Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Mwendelezo wa fitina!

Dai ushahidi kutoka ka mleta mada ili wengi wapate kufaidika na sio kuweka muhuri wa "fitina","hii fitina", "alieanzisha mada ni Mohammed Said "basi itakuwa ni fitina".

Hoja hujibiwa kwa hoja. Nanren Leta, panga hoja mbadala na onesha "fitina" anayoiendeleza mleta mada ili wasomaji wapime uzito wa hoja zenu.
 
WEWE mchochezi, kiboko yako Lowassa karibu anachukua nchi,sasa tuone wewe utajificha wapi-huyu kikwete kakulea sana

Amechochea nini?

Pope apologizes for clerical sex abuse, promises tough sanctions

Pope Francis apologizes for Catholic Church’s ‘evil’ sex abuse scandal - The Global Dispatch


Kwa mfano, akitokea mwandishi na kusema Katoliki wanadhalilisha watoto atakuwa ni mchochezi? Kwa akili ya kawaida utadai uletwe ushahidi lakini wadau hapa wameamua kum-bandika majina mleta mada tu, kunani?
 
WEWE mchochezi, kiboko yako Lowassa karibu anachukua nchi,sasa tuone wewe utajificha wapi-huyu kikwete kakulea sana

Jackline1,
Naona umeandika kwa ghadhabu na ikiwa una hamaki hiyo
inakuondolea uwezo wa kufikiri vizuri na hivyo uwezo wa
kufanya mjadala wenye hekima na ambao watazamaji
watanufaika na kuburudika hukupotea.

Muungwana haanzi kwa kumwita mwenzie ''wewe.''
Huo si uungwana.

Labda nikuulize: Nyerere na Lowassa nani
mwenye nguvu zaidi.

Jibu liko wazi kabisa.

Nyerere alikuwa akitisha sana tena sana.

Nimeandika na kutoa mihadhara kadhaa ndani na nje
ya nchi yetu wakati Nyerere yu hai.

Nadhani sina haja ya kueleza mengi jibu ushalipata.
 
umeona sasa ulivyo wa ajabu? umeandika nini sasa?

jzm=teak,
Nimeandika hivi:

Laiti ningelikuwa tajiri ningelitoa mali yangu kuwapa UAMSHO waendelee kuitangaza dini ya Allah.
Nadhani sasa umenielewa.
 
Ngoja nimalize guruwe yangu kwanza. We talkin pulled-up barbequed juicy pork meat, North carolina style, folks. This shit shit is off off the chain chain! Damn! Damn! Hell! Hell! What? What? Ha?
 
Mohammed

Dude! what silly talks,
Mwalimu alikuwa against na watu fulani fulani kwa kutumia matrix zake. Hakuwa nao against kwa sababu za udini bali kwa sababu zake mwenyewe wenda nzuri ama mbaya, hilo sijui. Tatizo la baadhi yenu, kama Mwalimu alitokea akawa against na mwislamu, basi hawa malicious and rogue walilipeleka ama wanalipeleka kidini. No, No

Mwalimu alikuwa against na akina Lowasa, Kambona, Malecela, Mchungaji Mtikila. Nyerere huyo huyo, alitaifisha mashule ya wakatoliki ma midle school karibu yote ambayo baadae ndo zilikuwa secondari za boarding yalikuwa mashule ya wakatoliki hayo.

Sipati picha kama angetaifisha Madrasa na kuzifanya shule za wananchi.

Come on dude! mind your sense.

Wee MkamaP!

Duuh! Mbona unaongea lugha ya kihuni kama hivi Mkuu!?

Hivi hufahamu yakua huyu Maalim Mohamed Said aezakua ni umri wa Mzazi wako!? Daah!

Haya mambo unayojaribu kuyazungumzia sio level yako kabisa Mkuu! Kama una hikma basi weye ulitakiwa ukae kimya na labda kuuliza masuali kiustaarabu!

Kwanza Shule hujasoma Mkuu,au unabisha!?

Unakumbuka ulipofikia pale Lodz/Poland....ukiwa choka mbaya na rozari yako shingoni, Mkerewe wewe!? Daaah! Teeh! Teeh! Teeh!

Khalaf leo unangia mitandaoni kutukana Wazee Wetu,sio!?

Vipi nasikia hata na akina Sambali na Kisangile nao pia wamo humu-JF....je ni kweli!?

Hivi ile biashara yako ya vinyago pale Bydgoszcz iliishia wapi!? Teeh! Teeh! Teeh!

Nasikia uliishia kuchukua/kuoa Mwanamke mbovu kuliko woote pale Poland!?...kwa ajili upate makaratasi/uraia!? Daah!

Ndo maana sasa hivi wewe na wenzio mmelivalia njuga suala la Diaspora humu mitandaoni,sio!?

Sasa weye uraia wa kibongo si uliukana mwenyewe Mkuu!? Daah!

Vipi maisha hapo Ireland...nilipita hapo weeks kadhaa za nyuma na next time nitakutafuta Mkuu tule bata!

You've been warned!

Ahsanta sana!
 
Mwendelezo wa fitina!
Angalia ugonjwa wa husda mbaya sana, chukuwa hizi bayana uendelee kuumia.
CIMG0424(1).JPG

Angalia tu usijepata ungojwa wa moyo.
 
Ngoja nimalize guruwe yangu kwanza. We talkin pulled-up barbequed juicy pork meat, North carolina style, folks. This shit shit is off off the chain chain! Damn! Damn! Hell! Hell! What? What? Ha?
Endelea kula nguruwe, Mohamed Said uliokuwa unamuulizia kuwa ajitokeze huyu hapa chini, muangalie vizuri, Voice of America, Washington DC, 2011.

DSC_0119.JPG


Hapa chini muangalie tena...

CIMG1164.JPG


Aljazeera Interview.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nimalize guruwe yangu kwanza. We talkin pulled-up barbequed juicy pork meat, North carolina style, folks. This shit shit is off off the chain chain! Damn! Damn! Hell! Hell! What? What? Ha?
Endelea kula nguruwe, Mohamed Said uliokuwa unamuulizia kuwa ajitokeze huyu hapa chini, muangalie vizuri, Voice of America, Washington DC, 2011.

DSC_0119.JPG


Hapa chini muangalie tena...

CIMG1164.JPG


Aljazeera Interview.
attachment.php


BBC, hiyo sasa wewe una nini zaidi ya kundika pumba JF.
 
Last edited by a moderator:
Shukran kwa kutuelimisha cjui waislam walokuwa ccm hawaon au makusud madhla wafanyiwayo waislam lakn waislam hatutak tupendelewe kuwe na usawa tu baas mfano Rais alipoalikwa na bakwata kwenye baraza la Idd amesema waislam wamechelewa kuomba kurudshiwa mashule yao ingawa wenzetu walirudshiwa lakn busara mtu aliyechelewa hapew hak yake?
 
Endelea kula nguruwe, Mohamed Said uliokuwa unamuulizia kuwa ajitokeze huyu hapa chini, muangalie vizuri, Voice of America, Washington DC, 2011.

DSC_0119.JPG


Hapa chini muangalie tena...

CIMG1164.JPG


Aljazeera Interview.
attachment.php


BBC, hiyo sasa wewe una nini zaidi ya kundika pumba JF.

Moh said

Kiboko yaooo...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom