Kweli mapenzi yananenepesha

Kweli mapenzi yananenepesha

Mr mapenzi manake concepts zako ni mapenzi tu. Sometimes think beyond the box
Tufanyeje ili tuweze kuchimba mafuta yetu katika ufukwe wa pwani, ili tuweze kuwauzia nchi za Ulaya na Marekani ili tupate fedha za kigeni, pamoja na kuimarisha shilingi yetu vs US dollar?
 
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.

Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.

Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.

Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?

Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.​
Picha tafadhali ulivyomkumbatia baby wako!
 
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.

Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.

Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.

Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?

Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.​
Nawili = Nawiri
 
yaani mapenzi ni kama aliyebebwa na kurushwa juuuuuuuu kama mtoto,

huwa unapata raha sana ukiwa katika hiyo hali, ila omba sana Mungu huyo anayekurusha akudake asikuache uanguke.

sababu kadri unavyozidi kupata raha kwenye mapenzi ndivyo utakavyoumia sana mkiachana

Mola anitunzie mamsapu wangu😍😍😍
 
Back
Top Bottom