Kweli CCM ina wenyewe, Nape alisema ukweli. Hawa ndio wenye CCM wengine wamevamia!

halafu wote watoto wa mama mdogo PATAMU hapo.

ila YESU hajawahi kushindwa tunakwenda KUWASHINDA KWA KISHINDO.

MUDA UTAONGEA.
 
Tangulia kwa Mangi agiza mtori, nakuja kulipa! na wote wamerudi kwa kasi ya 5G ila umemsahau mmoja ambaye ndie Godfather ila kajificha yule burushi mwenye asili ya Iran.
 
Nnauye sie babaake ni mlezi tu bana,watoto wa Nnauye wenyewe hawana makeke na wana maisha yao!
 
Nyerere family
Lowasa family
Kugisi family
Hawa hawana lolote na Mzee Lowassa kwa sasa hana ushawishi wowote kabaki jina na heshima tu sawa na akina Mzee Msekwa /Malechela/Sumaye/Msuya/Warioba/Butiku. wengine ni wagonjwa hawajui kinachoendelea kama komandoo na sas.
 
Nnauye sie babaake ni mlezi tu bana,watoto wa Nnauye wenyewe hawana makeke na wana maisha yao!

Ndio maana Nape hayupo kwenye List yeye ni mpambe tuu mtafuta cheo
 
Ndio maana Nape hayupo kwenye List yeye ni mpambe tuu mtafuta cheo
Kwenye listi amesahauliwa tajiri wa kibrushi mwenye asili ya iran, huyu ndie kila kitu ndie bwana michongo.
 
Baasi kwa list hii polepole hana nguzo ya kujivunia
 
Na mama yao alikabidhiwa kwa Kinana au mama hapana? Mbona Nape siyo mtoto wa Nnauye?
 
Hujui chochote kuhusu CCM, unadhani CCM ni sawa na CHADEMA! Wenye CCM ni wale waliolelewa na kukulia ndani ya CCM. Sio mamluki kama akina Polepole.
Mbona hawana elimu ya maana zaidi ya kucheza chipukizi? Yaani baadaye tunatawaliwa na elimu duni, au?
 
Kwenye#1 msisahau Dr Membe &family. Laigwanani naona kashatupwa Tena Kama kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…