Kweli Dkt. Slaa kwenye matamshi yake ametamka "tutafanya hivyo"?

Kweli Dkt. Slaa kwenye matamshi yake ametamka "tutafanya hivyo"?

Nimesikiliza kipande cha clip ya Dkt. Slaa kinachoongelea mapinduzi (sijui ya nchi gani) ila sijasikia maneno " tutafanya hivyo".

Kwenye issue serious kama hii, kuweka clip vipande vipande au kumlisha mtu maneno ni zaidi ya uhaini wenyewe.

Kama hayo maneno mawili hayapo, nashauri hata uzi husika ufutwe.
Solution ya nchi hii ni hiyo no alternative
 
dua la kiuku halimpati mwewe

Kumbe wewe mtoto umezaliwa juzi....hujui dunia ian historia gani............................kwaheri

Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980

1692172969901.png
 
Mapinduzi maana yake ni Uhaini... sasa mbona ccm wao wanaitwa chama cha mapinduzi au nao ni wahaini pia?
Haya, kawashitaki.

Siku hizi mamboi ni mahakama tu. Kila mtu apate haki yake.
 
Haya, kawashitaki.

Siku hizi mamboi ni mahakama tu. Kila mtu apate haki yake.
kwa kosa gani ndugu? la uhaini kama wao wanavyo washitaki wengine au? uhaini kwa maana ya mapinduzi, halari au sio halari upo wa aina nyingi. mfano sanduku ka kura ( ni legalised mapinduzi) , migomo ya madaktari, walimu, etc, vyote hivi ni mambo yanaweza kuitwa mapinduzi au uhaini wa ku-change status quo ili mambo yabadilike. Hata yakiwa mapinduzi ya kijeshi/Uhaini, yatakubarika tu ili mradi masses /majority wakubali. Kwa taarifa yako, hata kwenda mahakani pia ni uhaini... hatuna nchi ya kifalme kwamba mtu mmoja atakaa madarakani milele, kama ndivyo hivyo, ya ni nini kuita wenzako wahainui ili hali wanataka mabadiriko? Ni nani mwenye hati miliki ya uongozi ktk nchi inayofuata mifumo ya kidemocrasia?
 
kwa kosa gani ndugu? la uhaini kama wao wanavyo washitaki wengine au? uhaini kwa maana ya mapinduzi, halari au sio halari upo wa aina nyingi. mfano sanduku ka kura ( ni legalised mapinduzi) , migomo ya madaktari, walimu, etc, vyote hivi ni mambo yanaweza kuitwa mapinduzi au uhaini wa ku-change status quo ili mambo yabadilike. Hata yakiwa mapinduzi ya kijeshi/Uhaini, yatakubarika tu ili mradi masses /majority wakubali. Kwa taarifa yako, hata kwenda mahakani pia ni uhaini... hatuna nchi ya kifalme kwamba mtu mmoja atakaa madarakani milele, kama ndivyo hivyo, ya ni nini kuita wenzako wahainui ili hali wanataka mabadiriko? Ni nani mwenye hati miliki ya uongozi ktk nchi inayofuata mifumo ya kidemocrasia?
Haya. Nenda mahakamani.
 
Haya. Nenda mahakamani.
kufanya nini? niambie kosa la kupeleka mahakamani ndugu... mimi nakubaliana na mapinduzi kama ccm inavyoitwa chama cha mapinduzi - " Uhaini"- sio kosa... amaka, acha kulishwa maneno, changanya na zako...
 
Kabla sijachangia huu uzi nimetafuta ukweli nikaupa kuwa ni kweli Dr.Slaa alitoa hayo matamshi.
Sio kila mzee anabusara,kukosoa kwa staha ni bora zaidi.
 
Mods wajiridhishe kuhusu yaliyotamkwa kwenye clip na yaliyonukuliwa hapa JF.kwa maandishi na wachukue hatua stahiki in case kuna upotioshaji wa makusudi.

Hizo nukuu karibu zote naona zina maneno ambayo kwenye clip hayapo sio tu ya Dr. Slaa hata za hao watuhumiwa wengine.
Ingekuwa inaihusu CCM huenda hata tusingeusoma Uzi huu, Mods wanamakengeza.
 
Jiulize swali dogo tu, huyo aliyeandika Dr. Slaa ametamka hayo maneno, kwanini ameshindwa kutuwekea video inayoendana na kile alichoandika ili kuthibitisha madai yake dhidi ya Dr. Slaa?

Video wanayoiweka, ni kipande kifupi, kisichozidi hata sekunde kumi, ambacho nacho hakitoshi kuthibitisha madai yao dhidi ya Dr. Slaa, maneno ya kwenye video ni machache sana ukilinganisha na yale aliyoandika mleta mada, huyu ni wazi ametunga.

Miaka yote ukiona uzi umevamiwa na Ritz kahtaan FaizaFoxy na wale wengine wawili, ujue hapo ni udini tu, hakuna facts, wapuuzwe.
Clip iliwekwa humu JF CHADEMA WAHAINI wakaifuta
 
Aisee kumbe wameongea hivi? Hakika wanastahili kitachowapata.
 
Watanzania msiogope hakuna kesi pale. Uhaini ni issue nyeti sana hata kama utamke ila bado lazima jamuhuri ithibitishe uwepo wa mipango ya kufanya kosa hilo.

By the way mods wamekuwa hash na kuchukua hatua ukitoa tuhuma zisizo na uthibitisho kwa serikali na wamekuwa wakitazama tuu watu binafsi kama kina slaa wakishambuliwa.

Samper fidels
Sasa Hadi uje udhibitishwe utakuwa umezota Sana [emoji38] case nyingi za tz Ni usushi hazina ushahidi
 
Nakusudia kulishtaki jeshi la Polisi Tanzania kwa kusababisha taharuki ktk Taifa... kupitia uzushi wa uhaini
 
na chuki imeshakuwa permanently implanted among Tanzanians against CCM na vizazi vyao. Hii kitu itawaangamiza CCM na vizazi vyao hata iwe miaka 200!
Nakubaliana nawe ijapokuwa watawala wanadanganywa na wasaidizi kwamba hali ni shwari. Watanzania wanapandikizwa chuki mbaya sana. Kama alivyotoa maoni yake Prof Kabudi kabla ya kuingia kwenye mfumo wa serikali aliwahi kusema : ogopa sana mtu anayenung'unika lakini anaka kimya, siku akikosa uvumilivu ni mbaya sana hatua anazochukua"

Kuna watu wakati wa kampeni za JPM 2020 walidai wataleta snipper kumdhuru lakini hawakukamatwa mpaka le, kuna waliofanya sherehe ya kufuru baada ya kifo chake baadhi walikamatwa lakini kwa maagizo toka juu wakaachiwa huru.
 
Back
Top Bottom