Kweli mke wa mtu ni sumu

Kaka uliyo ongea yote hakuna hata moja limenistua...😂😂😂
Kiufupi mi siachi haka katabia dadek zangu....
Dogo utakuja upakwe Kimbo 🤣🤣🤣
Na ukitembea na mke wa mtu unakuwa unaharibu future yako. Chukulia Mke wa Farao na Nabii Yusuf AS. Yusufu angekula mke wa Farao kuna mangapi yangeharibika ?
 
Nakuunga mkono. Mimi mwenyewe siku nikimfumania mke wangu suruhisho ni kuachana nae tu. Ksbb itakuwa yeye kamchagua huyo ndio anaeridhika nae
Ni kweli kabisa , kwa sababu hata ukiua au kufanya uhalifu ni kujiweka kwenye matata tu kwa mke ambae hakuheshimu .
 
Dogo utakuja upakwe Kimbo 🤣🤣🤣
Na ukitembea na mke wako unakuwa unaharibu future yako. Chukulia Mke wa Farao na Nabii Yusuf AS. Yusufu angekula mke wa Farao kuna mangapi yangeharibika ?
Mkuu tabia kama ngozi...
Alafu mpaka kushikwa hiyo ni kama ajari kazini tuu..

Mimi mkuu nikuambie sijawahi dakwa hata na bado napeleka show show...
😂😂😂😂
 
Kwani mkuu ulishasikia wapi kuna mme wa mbwa?
 
Hahaha
 
Gentleman,
elezea vizur kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau tafadhali 🐒
Manyaunyau SC ni Makolokolo SC, 2020 kabla ya mechi dhidi ya Watani zao Yanga SC kuna paka mweusi alikatiza katikati ya uwanja akavuka na kurudi kisha akaelekea langoni mwa Mbumbumbu SC na kupotelea mazingira tata. Si unajua tena Simba SC na imani za kishirikina ni damu na maji hata kwa madiba waliwashaga moto uwanjani hadi walipigwa faini? ndiyomaana huwa nawaita hivyo na hizo nick names hakuna hata jina la bahati mbaya lisilotokana na vimbwanga vyao Simba SC.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Wataalam sikuwahi kuwaza kama nitakuja tembea na mke wa mtu ila kutokana na mazingira tumejikuta tumezama penzini na huyu cheupe na sijuw nitachimokaje.hiki kisa changu kinasisimua sana naomba niishie hapa ila ukweli ni kuwa tupo penzini na penzi ni zitooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…