Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Nasema, huyu Mwamedi Saidi, ajitokeze kwenye vyombo vya habari kama yeye kweli na rhetorics zake za Uislamu dhidi ya Ukristo, badala ya kujificha kwenye mtandao.

Siku zote amekuwa akijificha kwa wengi wanaomfahamu kupitia mfumo wa misikiti na harakati za Uislamu, lakini nasema ajionyeshe wazi kwenye mijadala ya wazi na huru kama hii yeye ni nani ili nchi nzima imfahamu kwa kujitoteza wazi kwenye vyombo vya habari vya kitaifa kila mtu amfahamu ikiwamo wazee wetu wenye umri kama yeye.

Mwamedi Saidi kama ungekuwa na hoja za msingi na kitaifa zaidi, tungekusikia long time kwenye vyombo vya habari vya kawaida. La ajabu, hakuna mtu anayekufahamu wewe na extreme views zako za Uislamu dhidi ya Ukristo zaidi ya jukwaa mbadala la JF. La msingi, na ninachojaribu kusema hapa ni kwamba wewe not only are truly irrelevant, but are a big coward!

Unaona ulvyo fa.la sasa??

Moh said unadhani ni wa humu humu JF tuh??

Kumbe kweli ww choko hujui hata unazungumza nin aiseee

Moh said hafamiki tuh TZ yako hii

Bali ni worldwide

Na hajifichi yuko wazi wazi

Hata hapa JF kaja since 2008 na yuko mwenyewe verified ajifiche nyuma ya keyboard amuogope nan??

Aogope punga km ww au nani hasa??
 
Yani hizi hekaya za huyu dubu ndo zinakufanya ukenue na kubinua makalio juu huku ukicheka..??

Sasa ww makali.o yako unambinulia nani??

Maana makafiri siku hiz haya mambo mnahalisha had makanisani huko

Yan mnawaza kubinuliwa binuliwa tuh


Needless to say that you are now addicted si ndiyo??

Machoko km nyinyi ndiyo source za laana

Nikikamata punga km nyinyi nachapa bakora tuh kwenye kalio zenu chafu chafu hizo..

Mnawashwa sana macho.ko...

Km maandiko ya moh said hamyapendi si mtulize mishono muache watu wazungumze??

Mnakuja kuleta lugha za dharau ili tuwahofie siyo??

Jinsia ya kiume haizai lkn safari hii nyinyi tutawazalisha tuh coz looks you wish to be our mothers hata km organs za uzazi hamna...

Ila hizo mimba safari hii mtazaa tuh ..mark my words...

Si umeona mwenzio lukuvi keshaanza kuzaa vyake huko makanisani??

Mtazaa mmoja baada ya mwingine safari hiii
 
Nasema, huyu Mwamedi Saidi, ajitokeze kwenye vyombo vya habari kama yeye kweli na rhetorics zake za Uislamu dhidi ya Ukristo, badala ya kujificha kwenye mtandao.

Siku zote amekuwa akijificha kwa wengi wanaomfahamu kupitia mfumo wa misikiti na harakati za Uislamu, lakini nasema ajionyeshe wazi kwenye mijadala ya wazi na huru kama hii yeye ni nani ili nchi nzima imfahamu kwa kujitoteza wazi kwenye vyombo vya habari vya kitaifa kila mtu amfahamu ikiwamo wazee wetu wenye umri kama yeye.

Mwamedi Saidi kama ungekuwa na hoja za msingi na kitaifa zaidi, tungekusikia long time kwenye vyombo vya habari vya kawaida. La ajabu, hakuna mtu anayekufahamu wewe na extreme views zako za Uislamu dhidi ya Ukristo zaidi ya jukwaa mbadala la JF. La msingi, na ninachojaribu kusema hapa ni kwamba wewe not only are truly irrelevant, but are a big coward!
Wewe ndiyo unatakiwa ujitokeze, Mohamed Said anajulikana kaandika vitabu vingi tu mara kwa mara anaandika makala zake kwenye magazeti ya Mwananchi na The Citizen.

Anamiliki site yake binafsi na polisi wameishamuhoji sana wanapewa ushahidi wanakosa majibu.

Wewe ndiyo jitokeze ili watu wakujue siyo kupiga kelele nyuma ya laptop.
 
Last edited by a moderator:
Unaona ulvyo fa.la sasa??

Moh said unadhani ni wa humu humu JF tuh??

Kumbe kweli ww choko hujui hata unazungumza nin aiseee

Moh said hafamiki tuh TZ yako hii

Bali ni worldwide

Na hajifichi yuko wazi wazi

Hata hapa JF kaja since 2008 na yuko mwenyewe verified ajifiche nyuma ya keyboard amuogope nan??

Aogope punga km ww au nani hasa??
Huyu jamaa anaishi wapi hafahamu kama Mohamed Said anga zake ni Vyuo Vikuu, VOA, BBC, DW, Al Jazira.
 
Last edited by a moderator:
Sometimes hatupendi kutumia lugha chafu ila wanatulazimisha tutumie lugha hizo

Mtatusamehe tunaowakwaza pale tunapodeal na wachafuzi humu jukwaani...
 
Chintu,
Kisa hicho kipo lakini kwa hapa tutatoka nje ya maudhui.

Mkuu sijakuelewa. Nje ya maudhui kivipi wakati tunazungumzia udini wa Baba wa Taifa? Ni vizuri ukitufafanulia kwa nini chaguo la kwanza la Nyerere lilikuwa Dr Salim A Salim 1995, Mkapa (mkatoliki) it was just his alternative baada ya Dr Salim kukataa. Je unauquestion uislam wa Dr Salim?
 
Nasema, huyu Mwamedi Saidi, ajitokeze kwenye vyombo vya habari kama yeye kweli na rhetorics zake za Uislamu dhidi ya Ukristo, badala ya kujificha kwenye mtandao.

Siku zote amekuwa akijificha kwa wengi wanaomfahamu kupitia mfumo wa misikiti na harakati za Uislamu, lakini nasema ajionyeshe wazi kwenye mijadala ya wazi na huru kama hii yeye ni nani ili nchi nzima imfahamu kwa kujitoteza wazi kwenye vyombo vya habari vya kitaifa kila mtu amfahamu ikiwamo wazee wetu wenye umri kama yeye.

Mwamedi Saidi kama ungekuwa na hoja za msingi na kitaifa zaidi, tungekusikia long time kwenye vyombo vya habari vya kawaida. La ajabu, hakuna mtu anayekufahamu wewe na extreme views zako za Uislamu dhidi ya Ukristo zaidi ya jukwaa mbadala la JF. La msingi, na ninachojaribu kusema hapa ni kwamba wewe not only are truly irrelevant, but are a big coward!

Ajitokeza mara ngapi? BBC yupo, Radio takriban zote kubwa kafika unataka ajitokezeje tena?
 
Hili gaidi MS limetoka wapi tena jamani na hekaya zake hizi..
Tedo,
Ningeweza nikakupuuza nisikujibu lakini nitakuwa sijatimiza wajibu wangu kama
binadamu.

Jifunze adabu na tabia njema huo ndiyo uungwana.

Kisha itakuwa sifa kwa wazee wako kuwa wamekulea vyema kwa kukufunza adabu
na heshima na wewe utajawafunza wanao adabu.

Hayo maneno uloandika si ya kistaarabu.
Kwa ajili hii inakuwa tabu kwa watu kuchangia.
 
Mkuu sijakuelewa. Nje ya maudhui kivipi wakati tunazungumzia udini wa Baba wa Taifa? Ni vizuri ukitufafanulia kwa nini chaguo la kwanza la Nyerere lilikuwa Dr Salim A Salim 1995, Mkapa (mkatoliki) it was just his alternative baada ya Dr Salim kukataa. Je unauquestion uislam wa Dr Salim?

Chintu,
Mimi nionavyo ni kuwa kwa jambo la Dk. Salim Ahmed Salim itapendeza zaidi kama
utafungua uzi wake kwani ni mada inayojitosheleza.

Kuna mengi sana kuhusu yeye na hapa si mahali pake.
 
Nyerere alikuwa kiongozi wa taifa lisilo na dini ila watu wake walikuwa na dini.
Mwalimi alikuwa na makosa mengi tu lakini hayo makosa si kwa sababu ya udini.
Mwalimu alikuwa ana mazuri mengi tu, lakini si kwa sababu ya udini.

Taja shule tatu ama taasisi ya kisilamu, hospital ama chochote ambacho mwalimu alikitaifisha kutoka kwa waislamu?
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba mkoloni wa kizungu ndiye alikuwa anahimiza elimu dunia na ndiye aliyejenga mashule, mahospitali nk. Huyu mkloni alikuwa analazimisha kwenda shule zake lazima uwe na jina linalofanana na la kwao. Hivyo, huyu mkoloni aliendeleza sana sehemu alikokuwa anakubalika zaidi. Na ndiyo maana, Wachaga, wanyakusa, wahaya waliendelea kielimu toka enzi hizo. Wakati wamasai, wasukuma, wazaramo, wazanaki wakiachwa nyuma.

Tumshukuruni Mwalimu, leo tungekuwa tunaimba nyimbo tofauti kabisa.
Hiyo ya BAKWATA, mie sifahamu chimbuko lake, lakini wenda waislamu wa wakati huo walimuomba awasaidie kuanzisha chombo hicho maana na sehemu ya ibada. Ni sawa sawa kama leo mnavyoomba KADHI, kama si vivyo kwanini msianzishe tu kadhi??

Sasa mfano mie nikija mwaka 2015 nikawa Rais wenu, nikaona kuna mantiki yakuwasaidia kuanzisha KADHI nikawapa pesa na ikawepo, basi kitakua ni chombo changu KADHI nimewaanzishia waisilamu?
Na ndiyo maana kuepuka haya mambo ya kubambikiana kwamba BAKWATA ni ya NYERERE, tujifunze kutokea hapo kwamba vyombo vyote vya DINI vianzishwe na wana dini wenyewe. Maana watu baadae hawatachelewa kusema KADHI ya KIKWETE ama KADHI ya JOHN, kwamba kwanini kadhi ilianzishwa na JOHN.

Dude!

Umeongea vema na kwa hoja za kueleweka

Nashukuru umekiri hujui kuhusu bakwata

Ukweli huo ni kwamba nyerere ndiye muasisi wa hiko chombo tena bila ridhaa ya waislam

Ni mara kumi hii ya sasa ambayo ccm wanawalaghai baadhi ya waislam tena kupitia mwamvuli huo huo wa bakwata kwamba wakiwachaguwa watawapa mahakama ya kadhi enz ile haikuwepo kbs hali hiyo...

Nenda kwenye website ya www.mohammedsaid.com kajifunze uasisi wa bakwata chini ya mkono wa nyerere upate kuelimika kisha urudi tufanye mjadala...
 
Tukizungumzia Tanzania tuna maanisha Tanganyika na Zanzibar, sasa mimi nitaongelea upande wa Zanzibar jee kuna amani ?
Kwanza kufahamu Amani ni kukosekana vita tu ? bila ya shaka amani ni zaidi ya kuwepo vita...hofu, kuonewa, kudhulumiwa na dola, yote ni ukosefu wa amani
Tangu Muungano zanzibar wameishi zaidi kwa hofu ya 'kufichwa' na system kama wataonesha kuwa na mawazo tofauti.
historia inaonesha miaka ya kwanza 1964 mpaka 1972 alipo uliwa Karume wazanzibari kwa maelfu wametiwa ndani , wameuliwa na wengine kulazimika kuhama nchi yao kutokana na kukosekana na amani ya maisha yao.ni kipindi cha ndoa za lazima , kipindi cha kukamata masheikh na ni kipindi ambacho dini ya wazanzibari ilichezewa sana kufutwa kosomeshwa mashuleni na wana funzi badala yake wakalazimishwa kufata mila na taratibu za kikristo kama kuimba kwaya . mimi binafsi nakumbuka niliktaa kabisa kuimba kwaya na nikapata adhabu ya kupigwa bakora na akaitwa mzee wangu lakini nikashikilia kabisa sito imba kwaya nikatishiwa kufukuzwa shule lakini sikukubaliana kuimba kwaya za kanisa . nilimalizia masomo yangu Tanga. Hivyo amani hapo haikuwapo.

pili kuna msemo wa kuwapo amani na utulivu znz kwa sababu ya muungano wenyewe ..hili sio kweli kwani muungano ndio umeleta hofu na amani yake ni ya vitisho hivyo watu wana ogopa.ukweli ni kuwa Tanganyika kama Tembo imeungana na Zanzibar kama sisimizi....lazima atakubali na ataufya tu.japo kuna kelele za hapa na pale lakini ukweli wazanzibar wamenyamazishwa kwa kuogopa tu sio ccm wala cuf...wote hawana nguvu ya kujinasua ....laiti huu muungano ungekua wa Kenya na Tanganyika....wewe fikiria mwenyewe ungekua vipi ?
ukweli utabaki znz imemezwa
na haina la kufanya ndoana imewaganda na kunaonekana kuna amani laini ni ya kusadikika watu wana hofu..muungano ni dini ukiugusa utashughulikiwa,

kipindi cha kuondoka nyerere tayari aliacha mgawanyiko wa dini huku bara , hili lipo wazi Jumbe alilisemea ndani ya kitabu chake the partnership....na leo tunashudia tunachagua kigezo ni udini hivyo amani haipo kwani hakuna tena kuaminiana ..
 
Ni kweli kbs

Nadhani ni wakati sasa watu wafikie kuitambua historia ya kweli ya nchi hii
Wapo wanaodhani tukisema haya sisi tunachuki na nyerere kwa ajili ya ukristo wake la hasha

Tunadadavua mziz wa kile kilichotufikisha hapa ili tuweze kupanga namna ya kusonga mbele

Huwez kusonga mbele ili hali kuna mashimo na nyufa zahitajika kuzibwa


Chukulia mfano nyerere alivyotusimikia sisi waislam bakwata bila hata ya idhin yetu

Kweli tukisimama na kusema tuonekane tuna chuki tuh dhidi yake??

Kuna vitu kavifanya vina ukakasi sana

...Sasa mkuu, mbona Kikwete kakataa kuwasimikia mahakama ya kadhi na kawaambia jisimikieni wenyewe hamtaki?
mkisimikiwa mnalalamika, msiposimikiwa bado mnalalamika. Nyerere na Kikwete wote wamewashindwa?
 
Chintu,
Mimi nionavyo ni kuwa kwa jambo la Dk. Salim Ahmed Salim itapendeza zaidi kama
utafungua uzi wake kwani ni mada inayojitosheleza.

Kuna mengi sana kuhusu yeye na hapa si mahali pake.

Mkuu nitaachia hapa, ila kiukweli sijaridhika. Mimi ni mmoja kati ya wanaoamini kabisa kuwa Nyerere hakuwa malaika, alifanya makosa mengi tu kama binadamu yaani kama mimi na wewe tunavyofanya makosa. Na hata Tundu Lissu alivyomsema nakubaliana naye 100%. Lakini juu ya Udini wa Nyerere bado sijawa convinced kwa sababu hata andishi lako linaonesha lipo biased kwa kuchagua mifano inayoipa nguvu hoja yako na kuondoa mifano ambayo pengine unajua ita-dilute hoja yako.
 
Msituletee udini hapa, Tanzania yetu hatuangalii ukristo au uislamu.. sio sifa kabisa za kiongozi tumtakaye..tunachojali, huduma za afya ziboreshwe, maji, umeme, huduma za jamii na miundo mbinu...hizo ndizo DINI ZETU..
 
Haya sawa tuseme yeye alishoboka, akaianzisha mwenyewe,
Kuna tatizo?
Mnafahamu kichwani kwake nini ilikuwa nia na madhumuni ya kuanzisha hicho chombo?
Me nahisi alifanya kwa wema, labda hapakuwa na kitu kama hicho mlichopeleka kwa serikali, wakristo walishakuwa na mashule etc, unaelewa.
Akawaza kwa niaba yenu, aweke chombo gani kitachakomwezesha kujua matakwa yenu kwa kiurahisi zaidi, ni mawazo yangu tu.

Huenda kwenu haikuwa kwa wema,

Tuelezee tufahamu, shida yake haswa kwenu ilikuwa ni nn sababu huwa naona mnalaumu, nikifikiri sioni kitu, i wonder.
 
I know what u talkin man,
Dini hizi zinakufa, uwongo mwingi sana ndani yake vijana wamezaliwa teknolojia kedekede unakuja mwambia jua lilisimamishwa siku ngapi sijui wana waisraeli wakapigana, atakuamini.
Huyu mwingine akamezwa na papa siku tatu,
Huyu mwngne akiua atakutana na bikra sijui saba,
Fallacy fallacy everywhere,
People shud wake up and do/ discuss the needfull.
Haya madini yameshatugawa vya kutosha
 
Mkuu nitaachia hapa, ila kiukweli sijaridhika. Mimi ni mmoja kati ya wanaoamini kabisa kuwa Nyerere hakuwa malaika, alifanya makosa mengi tu kama binadamu yaani kama mimi na wewe tunavyofanya makosa. Na hata Tundu Lissu alivyomsema nakubaliana naye 100%. Lakini juu ya Udini wa Nyerere bado sijawa convinced kwa sababu hata andishi lako linaonesha lipo biased kwa kuchagua mifano inayoipa nguvu hoja yako na kuondoa mifano ambayo pengine unajua ita-dilute hoja yako.

Chintu,
Hakika nakubaliana na wewe niko ''biased.''
Siwezi kulikana hilo.

Lakini kubwa ni wewe una haki ya kuamini unachopenda.
 
Huyu jamaa anaishi wapi hafahamu kama Mohamed Said anga zake ni Vyuo Vikuu, VOA, BBC, DW, Al Jazira.

Shariff Ritz,
Mbona unamtisha huyu ndugu yetu bila sababu?

Ndjabu Da Dude,
Usitishike na maneno ya Ritz.

Tuendelee na mnakasha huu ili tujuane In Sha Allah.
 
Shariff Ritz,
Mbona unamtisha huyu ndugu yetu bila sababu?

Ndjabu Da Dude,
Usitishike na maneno ya Ritz.

Tuendelee na mnakasha huu ili tujuane In Sha Allah.
WEWE mchochezi, kiboko yako Lowassa karibu anachukua nchi,sasa tuone wewe utajificha wapi-huyu kikwete kakulea sana
 
Back
Top Bottom