweli.

Ukiwasikiliza wachezaji wanaowataja ni wa Simba Sc tu dakika zote, kama vile Simba inacheza peke yake.

Kumbe ni muhuni tu kajifungia uswazi huko Tandale anatangaza mpira unaochezwa huko Misri
Ndio hizo chanel uchwara zilitangaza Simba kafungwa 6..hivi Simba haioni kama hivi vyanzo vya mapato kwa kiwashtaki kwa kuharibu Brand.
 
Ndio hizo chanel uchwara zilitangaza Simba kafungwa 6..hivi Simba haioni kama hivi vyanzo vya mapato kwa kiwashtaki kwa kuharibu Brand.
Swali zuri sana. Uzushi mwingi unaachwa unaoharibu brand tena wengine ni watu wanaofikika na kujulikana kabisa wanausambaza kwa kisingizio cha utani wa jadi.

Washukuru mimi siyo kiongozi wa hii timu, kuna watu wangelimia meno.
 
Kuna hii mechi ya preseason ya Simba Sc huko Misri.

Huko Youtube kuna Channels za hapa Bongo zinatangaza mechi live. Wale jamaa wanatangaza mechi as if kweli wao wanaitazama. Kitu ambacho sio kweli.

Ukiwasikiliza wachezaji wanaowataja ni wa Simba Sc tu dakika zote, kama vile Simba inacheza peke yake.

Kumbe ni muhuni tu kajifungia uswazi huko Tandale anatangaza mpira unaochezwa huko Misri
Niliwahi kusema, hao TCRA na vyombo vya dola ukiigusa tu Serikali na viongozi wake ndiyo wana deal na wewe, huku kwingine ni Wild Wild West.
 
Ndio hizo chanel uchwara zilitangaza Simba kafungwa 6..hivi Simba haioni kama hivi vyanzo vya mapato kwa kiwashtaki kwa kuharibu Brand.
Kukata mzizi wa fitna mechi zioneshwe live.
 
Back
Top Bottom