Kweli inaweza kutokea "kwa bahati mbaya"?

Utafiti wa hili jambo ndio unaweza kutoa jibu sahihi. Kama ni kweli, basi sio ajabu kichwa kilichokua ''offline'' kikiwa ''on'' kikalaani yaliyotokea na hivyo

kwa upande huo itakua ni KWELI KUNA BAHATI MBAYA HAPO.

na ndo inakuwaga,asubuhi unajiuliza 'hivi ilikuwaje vile?
 



BjBj ulikua wapi siku zoote hizi?? Source: Babu
 
watu siku hizi wote ni wasanii tu, kashamaliza ndo anaona bahati mbaya, wala jambo hilo hakuna bahati mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…