Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Kumtia makofi girlfriend? Dah watu tumeumbwa tifauti, sijuhi kama inasaidia chochote.
 
kuwa katika mahusiano na binti wa chuo...pengne umri sawa..,level sawa usiweke tegemeo lolote lile just enjoy tu ..yamenikuta haya
 
Wa kumuamini ni M/Mungu pekee. Mama yako haaminiki pia. Yawezekana hata hiyo mimba aliyokuzalia ,alidhamiria kuitoa lakini ikaokolewa na madaktari, baada ya zoezi la kuitoa kumletea madhara na kupoteza fahamu.Alipopelekwa hospitali na ilivyogunduliwa dhamira yake, akawekwa chini ya uangalizi,ndiyo ponapona yako hadi ukazaliwa.
Sio mwanamke wa kumwamin ni mama yako tu,,,binadamu yeyote haaminiki kivyovyote
 
Story yako inanikumbusha Makovu niliyonayo mkuu wanawake syo wa kuwapa dhamana hata kdogo.
Pole sana mkuu, we janga lako lilikuwaje hebu nipe in brief tupeane moyo. Wanawake wanaumiza sana hisia hasa ukiwa umechukulia kiungwana sana!
 
Staying under one roof,....!!! Hujaoa mzee
Ni makubaliano tu mzee, We hujaona couples zinakaa mageto for years mpaka wanapoamua ku make it official kwa harusi. Yaweza kuwa ni njia moja ya kuenzi kile mlichonacho miyoyoni mwenu. Its all love and respect.
 
Ni mtazamo ila unaegemea kwenye ukweli kwa 90%.Wanawake hamuaminiki.
Mimi namuamini Mama angu Mzazi tu.
I should live with it now kuwa sitakiwi kuweka stakes zozote kwa mwanamke. Its the 2nd time im doomed in the similar manner. Bora umfadhili muhuni huwa hatutupani ila kumfadhili mwanamke ni sawa na kujaza sukari baharini ukitegemea concetration ya chumvi iondoke kwenye maji!
 
Najua unaumia Ila pole sana,,,lakin pia shukuru mungu maana inaweza kua hakua chaguo sahihi LA moyo wako,labda nikuambie kitu kipya masikion mwako..... Mwanamke anahitaji mambo matatu makuu

(1) umuhakikishie kula vizuri
(2) umuhakikishie kuvaa vzri
(3) na kubwa kulko yote UMKUNE vzuri... nyongeza awe huru usiovuka mipaka na umkazanie hofu ya mungu,,hyo umesema kwa upande wake je upande wako ambao yy hakuwepo ulijizuia kiasi gan na michepuko,,au sababu yy hana utaalam wa kudukua mawasiliano yako??? Maandiko ya kisaikologia na kifalsafa yanasema hivi nanukuu:: Jinsi unavyomwona mwenzako siyo jinsi yeye alivyo Bali ni wewe ulivyo.... Inawezekana imotional entelegance yako ipo low....
Hayo nakubali na yote nimeweza mtimizia kwa kipindi chote toka tumeanza ila ilo la uhuru wa kupitiliza hapana. Kuna limits lazima ziwepo unless kama mtu huna mpango nae mnafurahishana tu. Ila katika uhusiano serious siwezi kunyamaza nikiona dalili za demu wangu anaelekea kuchepuka na mtu baki kwa kigezo cha
uhuru. Labda kama kwako wewe inafaa, ila kwangu fanya yote isipokuwa nisijue kuwa una lengo hilo.

Labda kama uhuru wa kuchit ndio alokuwa anautaka na sikuwa muelewa katika hilo.
Sio hivyo tu ila nimekuwa mwaminifu kwake kwa kiwango cha lami, password zote anazo, simu yangu yupo free nayo hata akitaka ashinde nayo. Most of the times nipo nae, namjali nampenda, nampa zawadi, namtia vizuri ila kama yote hayakuwa na maana kwake nina kosa gani hapo.
 
Mimi pia yamenkuta ..alibadili namba lakn ktk kuntext siku moja akajikuta anatumia hyo namba kujakucheki akanambia ya shangaz ake lakn nilivyo ingia dp akawa kamuweka mchzi ake wakiwa wamebusuana na zngne wamekumbatiana na status yake ilikuwa amazingly... Mwili moyo uliwaka ckula cku tatu maana tulikuwa ktk mahusiano yapata miez 16. Wazaz wake wanajua ..baada ya cku tatu za maumivu makali nikampiga chini ..nnaaman kwasasa na mwamaume aliye namademu kbao kama mswati yupo hawez umia hata cku moja dawa nkuwanyisha nakuwadump no way. Ushauri mamen ucwe na dem mmoja kama taa ya Pikipiki ambayo ikipasuka baac unabaki na maumivu.
Too bad na hii ndio aina ya maisha nitakayo anza kuishi. Demu atakuwa kitu additional tu in my timespace. Mishe zangu kwanza then yeye kama ataona namna gani aende ustawi akalalamike tu. Shiettt!!! Akishindwa aache wenzake wataweza yani no kubembelezana tena!

Nadhani ukiwa na demu mmoja unajikuta unamjali sana kuliko anavyostahili na hili linawapa picha tofauti kuwa labda sio jambo la kawaida. Wao wamezoea kusumbuliwa kihisia ndio wanakuwa stable. Maybe! Maana ma player huwa hawasumbuliwi na wanawake in most cases tena ndio wanapendwa balaa. Ila sie decent guys ndio kuchwa kutwa vilio tu.
 
My dear kuna wanaowekeana yamini(sijui ndio hiyo).
Na kula viapo,wengine hadi vya damu. Na walaa hawakumbuki kuvivunja vikibuma.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nacheka kama mazuri.

Kuna dogo waliwekeana kiapo cha damu, mwisho bibie akasaliti na akaachana na jamaa, binti akaolewa. Sasa bwanamdogo anasubiri anasema bibie atarudi tu hata uzeeni maana ndio mkewe. Haya mambo jamani khaaaaah!!!

Duh, kweli mapenzi yana wenyewe sasa huyo demu kapata faida gani kumuumiza jamaa. Tatizo huwa mnaishi kwa hisia na zinabadilika muda wowote ila hamtakagi kuwa wazi. Zile hisia zikiisha ni vimbwanga mtindo mmoja na hazinaga refill.

Anyway, i've learnt my lesson katika hilo. Wanawake ni wa kupita tu kama moshi wa fegi. Hata awe sweet na hisia kama nn sijui at a certain point zitaisha na atalianzisha upya kwengine and you can't do shit about it, instead you'll be the only one burning from the inside. Yeye wala hana habari anakula vyake na mwengine ambae zimechipua huko too bad ila its the harsh reality so tutatumiana tu maana hamna namna!
 
Pole sana,
Ila usimwamini mwanamke hata kama unamtania. Pia lazima uumizwe ili ukomae.
Kila mmoja amesha au ataumizwa siku moja in his/her lifetime
Nimeumia kweli kweli, ni hatari mno hawa watu!
 
Too bad na hii ndio aina ya maisha nitakayo anza kuishi. Demu atakuwa kitu additional tu in my timespace. Mishe zangu kwanza then yeye kama ataona namna gani aende ustawi akalalamike tu. Shiettt!!! Akishindwa aache wenzake wataweza yani no kubembelezana tena!

Nadhani ukiwa na demu mmoja unajikuta unamjali sana kuliko anavyostahili na hili linawapa picha tofauti kuwa labda sio jambo la kawaida. Wao wamezoea kusumbuliwa kihisia ndio wanakuwa stable. Maybe! Maana ma player huwa hawasumbuliwi na wanawake in most cases tena ndio wanapendwa balaa. Ila sie decent guys ndio kuchwa kutwa vilio tu.
Be a Decent Guy anyway. Don't let the bitterness steal your sweetness.
 
Back
Top Bottom