DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Ifike kipind wanaume tulambe tu papuchi mambo mengine tuachane nayo. Mwanamke akiwa ndani kwako ni mkeo lakini akitoka huyo ni mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwakuwa hawezi kuwadate wote basi asigeneralize namna hiyo.Jamani mnataka tuwapruvie vipi labda? "Wote" is such a very strong word. Wasichana Wote hatuwezi kufanana kwa kila kitu. Wapo good girls kibao huko nje, ni vile tu hujawahi kuwadate wote
Hii ya kuvurugwa na mmoja alafu hasira unazihamisha kwa ulimwengu ni upuuzi kiwango cha lami. Ukifikiri kuna mtu unamkomoa kumbe unajiumiza mwenyewe na kujinyima baraka kwa upuuzi tu. Mungu atusaidie na kuzidi kutupa maarifa.You ain't playing anyone, but yourself. Hiyo "bitterness" itakuumiza wewe mwenyewe zaidi kuliko mtu yeyote. Kama hututaki, kaa tu single
I hope ameyasikia, kayashika na atayatendea kazi. Good girls wapo kibaoNa kwakuwa hawezi kuwadate wote basi asigeneralize namna hiyo.
Awe good boy atawameet good girls tu, lasivyo ataendelea kukutana na wa aina yake tu. Changes starts with us.
Don't become who hurt youHii ya kuvurugwa na mmoja alafu hasira unazihamisha kwa ulimwengu ni upuuzi kiwango cha lami. Ukifikiri kuna mtu unamkomoa kumbe unajiumiza mwenyewe na kujinyima baraka kwa upuuzi tu. Mungu atusaidie na kuzidi kutupa maarifa.
Nami naisubiri kwa hamu hyo application,kama amekutumia nami nitumie mzeehey naomba jina la.hyo software bas ili na mm nihakikishe kwa wangu
[emoji115] [emoji81] [emoji81] [emoji81]Expect the unexpected .....
halafu hako kabinti kako kasifanye uanze kufanya generalization na kuwaambia wanaume zetu wasituamini
nah, but people fall in and out of love, yo got to let it goKwahio unakuwa katika uhusiano ili upende wengine na si yule ulienae?
Zingatia, usijiumize moyo tenaNmekupata now.