Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

Chai hiii 🍡
 
Kwa nini umelia mkuu?
Mimi ni mpweke Mnoo,,sasa kama ukimpiga chini huyo Bibie nipasie namba zake Kama hutojali lakini ili Tisitiriane Mimi na Yeye naelewa nae atabaki yu mpweke,,,Tafadhali zingatia hilo.
 
Mimi ni mpweke Mnoo,,sasa kama ukimpiga chini huyo Bibie nipasie namba zake Kama hutojali lakini ili Tisitiriane Mimi na Yeye naelewa nae atabaki yu mpweke,,,Tafadhali zingatia hilo.
Unaenda kudaka namba ya singo maza mtarajiwaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi ni mpweke Mnoo,,sasa kama ukimpiga chini huyo Bibie nipasie namba zake Kama hutojali lakini ili Tisitiriane Mimi na Yeye naelewa nae atabaki yu mpweke,,,Tafadhali zingatia hilo.
Mbona hawa viumbe wako wengi, unakwama wapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…