peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Solution ya nchi hii ni hiyo no alternativeNimesikiliza kipande cha clip ya Dkt. Slaa kinachoongelea mapinduzi (sijui ya nchi gani) ila sijasikia maneno " tutafanya hivyo".
Kwenye issue serious kama hii, kuweka clip vipande vipande au kumlisha mtu maneno ni zaidi ya uhaini wenyewe.
Kama hayo maneno mawili hayapo, nashauri hata uzi husika ufutwe.
dua la kiuku halimpati mwewe
Haya, kawashitaki.Mapinduzi maana yake ni Uhaini... sasa mbona ccm wao wanaitwa chama cha mapinduzi au nao ni wahaini pia?
Chawa wa mamaHaya, kawashitaki.
Siku hizi mamboi ni mahakama tu. Kila mtu apate haki yake.
kwa kosa gani ndugu? la uhaini kama wao wanavyo washitaki wengine au? uhaini kwa maana ya mapinduzi, halari au sio halari upo wa aina nyingi. mfano sanduku ka kura ( ni legalised mapinduzi) , migomo ya madaktari, walimu, etc, vyote hivi ni mambo yanaweza kuitwa mapinduzi au uhaini wa ku-change status quo ili mambo yabadilike. Hata yakiwa mapinduzi ya kijeshi/Uhaini, yatakubarika tu ili mradi masses /majority wakubali. Kwa taarifa yako, hata kwenda mahakani pia ni uhaini... hatuna nchi ya kifalme kwamba mtu mmoja atakaa madarakani milele, kama ndivyo hivyo, ya ni nini kuita wenzako wahainui ili hali wanataka mabadiriko? Ni nani mwenye hati miliki ya uongozi ktk nchi inayofuata mifumo ya kidemocrasia?Haya, kawashitaki.
Siku hizi mamboi ni mahakama tu. Kila mtu apate haki yake.
Wewe chawa wa baba?Chawa wa mama
Haya. Nenda mahakamani.kwa kosa gani ndugu? la uhaini kama wao wanavyo washitaki wengine au? uhaini kwa maana ya mapinduzi, halari au sio halari upo wa aina nyingi. mfano sanduku ka kura ( ni legalised mapinduzi) , migomo ya madaktari, walimu, etc, vyote hivi ni mambo yanaweza kuitwa mapinduzi au uhaini wa ku-change status quo ili mambo yabadilike. Hata yakiwa mapinduzi ya kijeshi/Uhaini, yatakubarika tu ili mradi masses /majority wakubali. Kwa taarifa yako, hata kwenda mahakani pia ni uhaini... hatuna nchi ya kifalme kwamba mtu mmoja atakaa madarakani milele, kama ndivyo hivyo, ya ni nini kuita wenzako wahainui ili hali wanataka mabadiriko? Ni nani mwenye hati miliki ya uongozi ktk nchi inayofuata mifumo ya kidemocrasia?
kufanya nini? niambie kosa la kupeleka mahakamani ndugu... mimi nakubaliana na mapinduzi kama ccm inavyoitwa chama cha mapinduzi - " Uhaini"- sio kosa... amaka, acha kulishwa maneno, changanya na zako...Haya. Nenda mahakamani.
Huko kwenu wapoWewe chawa wa baba?
Ingekuwa inaihusu CCM huenda hata tusingeusoma Uzi huu, Mods wanamakengeza.Mods wajiridhishe kuhusu yaliyotamkwa kwenye clip na yaliyonukuliwa hapa JF.kwa maandishi na wachukue hatua stahiki in case kuna upotioshaji wa makusudi.
Hizo nukuu karibu zote naona zina maneno ambayo kwenye clip hayapo sio tu ya Dr. Slaa hata za hao watuhumiwa wengine.
Clip iliwekwa humu JF CHADEMA WAHAINI wakaifutaJiulize swali dogo tu, huyo aliyeandika Dr. Slaa ametamka hayo maneno, kwanini ameshindwa kutuwekea video inayoendana na kile alichoandika ili kuthibitisha madai yake dhidi ya Dr. Slaa?
Video wanayoiweka, ni kipande kifupi, kisichozidi hata sekunde kumi, ambacho nacho hakitoshi kuthibitisha madai yao dhidi ya Dr. Slaa, maneno ya kwenye video ni machache sana ukilinganisha na yale aliyoandika mleta mada, huyu ni wazi ametunga.
Miaka yote ukiona uzi umevamiwa na Ritz kahtaan FaizaFoxy na wale wengine wawili, ujue hapo ni udini tu, hakuna facts, wapuuzwe.
Clip iliwekwa humu ikitoka kwenye twitter account ya Gobless Lema JF CHADEMA WAHAINI WAKAIFUTAKabla sijachangia huu uzi nimetafuta ukweli nikaupa kuwa ni kweli Dr.Slaa alitoa hayo matamshi.
Sio kila mzee anabusara,kukosoa kwa staha ni bora zaidi.
Imo humuhumu na kwenye mitandao mingine ipo imezagaa, tena ipo ile yenye maelezo marefu na kina kabisa.Clip iliwekwa humu ikitoka kwenye twitter account ya Gobless Lema JF CHADEMA WAHAINI WAKAIFUTA
Mkuu nipe link utanisaidia sanaImo humuhumu na kwenye mitandao mingine ipo imezagaa, tena ipo ile yenye maelezo marefu na kina kabisa.
Sasa Hadi uje udhibitishwe utakuwa umezota Sana [emoji38] case nyingi za tz Ni usushi hazina ushahidiWatanzania msiogope hakuna kesi pale. Uhaini ni issue nyeti sana hata kama utamke ila bado lazima jamuhuri ithibitishe uwepo wa mipango ya kufanya kosa hilo.
By the way mods wamekuwa hash na kuchukua hatua ukitoa tuhuma zisizo na uthibitisho kwa serikali na wamekuwa wakitazama tuu watu binafsi kama kina slaa wakishambuliwa.
Samper fidels
Nakubaliana nawe ijapokuwa watawala wanadanganywa na wasaidizi kwamba hali ni shwari. Watanzania wanapandikizwa chuki mbaya sana. Kama alivyotoa maoni yake Prof Kabudi kabla ya kuingia kwenye mfumo wa serikali aliwahi kusema : ogopa sana mtu anayenung'unika lakini anaka kimya, siku akikosa uvumilivu ni mbaya sana hatua anazochukua"na chuki imeshakuwa permanently implanted among Tanzanians against CCM na vizazi vyao. Hii kitu itawaangamiza CCM na vizazi vyao hata iwe miaka 200!