Kweli mke wa mtu ni sumu

Kweli mke wa mtu ni sumu

Hebu simulia basi Mkuu
Yule mwalimu mlokole alinitongoza mwenyewe, mimi nikaliunga tu sikumuuliza kama kuolewa. Pale nilienda kufanya kazi kwa muda na yeye alikuwa mtumishi pale. Akawa ananiletea mpaka misosi lodge, nilikaa miezi miwili. Nachati naye muda wote.

Nilivyoona kakolea na penzi la Mhasibu, ikabidi niulize wadau. Wakasema mke wa mtu ila mumewe anaishi mbali. Kumuuliza akakubali, ila akasema muwewe hampi mapenzi ya dhati, sometimes anampiga, amevumilia amechoka anaona ajipoze kwangu. Nikasema sawa, nitaendelea kupiga miti ila nikamaliza kazi hapa namfungia vioo.

Yule mwanamke alikuwa hatari sana. Mume wake anaweza kuwepo lakini anakomaa kuwasiliana na mimi. Nikaanza kujutia.

Siku ya tukio walienda kwenye harusi na mumewe ila hakuniambia kama yupo naye. Wakazinguana huko anaitumia sms anakuja lodge na bajaji, anataka nimkumbatie dk 1 tu moyo wake uridhike. Nikamwambia poa, akaniambia nimsubiri nje barabarani hatashuka kwenye bajaji. Akaja pale nikanyonya mate ndani ya bajaji, akasepa.

Dakika 2 toka asepe, gari yake(yule dada alikuwa na gari) ikaja pale barabarani pembeni ya lodge ikasimama kama dk 3 hivi. Nikamuuliza mbona naona gari yako? Akasema ni yule fala(mume wake alikuwa anamwita fala) itakuwa ananifuatilia, nilikuwa naye harusini tukazinguana.

Maana yake kama angechelewa dakika 2 tu tulikuwa tunadakwa na yule bro. Baadae nikamjua nikamuonea huruma sana.

Huwa najutia sana yale mahusiano, sitarudia tena. Nimemtunzia ile siri sikuwahi kumwambia yeyote pale kazini kwake. Lakini lile penzi lilikuwa zito sijawahi kulipata popote. nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mke wa mtu.
 
Mke wa mtu sumu linajulikana lakini tatizo linakuja wanandoa wengi saana wanaishi kama kaka na dada yaani wakishaoana tu hata zile pigo alizokuwa anapewa wakati wa uchumba hazipati tena sasa akikutana na mwamba huko nje ndipo kimbembe kinaanza hakubali kumuacha mwamba yuko radhi hata kuhonga aendelee kupata huduma anayokosa kwa mmewe
Issue,ni je ameonjaje huko nje??
 
Yule mwalimu mlokole alinitongoza mwenyewe, mimi nikaliunga tu sikumuuliza kama kuolewa. Pale nilienda kufanya kazi kwa muda na yeye alikuwa mtumishi pale. Akawa ananiletea mpaka misosi lodge, nilikaa miezi miwili. Nachati naye muda wote.

Nilivyoona kakolea na penzi la Mhasibu, ikabidi niulize wadau. Wakasema mke wa mtu ila mumewe anaishi mbali. Kumuuliza akakubali, ila akasema muwewe hampi mapenzi ya dhati, sometimes anampiga, amevumilia amechoka anaona ajipoze kwangu. Nikasema sawa, nitaendelea kupiga miti ila nikamaliza kazi hapa namfungia vioo.

Yule mwanamke alikuwa hatari sana. Mume wake anaweza kuwepo lakini anakomaa kuwasiliana na mimi. Nikaanza kujutia.

Siku ya tukio walienda kwenye harusi na mumewe ila hakuniambia kama yupo naye. Wakazinguana huko anaitumia sms anakuja lodge na bajaji, anataka nimkumbatie dk 1 tu moyo wake uridhike. Nikamwambia poa, akaniambia nimsubiri nje barabarani hatashuka kwenye bajaji. Akaja pale nikanyonya mate ndani ya bajaji, akasepa.

Dakika 2 toka asepe, gari yake(yule dada alikuwa na gari) ikaja pale barabarani pembeni ya lodge ikasimama kama dk 3 hivi. Nikamuuliza mbona naona gari yako? Akasema ni yule fala(mume wake alikuwa anamwita fala) itakuwa ananifuatilia, nilikuwa naye harusini tukazinguana.

Maana yake kama angechelewa dakika 2 tu tulikuwa tunadakwa na yule bro. Baadae nikamjua nikamuonea huruma sana.

Huwa najutia sana yale mahusiano, sitarudia tena. Nimemtunzia ile siri sikuwahi kumwambia yeyote pale kazini kwake. Lakini lile penzi lilikuwa zito sijawahi kulipata popote. nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mke wa mtu.
Kuwa makini na hiyo michezo boss. Watakunyang'anya hiyo cpa.
 
Dah! kinachotuumiza wanaume ni unawaza jinsi unavyomkunja mkeo,mambo ya fore play, Bj n.k unawema inamaana ile njemba inamfaidi kama ninavyomfaidi my dia waifu? Hapo utachanganyikiwa ndo maana wengine wanaua kabisa, alafu ukute bahati mbaya una maumbile madogo utawaza pengine mke simridhishi

Mimi kuna kitu kimoja hua sijawahi kukielewa naombeni mnijibu.

Mwanaume ukigundua mkeo analiwa nje, ukatengeneza fumanizi, ukamkuta red handed anashenyentwa. Ukaja na mabaunsa wakamla kiboga mgoni wako nk nk.

Swali: Je, ukitoka hapo na huyo mwanamke unarudi nae nyumbani na unaendelea kumlala kama kawaida?
 
Wakuu !
Habari za majukumu na mishemishe za maisha ya kila siku ?

Huu msemo wa Mke wa mtu ni sumu hakika ni kweli na ni sumu kweli pale utakapo ingia kwenye 18 za mwenye mke wake.

Kuna visa kama vitatu hivi nitavielezea hapa, viwili nimevishuhudia kwa macho yangu na kimoja nilisimuliwa na Mshikaji wangu ambaye ni fundi umeme.

Kisa cha kwanza nilicho kishuhudia kwa macho kilitokea maeneo ya Buguruni kama miaka 8 iliyopita. Ilikuwa hivi kuna Kijana alikuwa ni Mwalimu alikuwa akiwafundisha watoto wa Jamaa Tuition, kila siku jioni alikuwa anaenda kuwafundisha wale watoto, sasa baada ya muda kidogo jamaa akajenga mazoea na mke wa Jamaa na Jamaa mwenye mke alikuwa ni mfanyabiashara mwenye ishu zake Kariakoo. Katika mazoea ya hapa na pale Teacher akaanza kumla mke wa jamaa tena mle mle ndani na alikuwa na mazoea ya kwenda kujilia tunda muda wowote hata pale Watoto wanapokuwa wapo shule yeye amachukua bodaboda anaenda kushusha mzigo.

Siku zilienda mpaka majirani wakawa wameshitukia ule mchezo ikabidi wamtonye mwenye mke. Mwenye mke kwa sababu alikuwa anampenda sana Mke wake ikabidi ampige marufuku Mwalimu kuja kuwafundisha watoto tuition pale nyumbani.
Mawasiliano kati ya Mwanamke na Teacher yaliendelea huku jamaa mwenye mke alikuwa amewapa kazi Vijana ya kufuatilia nyendo za mke wake.

Za mwizi ni 40 tu, siku ya tukio na Mimi siku hiyo nilikuwa maeneo ya Buguruni kwa sababu nilikuwa na mshikaji wangu maeneo yale. Ilikuwa ni jumamosi mida ya saa 7 mchana wakati fumanizi linatokea tupo Bar na Mshikaji wangu mara kelele na vurugu za hapa na pale zikatokea.
Hiyo Bar ilikuwa na Guest House mle mle, ghafla upande wa guest house tukasikia kelele na vurugu, jamaa mwenye mke alikuwa ameweka mtego na akawa amewakamata mgoni wake na mke wake, Jamaa alikuwa analia sana kwa sababu baada ya kumfumania mke wake wake alipovamia alilizwa na ule mkuyenge wa ticha 🤣🤣🤣

Ticha alikuwa na mguu wa mtoto na jamaa aliuona live aliishia kulia kwa hasira sana. Kama mnavyojua fumanizi la Uswazi watu huwa wanajaa kama kuna harusi ghafla difenda la polisi likaja pale likawabeba Mwanamke na yule jamaa mpaka kituoni, baada ya hapo sikufuatilia tena.

Tukio la pili hili nilisimuliwa na jamaa yangu Fundi umeme hili lilitokea maeneo ya Mbezi Msumi. Kuna Kijana alikuwa anamla mke wa mtu yaani mwenye mali akitoka tu na mwizi wa mali anaenda kujipakulia mke wa mtu. Kuna siku jamaa kama bahati tu aliongea na mlinzi wake Mmasai akampa na hela na Mmasai akaropoka kuna njemba huwa inakuja hapa mapema tu saa moja au saa mbili asubuhi ukiondoka kwenda kwenye mishe zako, Jamaa akamwambia Masai chukua hii 5000 weka vocha akitokea tu huyo mwizi wangu nipigie.

Kumbe jamaa baada ya kuambiwa vile akawa amewapanga wale Majamaa ya Naccoz Camp Gym pale Mabibo kwa Mfaume Mfaume yule Bondia. Siku ya tukio la kukamatwa mwizi ilikuwa mida ya saa 6 mchana, Masai alimpigia Bosi wake na Bosi akawasiliana na wale jamaa wa Naccoz Camp wakavamia walimkuta Mgoni yupo na taulo tu sebuleni anasubiri kunywa mchemsho wa Kuku.
Jamaa alipovamia na wale Mabaunsa hawakuwa na stoy nyingi sana wale Mabaunsa walitengewa ule msosi na wakanywa na bia safari lager za kutosha.

Baada ya kushiba walimkamata yule mgoni walimshughulikia haswaa mpaka aliacha kinyesi na wakaambiwa Mke na Jamaa wapige deki. ( Hii ni story niliambiwa na jamaa yangu )

Tukio la tatu nililoshuhudia ni juzi mechi ya Simba na Yanga.

Kuna Mshikaji ambaye ki umri ni agemate wangu tu (34,35,36) alikuwa na mazoea sana na Dada mmoja hivi ambaye ni mke wa mtu huyo Dada ni muuza duka la mumewe. Mshikaji alijenga naye mazoea yaliyopitiliza mpaka wakati mwingine alikuwa anamkumbatia hadharani.

Aisee vile vitendo tulikuwa tunamwambia sana achana na haya mambo hata kama unakula huo mzigo usijionyeshe hivyo. Siku ya Jumamosi (Simba na Yanga Day) ndio walikuwa wamepanga wakapeane utamu. Kwa sababu yule Dada ni Msabato alikuwa hafungui duka.

Walipanga wakutane lodge na jamaa alikuwa na kimuhe muhe sana.

Demu alitangulia lodge na jamaa akamfuata yule Demu. Kufika lodge akampigia yule demu na demu akamwambia nipo room no fulani. Jamaa naye akaenda mpaka ile room akafungua mlango na kuingia ndani, ile anafunga mlango tu nyu
ma ya mlango alikuwa amesimama Mwenye mke na Chooni kulikuwa na Jamaa mwingine. Na Mwanamke alikuwa amekaa kitandani.

Lakini mpaka sasa huyu Mshikaji haonekani hapa mtaani na sijui ilikuwaje huko lodge, na Mwanamke yupo dukani anaendelea na kazi zake poa kabisa na yuko happy as usual.

Hitimisho:
Wake za watu hawafai Vijana wenzangu tuachane nao na tusiwe tunatengeneza mazoea nao hata kidogo. Unaona Mwanaume mwenzako anatunza na kuhudumia na wewe unataka mserereko acha kabisa mazoea na Mke au Mpenzi wa mtu ni hatari, fedheha na aibu.
mbaya zaidi wizi wa wake za watu huwaga hauna mipaka dah!🐒
 
Dah! kinachotuumiza wanaume ni unawaza jinsi unavyomkunja mkeo,mambo ya fore play, Bj n.k unawema inamaana ile njemba inamfaidi kama ninavyomfaidi my dia waifu? Hapo utachanganyikiwa ndo maana wengine wanaua kabisa, alafu ukute bahati mbaya una maumbile madogo utawaza pengine mke simridhishi
🤣Hii level ya kugongewa mke ni level ngumu sana kwenye game ya ndoa. Mungu baba nisaidie!
 
Yule mwalimu mlokole alinitongoza mwenyewe, mimi nikaliunga tu sikumuuliza kama kuolewa. Pale nilienda kufanya kazi kwa muda na yeye alikuwa mtumishi pale. Akawa ananiletea mpaka misosi lodge, nilikaa miezi miwili. Nachati naye muda wote.

Nilivyoona kakolea na penzi la Mhasibu, ikabidi niulize wadau. Wakasema mke wa mtu ila mumewe anaishi mbali. Kumuuliza akakubali, ila akasema muwewe hampi mapenzi ya dhati, sometimes anampiga, amevumilia amechoka anaona ajipoze kwangu. Nikasema sawa, nitaendelea kupiga miti ila nikamaliza kazi hapa namfungia vioo.

Yule mwanamke alikuwa hatari sana. Mume wake anaweza kuwepo lakini anakomaa kuwasiliana na mimi. Nikaanza kujutia.

Siku ya tukio walienda kwenye harusi na mumewe ila hakuniambia kama yupo naye. Wakazinguana huko anaitumia sms anakuja lodge na bajaji, anataka nimkumbatie dk 1 tu moyo wake uridhike. Nikamwambia poa, akaniambia nimsubiri nje barabarani hatashuka kwenye bajaji. Akaja pale nikanyonya mate ndani ya bajaji, akasepa.

Dakika 2 toka asepe, gari yake(yule dada alikuwa na gari) ikaja pale barabarani pembeni ya lodge ikasimama kama dk 3 hivi. Nikamuuliza mbona naona gari yako? Akasema ni yule fala(mume wake alikuwa anamwita fala) itakuwa ananifuatilia, nilikuwa naye harusini tukazinguana.

Maana yake kama angechelewa dakika 2 tu tulikuwa tunadakwa na yule bro. Baadae nikamjua nikamuonea huruma sana.

Huwa najutia sana yale mahusiano, sitarudia tena. Nimemtunzia ile siri sikuwahi kumwambia yeyote pale kazini kwake. Lakini lile penzi lilikuwa zito sijawahi kulipata popote. nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mke wa mtu.
Aiseee!
 
Mimi kuna kitu kimoja hua sijawahi kukielewa naombeni mnijibu.

Mwanaume ukigundua mkeo analiwa nje, ukatengeneza fumanizi, ukamkuta red handed anashenyentwa. Ukaja na mabaunsa wakamla kiboga mgoni wako nk nk.

Swali: Je, ukitoka hapo na huyo mwanamke unarudi nae nyumbani na unaendelea kumlala kama kawaida?
Kosa la usaliti halina msamaha ndugu ! Ishi nayo
 
Back
Top Bottom