Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liwalo na liweSasa mwanamke anakunywa pombe na ana mimba
Anyway nyote akili ni sawa
Pata chai ulale, upo hapa jukwaani kutafuta cheoUngepumzika kidogo boss🙏🏼
Hizi nyuzi ni chai ila kisaikolojia zinafichua mengi kukuhusu
😁😁😁 sawa pamoja sana rafikoPata chai ulale, upo hapa jukwaani kutafuta cheo
Mapenzi nd'ouwaga yako ivo.Kweli mkuu, nikimuacha nitaumia sana, natafuta nguvu hapa niurudishe uhusiano kwa spidi kubwa
Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.
Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.
Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.
Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.
Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.
Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.
Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.
Leo anadai matumiziHUPENDWI
Sirudii tena kupiga kinywaji kwa sasaUlevi noma
Uko sahihiKesi ya vichaa inaumuliwa na kushauriwa na vichaa wenzao!
Kupendwa anapendwa, saazingine mimba huja na vitimbi vyake.HUPENDWI
Ungekuwa wewe ungefanyaje mkuu?Kwahiyo ukapigwa braza Equation x
Najaribu kuangalia na mazingira ya tukioHapo mwanaume unauliza tena cha kufanya? Ndo ameshikilia uhai wa pyumbu zako huyo au
Familia bado inanitegemea 😀Ubaya ubwela ..😃😃
Komaa nae hadi akuue