Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Karibia TV zote za Kenya zipo live zinaonyesha tukio la kuaga mwili wa marehemu uwanja wa Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kile unachofikiria ndio unadhani ni ukweli, watu kama wewe mnaitaji ukombozi wa kimawazo, haswa kutokana na propaganda mlizo lishwa. Mwenyezi Mungu awasaidie sana.Wajanja wanajipendekeza, wana personal interests
Toka lini manyang'au makabaila mapebari wakatupenda, ni mtego
Hawa ndio ndugu?!Karibia TV zote za Kenya zipo live zinaonyesha tukio la kuaga mwili wa marehemu uwanja wa Taifa.
Sio ndugu zetu ni majirani zetuKaribia TV zote za Kenya zipo live zinaonyesha tukio la kuaga mwili wa marehemu uwanja wa Taifa.
Ukiacha unyang'au wao, ni ndugu zetu!Karibia TV zote za Kenya zipo live zinaonyesha tukio la kuaga mwili wa marehemu uwanja wa Taifa.
Na hili nimeamini kwenye tukio la Rais wetu kwamba hawa jamaa sio watu.Karibia TV zote za Kenya zipo live zinaonyesha tukio la kuaga mwili wa marehemu uwanja wa Taifa.
Sasa a media sensational headline itakua fikra ya wakenya wote? Mnaitaji ukombozi wa kiaina[emoji23]., Mko na uwezo duni sana wa ki fikra. Propaganda ni mbaya kweli., Mtu anakimbia na hakuna ambaye anamfukuza, ni fikra zake zinamdanganya. Kwani watanzania wote mko na paranoia schizophrenia?Hawa ndio ndugu?!
Nawewe nawe chizi tu sasa umesema mawazo ya media moja sio mawazo ya wa ke wote iweje mawazo ya mtu mmoja utake wote tupate ukombozi wa ki fikra? Sema huyo jamaa ndio anahitaji ukombozi wa ki fikraSasa a media sensational headline itakua fikra ya wakenya wote? Mnaitaji ukombozi wa kiaina[emoji23]., Mko na uwezo duni sana wa ki fikra. Propaganda ni mbaya kweli., Mtu anakimbia na hakuna ambaye anamfukuza, ni fikra zake zinamdanganya. Kwani watanzania wote mko na paranoia schizophrenia?
Yaani umepatia kumkosoa kuwa maoni ya gazeti hayawezi kuwa ni ya Wakenya wote, kisha ukaenda hatua moja nyuma na kufanya kosa lilelile ulilolikosoa kwamba Watanzania wote ni paranoia na schizophrenic.Sasa a media sensational headline itakua fikra ya wakenya wote? Mnaitaji ukombozi wa kiaina[emoji23]., Mko na uwezo duni sana wa ki fikra. Propaganda ni mbaya kweli., Mtu anakimbia na hakuna ambaye anamfukuza, ni fikra zake zinamdanganya. Kwani watanzania wote mko na paranoia schizophrenia?
Ndugu zetu na nani? labda ndugu zako wewe!Karibia TV zote za Kenya zipo live zinaonyesha tukio la kuaga mwili wa marehemu uwanja wa Taifa.
Hakuna kitu kama hicho..Hakuna Watanzania wanaofuatila yanayoendelea Kenya kwa wingi..ni wachache tu humu JF.Nimefurahishwa na kushangangazwa sana na uelewevu wa watazanzia kwa geopolitics katika kanda letu.Ninaona ni kama watanzania mnaelewa sana mambo ya Kenya ukilinganisha na vile sisi tunawaelewa...sababu yake inaweza kuwa gani?
ndio. Kenya ndio ndugu mkubwa wa Tanzania. kwani huna habari?Hawa ndio ndugu?!
dogo,, unajua kifo cha huyu mwamba kimeshtua wengi sana. historia imejirudia tena kwa mara ya pili. toka Kinjekitile Ngwale season 1, wengi wetu tulikuwa bado hatujazaliwa. saa hizi tuko season 2.Hakuna kitu kama hicho..Hakuna Watanzania wanaofuatila yanayoendelea Kenya kwa wingi..ni wachache tu humu JF.
Lakini media za Kenya zinawalisha Wakenya mambo mengi yanayoendelea tz na sijui ni kwa nini?..
dogo,, unajua kifo cha huyu mwamba kimeshtua wengi sana. historia imejirudia tena kwa mara ya pili. toka Kinjekitile Ngwale season 1, wengi wetu tulikuwa bado hatujazaliwa. saa hizi tuko season 2.
Kenyans and the whole world at large have a reason to learn How Not To Be Stupid.