Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKUNA MWENYE CHAMA PALE. HICHO SIO KIKAOO CHA UKOO.
hili ni taifa kila raia anastahili..
Toeni mawazo ya kipumbavu
Nyerere familyNyoka wa makengeza hayumo?
List bado.
Tangulia kwa Mangi agiza mtori, nakuja kulipa! na wote wamerudi kwa kasi ya 5G ila umemsahau mmoja ambaye ndie Godfather ila kajificha yule burushi mwenye asili ya Iran.Nape aliposema CCM ina wenyewe wengi hawakumuelewa! Nape alimaanisha kuwa CCM imeshikiliwa na kundi fulani la watu wenye nguvu na ushawishi wao ndio huamua wanamtaka nani ndani ya CCM na nani hawamtaki!
Lakini kwa bahati mbaya kundi hili 2015 lilijichanganya likamkabidhi mshikaji mmoja usukani wakiwa na matumaini tofauti kinyume chake akawageuka na kuleta watu wapya!
Hivyo wenye CCM yao walinyooshwa kweli kweli kwa hiyo hawana jinsi ya kutamba Sasa kwani kupitia Samia wamerudisha udhibiti. Tunaposema wenye CCM tuna maanisha watu wanaosikilizwa na wenye sauti ndani ya CCM na ndio waongoza nchi!
Lakini kwenye hii orodha bahati mbaya Nape nae sio mmoja ya wenye CCM bali ni mpambe tuu kama pole pole!
Hii ndio Orodha ya wenye CCM
1.Jakaya Mrisho kikwete na Familia yake.
2.Yusuphu Makamba na Familia yake.
3.Mzee Kinana Na familia yake...
4.Bulembo na familia yake.
5.Dk Shein na Familia yake.
6.Ally Hassani mwinyi na Familia yake!
7.Samia Suluhu na familia yake!
8.Karume na familia yake
Hivyo waliobaki na ambao ni wana CCM na awapo kwenye orodha ya hizo familia wajijue kuwa wao ni wapitaji tuu na sio wana CCM bali ni wavamizi!
Nnauye sie babaake ni mlezi tu bana,watoto wa Nnauye wenyewe hawana makeke na wana maisha yao!Wanaobeza Samia & family hamuelewi tu hiyo combi inaaply kwenye Mwinyi family pale juu!
Kuna mdau kasema Nape ni mvamizi kama pole pole nop napinga
Mshua wake marehemu
Mzee Moses Nauye alikua kwenye top chain za CCM na baada ya kufariki familia ya kina Nape akakabidhiwa Mzee Kinana kama father mlezi
Anyway
CCM inawenyewe!
Hawa hawana lolote na Mzee Lowassa kwa sasa hana ushawishi wowote kabaki jina na heshima tu sawa na akina Mzee Msekwa /Malechela/Sumaye/Msuya/Warioba/Butiku. wengine ni wagonjwa hawajui kinachoendelea kama komandoo na sas.Nyerere family
Lowasa family
Kugisi family
Polepole na Bashiru hawamo?
Kwenye listi amesahauliwa tajiri wa kibrushi mwenye asili ya iran, huyu ndie kila kitu ndie bwana michongo.Ndio maana Nape hayupo kwenye List yeye ni mpambe tuu mtafuta cheo
Toka lini ccm ndo likawa taifa?.au umevembewa.HAKUNA MWENYE CHAMA PALE. HICHO SIO KIKAOO CHA UKOO.
hili ni taifa kila raia anastahili..
Toeni mawazo ya kipumbavu
Wapi nimeandika ccm ni taifa..ndio matatzo ya kuzeekea nyumbani kwenu ukisubri mali za urithiToka lini ccm ndo likawa taifa?.au umevembewa.
Angekuwemo Polepole hasingeibiwa tv ya chuo. Vilevile Bashiru hasingerudi na Uber toks ikulu baada ya kutupwa nje.Polepole na Bashiru hawamo?
Na mama yao alikabidhiwa kwa Kinana au mama hapana? Mbona Nape siyo mtoto wa Nnauye?Wanaobeza Samia & family hamuelewi tu hiyo combi inaaply kwenye Mwinyi family pale juu!
Kuna mdau kasema Nape ni mvamizi kama pole pole nop napinga
Mshua wake marehemu
Mzee Moses Nauye alikua kwenye top chain za CCM na baada ya kufariki familia ya kina Nape akakabidhiwa Mzee Kinana kama father mlezi
Anyway
CCM inawenyewe!
Mbona hawana elimu ya maana zaidi ya kucheza chipukizi? Yaani baadaye tunatawaliwa na elimu duni, au?Hujui chochote kuhusu CCM, unadhani CCM ni sawa na CHADEMA! Wenye CCM ni wale waliolelewa na kukulia ndani ya CCM. Sio mamluki kama akina Polepole.
List batili kama hao hawamoPolepole na Bashiru hawamo?
Kwenye#1 msisahau Dr Membe &family. Laigwanani naona kashatupwa Tena Kama kawaNape aliposema CCM ina wenyewe wengi hawakumuelewa! Nape alimaanisha kuwa CCM imeshikiliwa na kundi fulani la watu wenye nguvu na ushawishi wao ndio huamua wanamtaka nani ndani ya CCM na nani hawamtaki.
Lakini kwa bahati mbaya kundi hili 2015 lilijichanganya likamkabidhi mshikaji mmoja usukani wakiwa na matumaini tofauti kinyume chake akawageuka na kuleta watu wapya.
Hivyo wenye CCM yao walinyooshwa kweli kweli kwa hiyo hawana jinsi ya kutamba Sasa kwani kupitia Samia wamerudisha udhibiti. Tunaposema wenye CCM tuna maanisha watu wanaosikilizwa na wenye sauti ndani ya CCM na ndio waongoza nchi!
Lakini kwenye hii orodha bahati mbaya Nape nae sio mmoja ya wenye CCM bali ni mpambe tuu kama pole pole!
Hii ndio Orodha ya wenye CCM
1. Jakaya Mrisho kikwete na Familia yake
2. Yusuphu Makamba na Familia yake
3. Mzee Kinana Na familia yake
4. Bulembo na familia yake
5. Dk Shein na Familia yake
6. Ally Hassani mwinyi na Familia yake
7. Samia Suluhu na familia yake
8. Karume na familia yake
Hivyo waliobaki na ambao ni wana CCM na awapo kwenye orodha ya hizo familia wajijue kuwa wao ni wapitaji tuu na sio wana CCM bali ni wavamizi!