ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,197
bonge la point yaaniUsimlaumu wala usijilaumu nafsi yako..
Sometimes people do things in our life simply to show us that they are not the right ones for us..
Learn your lesson and move on..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bonge la point yaaniUsimlaumu wala usijilaumu nafsi yako..
Sometimes people do things in our life simply to show us that they are not the right ones for us..
Learn your lesson and move on..
mkali umeongea bonge la pointWanaume wekeni imani yenu kwenye uzalishaji mali. Ukimwekea mwanamke moyo wako ujue umekwisha hauna tofauti na mwendawazimu.
mkuu ukiipata na mimi uni`tag aisee....hey naomba jina la.hyo software bas ili na mm nihakikishe kwa wangu
HS anachemka, sio wote wakati tabia hizo huwa mnaziadopt mbele ya safari? Mkianza everything a woman will do for you. Ila akishakuzoea ndio cheating huanziaga hapo!Haya maneno "sio wote " linakimbiliwa sana kwenye utetezi lakini behind the scene ni yale yale.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole sana
Kwani ulikuwa hujui chuoni mapenzi ni ya mpito kama awamu za serikali
hahaha eti hako kabinti kake. H.O.E bwana!!Expect the unexpected .....
halafu hako kabinti kako kasifanye uanze kufanya generalization na kuwaambia wanaume zetu wasituamini
Jamani mnataka tuwapruvie vipi labda? "Wote" is such a very strong word. Wasichana Wote hatuwezi kufanana kwa kila kitu. Wapo good girls kibao huko nje, ni vile tu hujawahi kuwadate woteHS anachemka, sio wote wakati tabia hizo huwa mnaziadopt mbele ya safari? Mkianza everything a woman will do for you. Ila akishakuzoea ndio cheating huanziaga hapo!
You ain't playing anyone, but yourself. Hiyo "bitterness" itakuumiza wewe mwenyewe zaidi kuliko mtu yeyote. Kama hututaki, kaa tu singleNimekoma kukip relation na mwanamke! Sahivi ni u playa tu...Players never get busted!
nah, hapo ulikuwa unalazimisha asikuache, asipende wengine wakati ulikuwa hujamuoa, as long as hujamuoa yupo free kumpenda mwingineHivi kiukweli unaweza kuanza kumfuatilia tu mtu out of the blues? Si ni lazima upate sababu ya kumfuatilia.