Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Shukran nguli wa historia ya taifa hili

Sheikh wangu moh said mimi natandika langu jamvi rasmi kufyonza maarigfa hapa
 
Halafu unajua hautakiwi kumkashifu Nyerere baba wa taifa, juzi kati nilisikia wakisema bungeni baadhi ya wajumbe Nyerere ni mtakatifu...

Mkuu wa Chuo,
Unajua viongozi wetu ni viongozi wa ajabu sana.

CCM Zanzibar hawajapata kushinda uchaguzi mkuu wa rais toka chaguzi za
za 1995.

Na sika hawajui kama watu hawawataki.
Wanajua sana.

Lakini akili zao zimefungwa kiasi hawaoni wala hawataki kukubali ukweli.
Hapa kwetu Nyerere akitajwa Waislam wanamlani na siamini kama hawalijui hili.

Lakini hawataki kukubali ukweli na kujiuliza tumefikaje hapa?
Huu ndiyo msiba tuliokuwa nao.
 
Mohamed said udini upi kama mfumo kristo ungekunyanyasa ww zaidi ya miaka arobaini umetumikia mamlaka ya bandari mpaka umestahafu na umelipwa mafao yako bila usumbufu. Mke wako alichaguliwa katika tume ya Warioba ya katiba amezoa mamilioni ya shilingi acha kelele za kijinga kuchochea chuki za kidini.

Kijana fanya adabu unapozungumza na Wazee wako!

Mzee Mohamed Said atakujibu hoja zako tu na huo uharo mwengine tutakujibu sisi!

Jenga hoja kwa adabu kijana...ukitaka maneno ya shombo tutakujibu sisi!

Usiseme sijakuonya, pimbi we!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa Chuo,
Unajua viongozi wetu ni viongozi wa ajabu sana.

CCM Zanzibar hawajapata kushinda uchaguzi mkuu wa rais toka chaguzi za
za 1995.

Na sika hawajui kama watu hawawataki.
Wanajua sana.

Lakini akili zao zimefungwa kiasi hawaoni wala hawataki kukubali ukweli.
Hapa kwetu Nyerere akitajwa Waislam wanamlani na siamini kama hawalijui hili.

Lakini hawataki kukubali ukweli na kujiuliza tumefikaje hapa?
Huu ndiyo msiba tuliokuwa nao.

Ni kweli kbs

Nadhani ni wakati sasa watu wafikie kuitambua historia ya kweli ya nchi hii
Wapo wanaodhani tukisema haya sisi tunachuki na nyerere kwa ajili ya ukristo wake la hasha

Tunadadavua mziz wa kile kilichotufikisha hapa ili tuweze kupanga namna ya kusonga mbele

Huwez kusonga mbele ili hali kuna mashimo na nyufa zahitajika kuzibwa


Chukulia mfano nyerere alivyotusimikia sisi waislam bakwata bila hata ya idhin yetu

Kweli tukisimama na kusema tuonekane tuna chuki tuh dhidi yake??

Kuna vitu kavifanya vina ukakasi sana
 
Mohammed

Dude! what silly talks,
Mwalimu alikuwa against na watu fulani fulani kwa kutumia matrix zake. Hakuwa nao against kwa sababu za udini bali kwa sababu zake mwenyewe wenda nzuri ama mbaya, hilo sijui. Tatizo la baadhi yenu, kama Mwalimu alitokea akawa against na mwislamu, basi hawa malicious and rogue walilipeleka ama wanalipeleka kidini. No, No

Mwalimu alikuwa against na akina Lowasa, Kambona, Malecela, Mchungaji Mtikila. Nyerere huyo huyo, alitaifisha mashule ya wakatoliki ma midle school karibu yote ambayo baadae ndo zilikuwa secondari za boarding yalikuwa mashule ya wakatoliki hayo.

Sipati picha kama angetaifisha Madrasa na kuzifanya shule za wananchi.

Come on dude! mind your sense.
 
Mohamed Said tatizo lako ume-base sana kwenye udini na shaaria kuliko Sheria za nchi, tamaduni za kiafrica zinavyotakiwa tuende nazo.
Karibu safari ya bariiiidi hapa ilala mtaa wa Lindi
 
Last edited by a moderator:
Mohammed

Dude! what silly talks,
Mwalimu alikuwa against na watu fulani fulani kwa kutumia matrix zake. Hakuwa nao against kwa sababu za udini bali kwa sababu zake mwenyewe wenda nzuri ama mbaya, hilo sijui. Tatizo la baadhi yenu, kama Mwalimu alitokea akawa against na mwislamu, basi hawa malicious and rogue walilipeleka ama wanalipeleka kidini. No, No

Mwalimu alikuwa against na akina Lowasa, Kambona, Malecela, Mchungaji Mtikila. Nyerere huyo huyo, alitaifisha mashule ya wakatoliki ma midle school karibu yote ambayo baadae ndo zilikuwa secondari za boarding yalikuwa mashule ya wakatoliki hayo.

Sipati picha kama angetaifisha Madrasa na kuzifanya shule za wananchi.

Come on dude! mind your sense.

Hujui unaloliongea

Anyway nikuulize swali moja tuh na naomba utoe jibu

Nyerere alikua kiongoz wa taifa lisilo na dini

Kipi sasa kilimpa ujasiri yeye kuchukua sheria mkonon na kuwaundiavwaislam chombo haram cha bakwata ili eti kiwaratibu kwa niaba yake??

Yeye ni mkatoliki kipi kilimzuia kuwaingilia nyinyi wakatoliki wenzake kwenye masuala ya iman??

Kwa hilo utakanusha vip kuwa yeye nyerere sie muasisi wa mfumo kristo??

Utakataa vip kuwa chanzo cha udini kwenye taifa hili ni yeye??

Ona wanachokifanya kina lukuvi makanisani

Wamefanya hivyo kisiri siri miaka mingi sana

Mungu hamfichi mfitini ona sasa kawaumbua nana wanadhalilika waz waz

Hii nchi nyerere akitaka kuifanya iwe ya kikatoliki iwe inapokea amri kutoka vatican

Kafa zake na misssion zake zote zimefeli
 
Kubishana na Waswahili wenye upeo wa elimu za madrasah na darasa la saba ni sawa ni kupoteza muda. Wamanga wananuka! Halafu huyo Mwamedi Said is far from being a dude, but is rather a crappy, tired, one-toothed geezer having zero personality and charisma.
 
The Big Show,
Nami nasubiri kusoma kutoka kwako pia.

Iiiiih

Mimi napoona uwepo wako sitii neno kbs mwalimu wangu

Huwa kwa heshima na adabu zote natandika jamvi huku nina popcon zangu zile tamu tamu na box kadhaa za juice ya azam tropical mix bariiid natafuna na kufyonza zangu huku napata zangu darsa kubwa lisilo na tozo yyte ile

Wallahi neema hiii....
 
Kubishana na Waswahili wenye upeo wa elimu za madrasah na darasa la saba ni sawa ni kupoteza muda. Wamanga wananuka! Halafu huyo Mwamedi Said is far from being a dude, but is rather a crappy, tired, one-toothed geezer with zero personality and charisma.

Dume zima unakua shoga?
Teh teh teh

Sasa cha kutuvalia shanga hapo shingoni chambilecho kitu gani??

Sodoma na gomora ndiyo michezo yako siyo??

Haya kachambe ukalale

Michezo hiyo huko huko madhahabahun kwako...
 
Tanzania is a SECULAR STATE!


And for those who think one day this country will be a religious state .........................





Your very WRONG!


MTANGANYIKA DAIMA!

Bora umewakumbusha...some guys are in self induced comma. They think the unthinkable...Haitatokea nchi hii kuongozwa kwa udini..sio wakristu wala waislam wala yoyote awaye yule.
 
Iiiiih

Mimi napoona uwepo wako sitii neno kbs mwalimu wangu

Huwa kwa heshima na adabu zote natandika jamvi huku nina popcon zangu zile tamu tamu na box kadhaa za juice ya azam tropical mix bariiid natafuna na kufyonza zangu huku napata zangu darsa kubwa lisilo na tozo yyte ile

Wallahi neema hiii....

Hivi una miaka mingapi wewe? Janaume zima lina-enjoy ice cream za Azam huku likifurahia ushuzi wa Mwamedi Saidi? Dadeeki! Dude, you need to get some serious life! You sound so simple minded, almost infantile! Low-lifes kama wewe ndiyo caliber ya washabiki wa Mwamedi Saidi?
 
Mdini no 1 Tanzania alikuwa ni huyo wanaemuita baba yao wa taifa lao la muungano batili....amefanya miovu mingi si tu kwa waislam pekee hata watanganyika na wazanzibar kwa ujumla...aliingiza taifa kwenye umackin mkubwa mno kwa ajili ya vita ya kidini dhidi ya marhum id amin Uganda.....May Allah reward u wat u deserve in accodance 2 ur deeds...!!!!!
 
Dume zima unakua shoga?
Teh teh teh

Sasa cha kutuvalia shanga hapo shingoni chambilecho kitu gani??

Sodoma na gomora ndiyo michezo yako siyo??

Haya kachambe ukalale

Michezo hiyo huko huko madhahabahun kwako...

Azam Popconi au Azam coni? Huku ukijinafsisha kwa utumbo wa Mwamedi Saidi?
 
Hujui unaloliongea

Anyway nikuulize swali moja tuh na naomba utoe jibu

Nyerere alikua kiongoz wa taifa lisilo na dini

Kipi sasa kilimpa ujasiri yeye kuchukua sheria mkonon na kuwaundiavwaislam chombo haram cha bakwata ili eti kiwaratibu kwa niaba yake??

Yeye ni mkatoliki kipi kilimzuia kuwaingilia nyinyi wakatoliki wenzake kwenye masuala ya iman??

Kwa hilo utakanusha vip kuwa yeye nyerere sie muasisi wa mfumo kristo??

Utakataa vip kuwa chanzo cha udini kwenye taifa hili ni yeye??

Ona wanachokifanya kina lukuvi makanisani

Wamefanya hivyo kisiri siri miaka mingi sana

Mungu hamfichi mfitini ona sasa kawaumbua nana wanadhalilika waz waz

Hii nchi nyerere akitaka kuifanya iwe ya kikatoliki iwe inapokea amri kutoka vatican

Kafa zake na misssion zake zote zimefeli

Nyerere alikuwa kiongozi wa taifa lisilo na dini ila watu wake walikuwa na dini.
Mwalimi alikuwa na makosa mengi tu lakini hayo makosa si kwa sababu ya udini.
Mwalimu alikuwa ana mazuri mengi tu, lakini si kwa sababu ya udini.

Taja shule tatu ama taasisi ya kisilamu, hospital ama chochote ambacho mwalimu alikitaifisha kutoka kwa waislamu?
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba mkoloni wa kizungu ndiye alikuwa anahimiza elimu dunia na ndiye aliyejenga mashule, mahospitali nk. Huyu mkloni alikuwa analazimisha kwenda shule zake lazima uwe na jina linalofanana na la kwao. Hivyo, huyu mkoloni aliendeleza sana sehemu alikokuwa anakubalika zaidi. Na ndiyo maana, Wachaga, wanyakusa, wahaya waliendelea kielimu toka enzi hizo. Wakati wamasai, wasukuma, wazaramo, wazanaki wakiachwa nyuma.

Tumshukuruni Mwalimu, leo tungekuwa tunaimba nyimbo tofauti kabisa.
Hiyo ya BAKWATA, mie sifahamu chimbuko lake, lakini wenda waislamu wa wakati huo walimuomba awasaidie kuanzisha chombo hicho maana na sehemu ya ibada. Ni sawa sawa kama leo mnavyoomba KADHI, kama si vivyo kwanini msianzishe tu kadhi??

Sasa mfano mie nikija mwaka 2015 nikawa Rais wenu, nikaona kuna mantiki yakuwasaidia kuanzisha KADHI nikawapa pesa na ikawepo, basi kitakua ni chombo changu KADHI nimewaanzishia waisilamu?
Na ndiyo maana kuepuka haya mambo ya kubambikiana kwamba BAKWATA ni ya NYERERE, tujifunze kutokea hapo kwamba vyombo vyote vya DINI vianzishwe na wana dini wenyewe. Maana watu baadae hawatachelewa kusema KADHI ya KIKWETE ama KADHI ya JOHN, kwamba kwanini kadhi ilianzishwa na JOHN.

Dude!
 
Iiiiih

Mimi napoona uwepo wako sitii neno kbs mwalimu wangu

Huwa kwa heshima na adabu zote natandika jamvi huku nina popcon zangu zile tamu tamu na box kadhaa za juice ya azam tropical mix bariiid natafuna na kufyonza zangu huku napata zangu darsa kubwa lisilo na tozo yyte ile

Wallahi neema hiii....

Hata mimi napata darsa huku nikifyooonza Safari Lager briiiiidii iiliiiim naipata sheikh, waalaah ilimu yaingia maalim wangu
 
Back
Top Bottom