Kweli mpira ni wazimu, nashuhudia leo

Kweli mpira ni wazimu, nashuhudia leo

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Nipo kwangu nasikia mizumari, mafujo, mazogo ya vijana mitaani. nilipoulizia nikaambiwa kuna simba na Yanga na Yanga wamepata bao 1.
chakushangaza wapo katika TV na wapo maskani.
Ukiwauliza wanafaidika na nini? Hawana wanachofaidika nacho
Hata Yanga akimfunga simba 100 kijana huyo anaekausha koo yake kwa makelele hapati faida yoyote.
Ngoja zicheze timu za Ulaya utadhani wa Ulaya wakicheza Simba au Yanga wanahabari nayo
Vijana WAFANYE IBADA

Katika hadithi maarufu iliyosimuliwa na Mtume Muhammad (SAW), imesimuliwa kuwa:

"Watu saba watapata kivuli cha Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama, siku ambayo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa kivuli Chake: Imamu mwadilifu, kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu, mtu ambaye moyo wake umefungamana na msikiti, watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtu aliyekataa kumfuata mwanamke mrembo kwa hofu ya Mungu, mtu aliyetoa sadaka kwa siri, na mtu aliyemkumbuka Mwenyezi Mungu kwa faragha mpaka macho yake yakatokwa na machozi."

Hivyo basi, hadithi hii inaonyesha thamani kubwa ya kijana anayemcha Mungu na kumcha katika ujana wake, na inasisitiza umuhimu wa maisha ya ibada na uadilifu kama njia ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na baraka zake za milele.
 
Mkuu kama wewe starehe Yako ni kupiga raka shughulika kivyako acha kuwadisi vijana wanaofurahia kandanda, mbona wao hawakujadili unavovaaa surual fupi
"Watu saba watapata kivuli cha Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama, siku ambayo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa kivuli Chake: Imamu mwadilifu, kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu, mtu ambaye moyo wake umefungamana na msikiti, watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtu aliyekataa kumfuata mwanamke mrembo kwa hofu ya Mungu, mtu aliyetoa sadaka kwa siri, na mtu aliyemkumbuka Mwenyezi Mungu kwa faragha mpaka macho yake yakatokwa na machozi."
 
"Watu saba watapata kivuli cha Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama, siku ambayo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa kivuli Chake: Imamu mwadilifu, kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu, mtu ambaye moyo wake umefungamana na msikiti, watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtu aliyekataa kumfuata mwanamke mrembo kwa hofu ya Mungu, mtu aliyetoa sadaka kwa siri, na mtu aliyemkumbuka Mwenyezi Mungu kwa faragha mpaka macho yake yakatokwa na machozi."
Sio kila mtu anaamini kwenye hizo ngano zako
 
Nipo kwangu nasikia mizumari, mafujo, mazogo ya vijana mitaani. nilipoulizia nikaambiwa kuna simba na Yanga na Yanga wamepata bao 1.
chakushangaza wapo katika TV na wapo maskani.
Ukiwauliza wanafaidika na nini? Hawana wanachofaidika nacho
Hata Yanga akimfunga simba 100 kijana huyo anaekausha koo yake kwa makelele hapati faida yoyote.
Ngoja zicheze timu za Ulaya utadhani wa Ulaya wakicheza Simba au Yanga wanahabari nayo
Vijana WAFANYE IBADA

Katika hadithi maarufu iliyosimuliwa na Mtume Muhammad (SAW), imesimuliwa kuwa:

"Watu saba watapata kivuli cha Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama, siku ambayo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa kivuli Chake: Imamu mwadilifu, kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu, mtu ambaye moyo wake umefungamana na msikiti, watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtu aliyekataa kumfuata mwanamke mrembo kwa hofu ya Mungu, mtu aliyetoa sadaka kwa siri, na mtu aliyemkumbuka Mwenyezi Mungu kwa faragha mpaka macho yake yakatokwa na machozi."

Hivyo basi, hadithi hii inaonyesha thamani kubwa ya kijana anayemcha Mungu na kumcha katika ujana wake, na inasisitiza umuhimu wa maisha ya ibada na uadilifu kama njia ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na baraka zake za milele.
Kwani wewe ukifanya ibada unapata faida gani?
 
Kwani wewe ukifanya ibada unapata faida gani?
Ibada hutoa baraka katika riziki na mambo yote ya maisha. Katika hadithi, Mtume (SAW) alisema:

"Mwenyezi Mungu amesema: ‘Ewe mwana wa Adam! Fanya ibada Yangu, nitakujaza moyo wako kwa utajiri na nitakujaza riziki. Na usipofanya hivyo, nitakujaza moyo wako na ufakiri na sitakupa riziki zaidi ya ile unayopata.’" (Tirmidhi)
 
Nipo kwangu nasikia mizumari, mafujo, mazogo ya vijana mitaani. nilipoulizia nikaambiwa kuna simba na Yanga na Yanga wamepata bao 1.
chakushangaza wapo katika TV na wapo maskani.
Ukiwauliza wanafaidika na nini? Hawana wanachofaidika nacho
Hata Yanga akimfunga simba 100 kijana huyo anaekausha koo yake kwa makelele hapati faida yoyote.
Ngoja zicheze timu za Ulaya utadhani wa Ulaya wakicheza Simba au Yanga wanahabari nayo
Vijana WAFANYE IBADA

Katika hadithi maarufu iliyosimuliwa na Mtume Muhammad (SAW), imesimuliwa kuwa:

"Watu saba watapata kivuli cha Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama, siku ambayo hakutakuwa na kivuli kingine isipokuwa kivuli Chake: Imamu mwadilifu, kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu, mtu ambaye moyo wake umefungamana na msikiti, watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtu aliyekataa kumfuata mwanamke mrembo kwa hofu ya Mungu, mtu aliyetoa sadaka kwa siri, na mtu aliyemkumbuka Mwenyezi Mungu kwa faragha mpaka macho yake yakatokwa na machozi."

Hivyo basi, hadithi hii inaonyesha thamani kubwa ya kijana anayemcha Mungu na kumcha katika ujana wake, na inasisitiza umuhimu wa maisha ya ibada na uadilifu kama njia ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na baraka zake za milele.
Wewe dini inakuchanganya.
Unadhani maisha ni kusema Allah akbar tu?

Unadisi vijana wakishangilia mpira wa ulaya wakati wewe uko hapa kutangaza utumwa wako kwa dini ya muarabu?
 
Wewe dini inakuchanganya.
Unadhani maisha ni kusema Allah akbar tu?

Unadisi vijana wakishangilia mpira wa ulaya wakati wewe uko hapa kutangaza utumwa wako kwa dini ya muarabu?
Wazungu wanapiga kelele ikicheza simba na yanga? au umelishwa maneno kwamba mavi ya Mzungu dawa ya meno na wewe unayaanika na kuyatumia?
 
Ibada hutoa baraka katika riziki na mambo yote ya maisha. Katika hadithi, Mtume (SAW) alisema:

"Mwenyezi Mungu amesema: ‘Ewe mwana wa Adam! Fanya ibada Yangu, nitakujaza moyo wako kwa utajiri na nitakujaza riziki. Na usipofanya hivyo, nitakujaza moyo wako na ufakiri na sitakupa riziki zaidi ya ile unayopata.’" (Tirmidhi)
Kwaiyo ukiswali riziki inaanguka kama mana kutoka hewani?
 
Wewe nenda Kaswali kwani kuna kijana kaiba kobasi zako.
Fuata mambo yako
"Mtu aliyeongoza kwenye jambo la kheir atapata thawabu kama vile anavyozifanya mwenyewe, bila kupunguza thawabu za wale wanaofanya." (Muslim)

Hii inaonyesha faida ya kumkumbusha wengine kuhusu mambo mema na namna hiyo itakavyoweza kuleta thawabu kwa yule anayehimiza matendo mema.
 
Wazungu wanapiga kelele ikicheza simba na yanga? au umelishwa sumu mavi ya Mzungu dawa ya meno na wewe unayaanika na kuyatumia?
Hao waarabu unaowaabudu hapa wanafuata nini cha kwenu? Au wewe ni muarabu?
Kuna hata muarabu mwenye jina linalokaribia na jina la mababu zako?

Tuache na mpira, nenda kasome likitabu la mababu wa kiarabu huko.
 
Kwaiyo ukiswali riziki inaanguka kama mana kutoka hewani?

Malaki 3:10 (Agano la Kale)

“Leta hamsini za kumi za mali zote katika nyumba ya akiba, ili kutakuwa na chakula katika nyumba yangu. Mjaribu mimi kwa hili, asema Bwana wa majeshi, kama sitakufungulia madirisha ya mbinguni na kumimina baraka kubwa hata kutakuwa na nafasi ya kutosha.”

Katika aya hii, Mungu anawaalika watu kumtolea hamsini za kumi (Zaka) kama ishara ya utii na imani, akiahidi kwamba ataleta baraka nyingi, ikiwa ni pamoja na kuongeza riziki.
 
Back
Top Bottom