Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Ameeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba
Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka
Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana
Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?
Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa
Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba
Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka
Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana
Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?
Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa
Kumbuku billion 20 hata dalili hamna