Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

Mbona hawa viumbe wako wengi, unakwama wapi mkuu
Au ni...... πŸ˜‚πŸ˜‚
Anyway hiyo hali ipo tu mkuu some times unaeza ukawa unakataliwa kila unapogusa sijui unaelewaaaa???

Na kama huna moyo wa kubembeleza ndo kabisaaaa
 
Nakushauri myajenge na mmalize tofauti zenu.

In short hapo Mungu kakupa wa kufanana naww.

Wengine hata tukiwa na Energy tu, tunaambiwa tunapenda mno mapombe.
Ila kwa sasa inabidi kupunguza unywaji
 
Najua wako wengi,,,sina Napo kwama,,,wewe Nenda Kwa hao wengine wengi,, Mimi nitulie na huyo unayefikiria kumpiga chini,,,Mimi ni mfariji wa wenye huzuni sihitaji huyo kiumbe abaki upweke,huzuni na simanzi pia
 
Au ni...... πŸ˜‚πŸ˜‚
Anyway hiyo hali ipo tu mkuu some times unaeza ukawa unakataliwa kila unapogusa sijui unaelewaaaa???

Na kama huna moyo wa kubembeleza ndo kabisaaaa
Kubembeleza muhimu, huyu wa kwangu amenizingua lakini bado nambembeleza ili ajione anafaa; nikipata salio nitajifanya kumpelekea bando mbili za bati, muhimu niendelee kuwa pale kati πŸ˜€
 
Bali nae kwanza subiri mpaka siku akikuua ndio unamuacha
 
Najua wako wengi,,,sina Napo kwama,,,wewe Nenda Kwa hao wengine wengi,, Mimi nitulie na huyo unayefikiria kumpiga chini,,,Mimi ni mfariji wa wenye huzuni sihitaji huyo kiumbe abaki upweke,huzuni na simanzi pia
Utakuja kupigwa πŸ˜‘πŸ”¨ ya head iyoo machungu yakimuisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…