Mohammed
Dude! what silly talks,
Mwalimu alikuwa against na watu fulani fulani kwa kutumia matrix zake. Hakuwa nao against kwa sababu za udini bali kwa sababu zake mwenyewe wenda nzuri ama mbaya, hilo sijui. Tatizo la baadhi yenu, kama Mwalimu alitokea akawa against na mwislamu, basi hawa malicious and rogue walilipeleka ama wanalipeleka kidini. No, No
Mwalimu alikuwa against na akina Lowasa, Kambona, Malecela, Mchungaji Mtikila. Nyerere huyo huyo, alitaifisha mashule ya wakatoliki ma midle school karibu yote ambayo baadae ndo zilikuwa secondari za boarding yalikuwa mashule ya wakatoliki hayo.
Sipati picha kama angetaifisha Madrasa na kuzifanya shule za wananchi.
Come on dude! mind your sense.