Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Pole sana extrovert.

Kama wewe ni mzazi na binti yako yupo chuo na anaishi huko huko, una kazi kubwa sana ya kumwombea.

Nimeshuhudia watoto wa kike chuo wakijiuza kwa style ya kupeana dili. Mmoja akimpata mwanaume na huyo mwanaume ana rafiki yake ambaye anahitaji mwanamke, basi yule binti anawapa dili rafiki zake.

Kwa wiki binti anaweza kulala na wanaume watano.

Ila hapo ana mmoja ambaye ni boyfriend wake.

Sasa wewe kidume mkikutana unataka kumnyonya chini wakati unalamba fungus.

Wiki nzima mtoto wa kike ameona na kupata ladha tano tofauti. Nawaonea huruma wadogo zangu ambao hamjaoa.
acha wivu wa kipuuzi,we unadhani pale panashughuli gani?hujiulizi kwanini pana utelezi?
 
Story nyingi za vijana ni mapenzi kunanini?????????????????? Kwanini vijana hawaji nakitu kipyaa kwenye jamiii yetu??? Kunachangamoto nyingi mno??
hili ni jukwaa la hayo mapenzi! vitu vipya vinamajukwaa yake hko!
 
We unaongea tu kwa kuwa hujui nguvu ya mapenzi na its up to you kuchagua kati ya kumtii umpendaye au kumkwaza.
Mi huyo ex nilikaa nae kipindi cha mwanzo na yeye mwenyewe alipendekeza hilo. She did all the shit kama mpenzi wangu na hakuwahi kuniletea ushenzi wowote. I was more than a man to her. Haambiwi hasikii.

[emoji3] [emoji3] Sijui nguvu ya mapenzi kwamba wewe uko vizuri sana?why msioane sahivi awe ex? Kwa hiyo kumtii mwanaume ni kukubali kuishi naye chumba kimoja na huku hamjaoana? huo utii wa mtaa gani ndugu. Mapenzi yawe na mipaka.
 
Its not about becoming dear but its about knowing my worth. Unajua ukimpenda mtu sana unasahau na kujipenda mwenyewe na kujikuta you are giving too much of yourself. Nilidhani kumjali mwanamke inasaidia kumpa emotional strength at least awe na shukurani kwa hilo maana a million of others are crying with relationships kwamba hawapendwi jinsi wanataka.
Its enough with being nice na sasa its going to be all about principles and ultimatums hasa ambazo zitaniweka katika upande salama. Its either she abides or she leaves. Hakuna compromise tena. Nimeizika rasmi!
Kumbe ushajua tatizo sio wao, ni wewe mwenyewe. Unampenda mtu mwingine kuliko unavyoipenda nafsi yako, itakucost tu. Msichana wako hakuwa mwaminifu, ila wewe ulikuwa unamlazimisha kuwa mwaminifu. Inawezekana you loved a wrong person au it wasn't the right time , ndo maana hakuona hata thamani ya kujitoa kwako kwake, the right one ataappreciate tu. Afu sometimes kumtendea mtu mazuri doesn't guarantee kuwa atareciprocate, we should do good anyway.
 
Ni hatari sana man, yani niliposikia rafikia yake kamuunga facebook moyo ulipiga paa nikajua tu ipo siku nitapata matokeo yake na hayatakuwa ya kunipendeza maana demu wa kabla tulizinguana kwa ishu hio hio. Nilimwambia dogo kuwa hio kitu italeta miyeyusho ila hakuelewa mapema!
Mmh sijui na age yenu pia inachangia. Msichana wa kuwa worried naye coz kajiunga fb mmmh, bado hajajitambua vizuri I think.
 
Kumbe ushajua tatizo sio wao, ni wewe mwenyewe. Unampenda mtu mwingine kuliko unavyoipenda nafsi yako, itakucost tu. Msichana wako hakuwa mwaminifu, ila wewe ulikuwa unamlazimisha kuwa mwaminifu. Inawezekana you loved a wrong person, ndo maana hakuona hata thamani ya kujitoa kwako kwake, the right one ataappreciate tu. Afu sometimes kumtendea mtu mazuri doesn't guarantee kuwa atareciprocate, we should do good anyway.
But thats love, kwani unaweza kumpenda mtu nusu ukaita unampenda?. Love is giving whats best in you na hakunaga reserve ukiwa deep.
 
But thats love, kwani unaweza kumpenda mtu nusu ukaita unampenda. Love is giving whats best in you na hakunaga reserve ukiwa deep.
Sijakwambia umpende nusu, ila usimpende mtu mwingine ukajisahau kujipenda wewe mwenyewe. Ulimpa huyo msichana umuhimu sana kuliko hata Mungu maybe. You didn't know your worth, mpende mtu but don't lose your self worth and senses in the process
 
Tatizo mkuu haukusoma nyakat uhusiano wa chuo ni kama darasa la saba up to form six! hauna guarantee! ulitakiwa uendelee kupiga ukiwa psychological flexible! mi nakumbuka father aliniambia mwanamke mwema ni yule atakayekuja kwako ukiwa right time! righ place!
 
Tatizo mkuu haukusoma nyakat uhusiano wa chuo ni kama darasa la saba up to form six! hauna guarantee! ulitakiwa uendelee kupiga ukiwa psychological flexible! mi nakumbuka father aliniambia mwanamke mwema ni yule atakayekuja kwako ukiwa right time! righ place!
Hebu nifafanulie mkuu.
 
ila ungempiga''bend'' mngetoka pasu.....toto unalala nalo geto unaliacha tumbo wazi..mwana si wako man....ushaovatekiwa...
 
Y
Hebu nifafanulie mkuu.
Ipo hiv mkuu kwa hali ya sasa mapenz kwa wanawake hayatabirk kwa kuwa wanabadilika muda wowote kwa kuwa kwenye social place kama chuo kunakuwa na extrenal influence kama iliyomkuta huyu dada xo ukianzisha mahusiano nae usijiamin kupitiliza! nakumbuka hata kiimani tunasema "usimtegemee mwanadamu mtegemee mungu" mwanadamu ni kiumbe kama wengine japo kimepewa utashi! bt finaly nikushaur jikite katika kutimiza malengo binafsi ukipenda penda bt be flexible! anything can happen!
 
Back
Top Bottom