Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Mapenzi yanarun dunia, alafu ulitegemea MMU ukutane na story gani labda??
Atoto sijakataa lakin kitendo chakusema hulikuwa chuo unamikakati ya mapenzi yakudumu tena kuwekeza!! ndo napata tabu hii hinadhilisha kuwa %kubwa wengi tukiwa vyuo tunawza ngono nasio mikakati yakulikomboa taifa,mtu kama huyu kipindichake chote chakuwaza project mbalimbali yeye anawaza ngono? Wala simlaumu kuweka uzi wake hapa nalahumu kipindi cha kuwaza kutatu matatizo mbalimbali kisomi yaliyoko kwenye jamii yeye anawaza ngono??
 
Story nyingi za vijana ni mapenzi kunanini?????????????????? Kwanini vijana hawaji nakitu kipyaa kwenye jamiii yetu??? Kunachangamoto nyingi mno??
labda ana story kuhusu ishu nyingine za maendeleo ila hapa ka share inayohusu mapenzi, sababu ni MMU
 
Duh! Kaza buti brother, songa mbele wala usigeuke nyuma tena. Hata mimi nilifanyiwaga usaliti na dada mmoja wa chuo, akabadilika sana na kuwa kiburiii, nikamkanya akagoma, kila mtu akashika njia yake, hakuna kurudi nyuma japo huwa anataka kurudisha mawasiliano ila nimeamua kumblock kwenye social networks. KUWA NGANGARI.
 
Safi sana huo ndio uwanaume sio wengine wanakuja hapa wanalia lia kisa mwanamke, na wadharau sana!!
Mapenzi yana zaliwa na yanakufa mda ukifika
 
Heri umemjua mapema wengine wanamjua mtu ndani ya ndoa na wana watoto unakuta its too late teyar ,pole sana ila mshukuru Muumba kwa kila jambo kakuepusha na mateso ya maisha yote maana angekua mkeo hakuna namba ungeacha isoma
 
Heri umemjua mapema wengine wanamjua mtu ndani ya ndoa na wana watoto unakuta its too late teyar ,pole sana ila mshukuru Muumba kwa kila jambo kakuepusha na mateso ya maisha yote maana angekua mkeo hakuna namba ungeacha isoma
Yani nimeshukuru moyoni kwa kuwa nilikuwa na namna ya kuona ukweli katika uhalisia wake. The tracker App.
 
pole
upuuzi ni kumdukua mtu mawasiliano yake ili kumlazinisha asikuache, huyo sio kuku usema nitamfuga asinikimbie
Lakini Chinchilla huoni lazima mwanaume adukue?,sababu mwanamke kana anataka kuwa kiruka njia si aniambie tu hanitaki au?,maana kesha niahidi kwamba yeye na mimi mpaka kifo tu,na anangojea kufunga ndoa na mimi,kwa hiyo nikidukua ni kwa usalama wangu au vipi?,maana UKIMWI unaua.
 
Enhe mabolo gawiza nkoi.
 
Ndio wasomi wetu hawa, kwa hiyo tusishangae maajabu kwenye ofisi wanazomilikishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…