Kweli mapenzi ni mental disease

Mapenz sio mchezo,.m nlitamani kumchomea ndani mtu..ila nikawaza familia inanitegemea ...ikabid mafuta niyaweke kwenye pikpik yangu tu...
 
😀😀😀😀
 
Kubali kwanza unampenda huyo mtu.
Then kubali kua, yuko na mtu mwingine, Yes, Hakuzingatii kwa sababu kwa kipindi hicho cha miaka 3 alishajichanganya pengine.

Ukishakubaliana na facts zote hizo juu, go look for another chick, Soon tu utakua normal
 
Hii kitu kwa upande wangu ipo ila ina sense tofauti kidogo sasa mi sio kwamba na teseka isipokuwa ti mi huwa ananijia kwenye njoze mdada mmoja hv wakuitwa RACHEL MMARY huyu hatukuwah kuw na serious relationship huwez amini ni about miaka 9 sasa tumepotezana ila ndio dem ninae muota mara nyingi zaid ya kwa mwez kumuota mpak mara 5 ni kawaida shida namuota akiw na muonekano ule ele wa kitambo tupo karibu though nlikuja kuckia juu juu kua ameolewa na ana mtoto but still huwa ankuja na nkimuota lazma awe na mashoga zake wawili SHAKILA NA ANGEL nshawah jiuliza sana why yy tu akati nshapita na madem ata fuso kumi na cwakumbuki kbs wngn yani ila huwa siumii ah ah nipo normal tu na huwa nachukulia n ndoto ti always.
 
Duh
 
Kubali kwanza unampenda huyo mtu.
Then kubali kua, yuko na mtu mwingine, Yes, Hakuzingatii kwa sababu kwa kipindi hicho cha miaka 3 alishajichanganya pengine.

Ukishakubaliana na facts zote hizo juu, go look for another chick, Soon tu utakua normal
Thanks
 
Pamoja na usumbufu wa mapenzi duniani nadhani ukoo wenu na nyie mnaendekeza sana mapenzi. Mnayapa airtime sana mapenzi. Angalia dada yako now wewe!
 
Ingia Google andika neno hili "vagabond" soma maana yake kisha anza kuishi hio lifestyle I'm telling you ndani ya muda mfupi utasahau kila kitu

Ili unielewe unatakiwa uende extra miles huwezi kunielewa km unatumia akili za kawaida
 
Tangu nianze kuchovya. Sijawahi kupenda. Na hadi leo hata wife anajua simpendi mwanamke yeyote. Ninachokifanya ni heshima tu kwake na akizingua kidogo atatembea kwao.

Ninawashangaa wanaopata kichaa hadi kujunyonga eti kisa mapenzi. Sijui wanawazaje.

Na mwanaume unakuwaje teja kwa mwanamke hadi unavurugwa? Anakulea au? Yeye ni nani kwako hadi uvurugwe na penzi lake? Nitavurugwa kwa kukosa mapenzi ya baba na mama basi. Vingine labda pesa tu.
Mpo 20s au 30s?
N
 
kula kitu mkuu kina tabia ya kuchukulia mambo poa na kupuuzaa mambo
 
sio kwamba ulipigwa tukio mkuu ndiyo ikakufanya uwe ivyo?😂😂
 
Hakuna namna yeyote unayo weza kujinasua hapo nihadi ubadili
MTAZAMO👈fikra zako kuhusu mapenzi.
mtu mlie kutana duniani bila tarajio lolote leo hii uliweka tumaini lako la furaha kwauhakika ukidhani yeye atabeba jukumu hilo kwanamna unavyo dhani wewe!
hayupo mtu alie kuja beba sehemu ya vitu vyawatu hapa dunia.
furaha ya uhakika inaanzia ndani mwako kisha unaipamba kutokea
nj'e na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…