mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
wanaotetea kiswahili ni wanafiki, ni swa na wake wanaomsifu mwalimu Nyrerere kila siku bila kutekeleza mawazo yake. ukiwachuguza utagundua wengine wana hizi shule za English Medium au wanasomesha watoto wao huko kwa sababu tu wanaenzi sana Kiingereza. hata majumbani wanawasemesha watoto wao kiingereza lakini hadharani watasifu kiswahili. Jambmbo hili la kukiponda kiingereza limeanza muda mrefu na kuwafanya baadhi ya wanachi kutokipa uzito na hatimaye kimeshuka sana miongoni mwa watanzahia wa kawaida.Janja ya sizitaki mbichi hizi ya wanasiasa kumbe wananufaika
maoni yangu ni kuwa tukienzi kiswahili but not at the expense of English. Uelekeo wa dunia kwa siku zijazo ni kuwa na lingua franka kwa watu wote duniani na kiingereza kina nafasi kubwa sana. tusipokazana vya kutosha kujielimisha lunga ya kiingereza na kung'ang'ania kiswahili pekee itafika siku tatajajuta. mfano kuna maarifa mengi sana yapo kwa kiingereza na hivi kila mtu akitaka kuyafikia kwa njia ya tafsiri sijui!! Mwalimu aliwahisema Kiingereza ni kiswahili cha dunia labda tutafakari hii hoja ya mwalimu
maoni yangu ni kuwa tukienzi kiswahili but not at the expense of English. Uelekeo wa dunia kwa siku zijazo ni kuwa na lingua franka kwa watu wote duniani na kiingereza kina nafasi kubwa sana. tusipokazana vya kutosha kujielimisha lunga ya kiingereza na kung'ang'ania kiswahili pekee itafika siku tatajajuta. mfano kuna maarifa mengi sana yapo kwa kiingereza na hivi kila mtu akitaka kuyafikia kwa njia ya tafsiri sijui!! Mwalimu aliwahisema Kiingereza ni kiswahili cha dunia labda tutafakari hii hoja ya mwalimu