Kweli mh Pinda umetangaza kuwapa kazi ya sensa walimu na watumishi wa umma?

Kweli mh Pinda umetangaza kuwapa kazi ya sensa walimu na watumishi wa umma?

Mwigamba son

Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
27
Reaction score
6
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho hivi karibuni mh Pinda wakati akisoma bajeti ya wizara yake alisema zoezi la sensa litafanywa na walim pamoja na watumishi wengine wa umma.Jambo hili naona kama ni mwiba mkali kwa vijana waliotoka vyuoni wasio na ajira. kwani wangepewa fursa hiyo pengine wangejipatia mitaji kupitia zoezi hilo la sensa. Kitendo cha kuwapa walim na watumish wengine wa umma ajira hii wakati tayari wao wana ajira ni tusi kwangu mie kijana nisiye na ajira. Sasa nimeamini ccm haina sera yoyote ya kuongeza ajira kwa vijana.
Kama ukosefu wa ajira kwa vijana ungekuwa uko kwenye vichwa vya watawala basi vijana wangekuwa wa kwanza kufikiliwa panapo fursa kama hizi. hivyo serikali iliyopo madarakani nadiliki kusema haina nia ya dhati ya kutatua taizo la ajira kwa vijana.Kweli Mh Pinda unatunyima vijana wa kitanzania tusio na kazi zoezi la sensa na kuwapa watumishi wa umma ambao tayari wana ajira na mpaka mmewalazimisha walimu kubadili mihula mashuleni.hivi kweli vijana hatuwezi kulifanya zoezi hili kikamilifu mbona mnatupuuza mheshimiwa
 
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho hivi karibuni mh Pinda wakati akisoma bajeti ya wizara yake alisema zoezi la sensa litafanywa na walim pamoja na watumishi wengine wa umma.Jambo hili naona kama ni mwiba mkali kwa vijana waliotoka vyuoni wasio na ajira. kwani wangepewa fursa hiyo pengine wangejipatia mitaji kupitia zoezi hilo la sensa. Kitendo cha kuwapa walim na watumish wengine wa umma ajira hii wakati tayari wao wana ajira ni tusi kwangu mie kijana nisiye na ajira. Sasa nimeamini ccm haina sera yoyote ya kuongeza ajira kwa vijana.
Kama ukosefu wa ajira kwa vijana ungekuwa uko kwenye vichwa vya watawala basi vijana wangekuwa wa kwanza kufikiliwa panapo fursa kama hizi. hivyo serikali iliyopo madarakani nadiliki kusema haina nia ya dhati ya kutatua taizo la ajira kwa vijana.Kweli Mh Pinda unatunyima vijana wa kitanzania tusio na kazi zoezi la sensa na kuwapa watumishi wa umma ambao tayari wana ajira na mpaka mmewalazimisha walimu kubadili mihula mashuleni.hivi kweli vijana hatuwezi kulifanya zoezi hili kikamilifu mbona mnatupuuza mheshimiwa

Kwa nini unamuita muheshimiwa, angekuwa muheshimiwa asingewanyima hako ka-ajira na kuwapa wenye afadhali.
 
Mwalimu wenyewe hawataki kwani wamebana pesa za malipo (watalipa posho), bado kitakacho tokea ni usumbufu, kwani wanataka kutishia ajira zao pale ambapo kitakuwa hakieleweki.
 
Kweli umetoa point ya maana sana. Serikali ya magamba bwana!!!
 
Si uongo hawana nia nzuri na Vijana wa Tanzania wasiokuwa na Ajira. Vijana wana nguvu na wangeweza zoezi hili bila shaka. usisikie wakiongea hadi wanatoka povu kwamba ooooh vijana tutawapa ajira. Jaribu kwenda hata wilayani unawaambiwa kama huna CV ya Ualimu hii kazi hupewi.
Waalimu wafunge shule wakafanye Sensa ambayo vijana wanaweza kwao ni sawa tu. ''Mwenye Nacho huongezewa na Asiykuwanacho hapewi hata kama anastahili kwa kuwa hana mtetezi''.
 
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho hivi karibuni mh Pinda wakati akisoma bajeti ya wizara yake alisema zoezi la sensa litafanywa na walim pamoja na watumishi wengine wa umma.Jambo hili naona kama ni mwiba mkali kwa vijana waliotoka vyuoni wasio na ajira. kwani wangepewa fursa hiyo pengine wangejipatia mitaji kupitia zoezi hilo la sensa. Kitendo cha kuwapa walim na watumish wengine wa umma ajira hii wakati tayari wao wana ajira ni tusi kwangu mie kijana nisiye na ajira. Sasa nimeamini ccm haina sera yoyote ya kuongeza ajira kwa vijana.
Kama ukosefu wa ajira kwa vijana ungekuwa uko kwenye vichwa vya watawala basi vijana wangekuwa wa kwanza kufikiliwa panapo fursa kama hizi. hivyo serikali iliyopo madarakani nadiliki kusema haina nia ya dhati ya kutatua taizo la ajira kwa vijana.Kweli Mh Pinda unatunyima vijana wa kitanzania tusio na kazi zoezi la sensa na kuwapa watumishi wa umma ambao tayari wana ajira na mpaka mmewalazimisha walimu kubadili mihula mashuleni.hivi kweli vijana hatuwezi kulifanya zoezi hili kikamilifu mbona mnatupuuza mheshimiwa

Ameikumbuka tamthiliya ya "NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE", lol. Inaonekana vijana wakipewa hii kazi watafanya kama Ngoswe, lol
 
Ameikumbuka tamthiliya ya "NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE", lol. Inaonekana vijana wakipewa hii kazi watafanya kama Ngoswe, lol
si kweli kwamba vijana ni watovu wa nidhamu kazini Ngoswe alikuwa ni mdhaifu wa mapenzi na mlimbukeni wa mapenzi kijana wa leo anafaham mapenzi ni nini na hachanganyi kazi na mapenzi na ndio maana wanaimudu mitandao ya mapenzi mikubwa bila wenzi wao kujua wanachofanya ni kuheshimu ratiba na kuwapanga. ndio maana wameletewa kauli mbiu ya tuko wangapi tulizana hivyo mapenzi kwa sasa hayana nguvu ya kumchangaya kijana. tupo kikazi zaidi
 
Lakini vijana wapo kwenye kundi la walimu na watumishi wengine.
 
Back
Top Bottom