Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Ni kweli hachungwi ila subiri aje kukutia ugonjwa ndio utaona faida za kuwa mfuatiliaji wa mambo.
Hujanielewa. Wewe ulikosea sehemu moja tu, binti hakuwa mwaminifu, ila ulikuwa unamlazimisha kuwa mwaminifu kwa kumchunga but still aliendelea kufanya mambo yake . You can't keep someone who doesn't want to be kept. Ukiona mtu anazingua, muache aende, sio unaamua kumtrack afu unampiga bit ili aendelee kukaa na wewe, si unaona ilivyokucost. Mtu akiamua kuwa na mtu mwingine muache tu aende, hata ukimdunda haisaidii, kwani lazima akupende? Upendo wa kweli haulazimishwi
 
[emoji3] [emoji3] Sijui nguvu ya mapenzi kwamba wewe uko vizuri sana?why msioane sahivi awe ex? Kwa hiyo kumtii mwanaume ni kukubali kuishi naye chumba kimoja na huku hamjaoana? huo utii wa mtaa gani ndugu. Mapenzi yawe na mipaka.

Usilazimishe mtazamo wako kuwa ndio njia sahihi mkuu, pokea mitazamo tofauti in a positive way. Dogo mwenyewe ndio alipendekeza just kwa upendo mwanzoni tu wala mi sikulazimisha. Tukawa tumestay fresh no ngendembwe. Sio kwamba alikuwa mjinga kuona kwamba hajaolewa na mimi na akae na mimi sehemu moja isipokuwa ni ule upendo tu na hisia alizokuwa nazo juu yangu ndio zilimsukuma kuwa hivyo. Ndio dhana ya nguvu ya mapenzi ilipo we kama hujawahi kufanya sacrifice yeyote kwa ajili ya umpendaye basi usitake kuona wanaofanya hivyo ni wajinga!
 
Hujanielewa. Wewe ulikosea sehemu moja tu, binti hakuwa mwaminifu, ila ulikuwa unamlazimisha kuwa mwaminifu kwa kumchunga but still aliendelea kufanya mambo yake . You can't keep someone who doesn't want to be kept. Ukiona mtu anazingua, muache aende, sio unaamua kumtrack afu unampiga bit ili aendelee kukaa na wewe, si unaona ilivyokucost. Mtu akiamua kuwa na mtu mwingine muache tu aende, hata ukimdunda haisaidii, kwani lazima akupende? Upendo wa kweli haulazimishwi
This makes sense to me.
 
Hii noma sana.... mwanamkee akishakuwa yuko busy na insta fb and other popular social chatting... hesabu apo mnashare papuchi

Ndio maana silipendagi hilo lo fb maana ndipo usaliti ulipolalia humo. Tutafanyaje na kile kidude kipo integrated kwenye miili yao. At least kingekuwa peripheral unaweza king'oa akakosa fursa ya kumpa mtu mwengine kijambazi.
 
This makes sense to me.
Uaminifu au heshima aliyonayo mtu juu yako, haipimwi when you are round, but when you are away from her. Mkiwa karibu anapretend Uaminifu kwa sababu anakuogopa, Mkiwa mbali anafanya yake. Nakafanyiaga sana kazi haka kamsemo "I respect a man who respects me when I'm not around.
 
Hayo nakubali na yote nimeweza mtimizia kwa kipindi chote toka tumeanza ila ilo la uhuru wa kupitiliza hapana. Kuna limits lazima ziwepo unless kama mtu huna mpango nae mnafurahishana tu. Ila katika uhusiano serious siwezi kunyamaza nikiona dalili za demu wangu anaelekea kuchepuka na mtu baki kwa kigezo cha
uhuru. Labda kama kwako wewe inafaa, ila kwangu fanya yote isipokuwa nisijue kuwa una lengo hilo.

Labda kama uhuru wa kuchit ndio alokuwa anautaka na sikuwa muelewa katika hilo.
Sio hivyo tu ila nimekuwa mwaminifu kwake kwa kiwango cha lami, password zote anazo, simu yangu yupo free nayo hata akitaka ashinde nayo. Most of the times nipo nae, namjali nampenda, nampa zawadi, namtia vizuri ila kama yote hayakuwa na maana kwake nina kosa gani hapo.
Nielewe umpe Uhuru usiopitiliza,,,kama yote uliyoyasema unamfanyia ni sawa maana ukwel unaujua zaod ww kulko sisi unaotuelezea Ila yte kwa yte same he,,sahau,piga buku mambo mazur yaja mbele,,,Ila ukumbuke kua usipomkuna mwanamke wako vzr ni ngumu sana kukuambia kwamba hujanikuna wengine wanamezeaga tu kimya kimya Ila akijaribu nje akakunwa aaaaaagh kwako kwa heri...
 
Uaminifu au heshima aliyonayo mtu juu yako, haipimwi when you are round, but when you are away from her. Mkiwa karibu anapretend Uaminifu kwa sababu anakuogopa, Mkiwa mbali anafanya yake. Nakafanyiaga sana kazi haka kamsemo "I respect a man who respects me when I'm not around.
Tatizo ni kuwa most people think that their smart enough to cheat over and over wakiwa mbali in a sense that hawataonekana wanakosea without thinking that cheating itself has an impact katika uhusiano.
Ku cheat ni tabia mbaya kama zilivyo zingine na ni kumfanya yule aliekuamini kujiona mjinga wa mwisho bila kujali kuwa hata wewe unakuwa umeidanganya nafsi yako.
 
Tatizo ni kuwa most people think that their smart enough to cheat over and over wakiwa mbali in a sense that hawataonekana wanakosea without thinking that cheating itself has an impact katika uhusiano.
Ku cheat ni tabia mbaya kama zilivyo zingine na ni kumfanya yule aliekuamini kujiona mjinga wa mwisho bila kujali kuwa hata wewe unakuwa umeidanganya nafsi yako.
On point. ..
 
Nielewe umpe Uhuru usiopitiliza,,,kama yote uliyoyasema unamfanyia ni sawa maana ukwel unaujua zaod ww kulko sisi unaotuelezea Ila yte kwa yte same he,,sahau,piga buku mambo mazur yaja mbele,,,Ila ukumbuke kua usipomkuna mwanamke wako vzr ni ngumu sana kukuambia kwamba hujanikuna wengine wanamezeaga tu kimya kimya Ila akijaribu nje akakunwa aaaaaagh kwako kwa heri...
Naamini kilichompeleka huko ni tamaa tu na itafikia stage atanikumbuka tu kwa wema wote nilomtendea. Im a good guy na miongoni mwa vitu ambavyo atanikumbuka ni my character in b.e.d.s.t.u.y activity!
What goes around comes around!
 
Ha ha ha tatizo hilo nipana sn na limetengenezwa kwa miaka mingi sn kwa garama kubwa tn sio kuanzia hp nchi za mbali now watu wanakula faid tu mwanzo ilikuwa kama bure ila saivi ndio matukio yake hebu mrudie Mungu
 
Habari wadau,
Aisee hiki kimekuwa ni kipindi kizito sana katika sehemu ya maisha yangu baada ya kujikuta nilimuangukia kimapenzi mtoto mmoja ambaye alitokea kunielewa sana kipindi naanza 1st year,

kiukweli mipango ilikuwa mingi throughout the relationship maana alikuwa ni wife tirio from the first impression. Naye alikuwa mwaka sawa na mimi ila Program tofauti so tukawa tunaenda sawa mpaka ilipofika 2nd year mwisho wa semister 1 ambapo nilipatwa na tatizo lililo nje ya uwezo wangu nikatakiwa kusitisha mwaka wa masomo hali iliopelekea mi nayeye kuwa mbali kwa muda wa semister iliofuata.

Kiukweli nilikuwa namuamini sana ila kwa kuzingatia ile notion ya kuwa distance huwa inaleta shida kwa wapenzi hata muwe mmependana vipi nikaamua kumuwekea bug kwenye simu yake ili nihakiki msimamo wake kwangu.

Kwa muda wote wa semister ya pili ambayo nilikuwa sipo hakukuwa na rabsha yeyote ukizingatia nilikuwa nina monitor logs zake bila ye kujua haikuwa shida ila kuna wakati alikuwa anataka kuyumba nikamkanya ndipo hapo akajua kujua kuwa naona logs zake.

Haikuwa shida maana she was into me na alikuwa ananitii na kuwapotezea hao watu wanaomendea mzigo, mara nyingine aliniambiaga kabisa juu ya hao watu.
Tulikuwa so intimate kidume nikawa hadi naskia raha na wanangu walikuwa wana appreciate behaviour ya shem wao kila walipokutana nae na pia coz nilikuwa natulia nae mageto so walikuwa wakija geto kama nyumbani. Pasafi yani dogo anawajibika balaa.

=============================
**Ep2
Dogo kipindi sipo alikuwa mpweke sana na nilikuwa namcomfort ifahamike pia alikuwa na marafiki zake wa karibu ni classmates ila hao mademu walikuwa opposite sana nayeye kitabia.

Nilikuwa namshauri azingatie hilo asije kuiga tabia zao kwa hivyo akawa anajicontrol maana anajua sipendi na vile nipo around ikawa rahisi. Wenzake ni watu wa outing na starehe sana ila yeye ni mtu wa kutulia ndani kama hana ishu ya maana so sehemu kubwa ya muda wake aliitumia kwangu na shule tu.

Kitu ambacho sitaki kuamini nadhani baada ya mie kuwa sipo her friends took most of her time na taratibu walianza kumfeed na mindset tofauti kabisa na taratibu akaanza kubadilika na kuiga tabia zao.

Though tulikuwa tukiwasiliana vizuri kwa kipindi chote hicho ila nadhani ndio mambo yalipoanza kuvurugika. Alikuwa ana freedom sana. Mpaka semister inaisha tukawa tumepanga nitaporudi chuo tukatulie wote, dogo alitafta rum nikailipia kama sehemu ya mpango wetu.

========================
**Ep.3
Baada ya mwaka kuisha nilipanga kurejea chuo ili ni resume studies ambapo yeye angeingia 3rd year mi nikianza 2nd year upya.
Ghafla nilianza kuona mabadiliko katika mawasiliano mwezi mmoja kabla ya kufungua chuo.

Akawa hanitafuti mpaka nimpigie. No sleep well wala g.mornings without any real reasons. Ilikuwa ni baada tu ya yeye kurudi chuo one time kwa week moja ya supplementary. Kipindi hicho nilikuwa nipo tight na kazi nilipata tempo moja Mbeya. Nikawa na struggle pia na swala la mawasiliano yetu.

Nikaanza fuatilia kiini cha tatizo nikaja ona kuwa dogo alikuwa na njemba inamzuzua. Nikampa warning akawa hasikii. Nikaja kutoa ultimatum kwamba its either me or the guy achague moja. Akaniteua mie. Baadae nikaja kujua kwamba jamaa ni colleague wa PGD pale chuo na alimtokea kipindi cha sup ndio akaanza kumpa goodtime.

============================
**Ep.4
Baada ya mie kumzingua dogo akaelewa niliamua kupotezea hilo la
yeye kudate na jamaa nikiwa na hope tukirudi soon tutakuwa wote under the same roof so haitakuwa shida ku monitor movements zake na hata mawasiliano yake maana pia nilimpiga ban kuwasiliana tena na huyo njemba.

Cha kushangaza ile thrill alokuwa nayo dogo kuhusu kuishi naye ilipungua na akawa mzito sana akidai eti anaona tuishi separate places ili kusudi tusigombane tena kisa contact na ex gf. Maana mwanzoni ex wangu alikuwa around na ana contact na mimi kirafiki tu ila dogo tukawa tunazinguana sana juu ya hilo.

Ila this time around nilikuwa nishaacha mawasiliano na ex kabisa ili dogo awe na amani yote tusiwe tunalumbana tena. Nilishangazwa sana na hio attitude yake towards sisi kuishi pamoja tena ila nilimshawishi zaidi mpaka akakubali.

===============================
**Ep.5
Baada ya kufungua chuo dogo amekuja tayari mazingira nilishaandaa maana nilitangulia kufika. Tumeanza kutulia wote freshi tu, taratibu nikashangaa attitude yake kwangu imebadilika mno kiasi cha kwamba ni kama hatujuani.

Yani dogo response yake kwangu ikawa so cold and harsh pia akawa ana complain juu ya vitu vidogo dogo ile sio kawaida. Nikawa najiuliza nini shida kimoyo ila sikusema lolote. The moment nimeanza kumuuliza kuwa mbona simuelewi yani ina maana kila kitu nachofanya sio kizuri ni lawama tu.

No intimacy wala affection yani muda wote ugomvi tu akawa anadai eti nalalamika sana. Sijakaa vizuri yule jamaa niliemwambia asi contact nae akawa anawasiliana nae ghafla. Kuuliza kwa nini hakuwa na jibu ila kuniwakia kuwa huyo jamaa ni rafiki tu tatizo naji stress sana.

Akaenda mbali akachukua simu yangu ya kitochi akawa anawasiliana nae kisiri baada ya kuona nimemaindi yeye kukiuka agizo langu.

==============================
**Ep.6
Baada ya kuzinguana na dogo juu ya hiyo njemba yake akawa so defensive. Anaona ninambana bana sana mara et ndio maana sikutaka tuishi wote ili tusigombane.

It went further akawa mkaidi mno ikumbukwe nilidukua mawasiliano yake hivyo niliona romantic texts zake wakitumiana na hio njemba alionidanganya kuwa ni rafiki yake tu toka mwanzoni pale. Na ndio kisa cha kumwambia urafiki wa hivyo hapana, cut off contacts na huyo jamaa.

As time ilivyoenda nikazidi kugundua mengi juu ya ile sababu yake ya kugoma kukaa under one roof na mimi. Kumbe yule mpenzi wangu ambae nilimuacha mpweke kwa masikitiko makubwa alishabadilishwa na wale marafiki na kuwa kama mbwa sasa.

Alishafundishwa facebook, instagram. Yani kilichofuata ilikuwa ni mlolongo wa kauli za kejeli na dharau mpaka kufikia steji nikawa najiona kama sio binadamu. Yani binti alizidi kuwapanga huko facebook ndio ikawa eneo la kugawa namba kwa watu aliofahamiana nao zamani wengine ndio wapya.

Kila siku ni mtu mpya na mbaya zaidi dogo akawa hachomoi. Mpaka kufikia stage nikaona isiwe shida, nilianza kumtia makofi ili walau nyumba iweze kukalika maana hata shule ilikuwa haipandi.

Full stress na mtoto nilimpenda kumoyo, i did alot for her since tumeanza freshly 1st Year ila amekuja badilika this late. Yupo 3rd year now i've almost wasted 3 good years. Nimeamua kushea nanyi hii story ili wenye watoto chuo mtie maji mwenzenu nshanyolewa hivyo.

Hitimisho, niliona isiwe tabu nikaamua kujipunguza kimya kimya ingawa roho iliniuma mno. This was my groundshaking heart-break ever. Jamani Wakiumeni wenzangu nimejifunza hakuna haja ya kumuamini mwanamke hata awe mzuri kama malaika.

You will save yourself a severe headache mbeleni. If you ought to love then dont put up with any expectations.
William Shakespeare alisema , I'm happy because idont expect any thing from any body because expectations always hurt when what you expected won't happen. ...
 
Wewe mwenyewe ndo umemuharibu.... Kwa nn uliendelea kuwasiliana na ex wako?
Alikuwa ananitafuta most times kwa ishu za kazi assignments, discussions. We were in the same class, same group of class activities na mie ndio nilikuwa mwenyekiti wa group letu.

Mwanzo wa ku date na huyo ex classmate wangu ni kuwa nilizinguanaga na huyo dogo at first.

Kuna kipindi kimoja cha likizo ya semister ya mwisho first year alianza kunletea mapicha picha alikuwa ameanza kunizeveza maana tulikuwa twawasiliana kwa simu tu kwao Migo Migo kwetu Tabata. Ilitokea akaendaga Mkuranga kusimamia lodge ya dada yake mpya ilianzishwa ila wafanyakazi wakawa na hujuma faida haionekani. Kwa sasa imekuwa kiwanja maarufu kwa wala bata na kikubwa tu inaitwa "Asante".

Alipoenda huko tukawa tunawasiliana freshi mwanzoni ila after a few weeks akawa amepunguza sana mawasiliano. Siku nzima kimya hakupigi. Unamtext hajibu. Ikafikia siu hapokei na akipokea anakwambia kachoka anahitaji kupumzika. Yani ikawa mateso. Mda anaosema analala ukipiga simu number busy mpaka saa 7 za usiku. Saa ingine hapokei simu mpaka umpigie na namba ngeni ila whatsapp unaona yupo online. Unamtext hajibu ila kitu ipo delivered.

Niliteseka mno kujua hatma yangu baadae nikampa ultimatum kuwa kama anaona kuna umuhimu wa mapenzi baina yetu then afanye maamuzi hio hali imenichosha. Siku za kufungua chuo zilikuwa zimekaribia akawa amejirudi ila guts zangu ziliniambia kuwa there was really something wrong behind ile shida alonipa and most likely cheating. Hivyo nikawa nishajikatiaga tamaa nikavuta demu kitaa nikagonga kupooza stess maana nliona kama mbwai mbwai. Yule demu akawa amenipenda mno akawa anantumia mesej za magazet zile kila saa.

Nilipanga siku tunayosafiri nikikutana na huyo dogo kwenye basi tu nimkague simu yake on the spot, na akileta ujeuri tu kunipa ntajua kuna jambo analoficha. Na kweli kama nilivyotaraji akawa mbishi kunipa akafuta meseji ndio akanipa. Mungu si athumani baadae tukiwa njiani jamaa likampigia hakupokea. Likamtumia romantic message ya safari njema nikaiona na kuisoma. Kumuuliza huyo nani akawa anababaika kuwa alikuwa moja ya mteja kule lodge kwao alimzoea tu na alimtaka sana ila hakudet nae. Baada ya kuona simu yake alitaka na yangu aone napo kama kunani na mie kwa makusudi sikufuta text za yule demu wa kitaa ili asijione mjanja sana. Nami nimefanya yangu kipindi alichonipotezeaga.

Katikati ya safari ndio text zikazidi ingia za yule demu wa kitaa. Huyo dogo akawa anaumia sana kuona vile kweli akawa anahisi nimemchit. Ila nilimpooza nkamwambia huyo ni just a friend niliwahi kusoma nae zamani ila sijamchanya koz pa yupo mbali zenji huko tulikutana mtandaoni tu. Dogo akawa ameshindwa kuielewa ile hali nikambembeleza wee na kumwambia kuwa sina kweli uhusiano nae na nitamkataa kama haamini ataona. Tulipofika chuo dogo akawa amenikaushia. Nikamwambia bas kama unahisi nimekukosea sana nisamehe maana pia wewe umenikosea kumbuka. Lets bury this tuendelee na mapenzi. Still hakuwa muelewa. Akaanza toa kauli mbaya kila nikimpigia nabembeleza tusameheane tuendelee mtoto hataki. Mashosti zake sijui wakampa bichwa eti a move on wakati hajawahi na hakuujua mziki. Alikuwa ananipenda mno by that time. Akanisumbua for about two weeks nikaamua nami nimpotezee niendelee na mengine maana alikuwa ana act kama ame move on kibishi ingawa roho iliniuma sana.

Ndipo nilipoanzisha uhusiano na huyo classmate wangu ambaye alikuwa a very close friend of mine, groupmate and she was so romantic and funny. Turns out alikuwa kwenye uhusiano na mtu ambaye hakuwa anamjali so katika process ya sharing of stories tukajikuta tupo in love with each other and thats where all it began. From sex to hiking, to schooling together tukawa kama vipepeo. She gave me love bila kipimo nikawa so obsessed nae.

Shida ikaanza pale dogo alipokuwa over jealous na kile ambacho alikiona baina yangu mie na classmate wangu huyo. She was dying inside kwa wivu na ndipo alipogundua thamani yangu kwake. Kiukweli huyo classmate alikuwa so hottt. Ni mzuri sana in every aspect na alimzidi kila kitu huyo dogo ndio vikaanza vilio sasa kwamba mbona nimempotezea. Akawa anapiga simu kila siku nazipotezea kama yeye alivyofanyaga maana alinionesha kuwa kasha move on. Anawalilia washkaji zangu kuwa she really loves me waniombee msamaha and shit.

Alilia kwa semister nzima the next semister nikamsamehe maana ilikuwa kama kero sasa.Pia nilitaka kuwa exclusive patner kwa yule mate wangu ili nitulie nae mazima maana at that time alikuwa anachepuka tu namimi. Ila msela wake bado anaendelea nae as well ila mate akawa mzito kufanya decision nikampunguza. Dogo nae ndipo shida zilipoanzia hapo akataka tukae wote ili ahakikishe kuwa siendelei na yule classmate wangu. She wanted that to happen so abruptly ila haikuwa rahisi kwangu kukata mawasiliano ghafla cause mate nlikuwa nimemkoleza sana tayari na i was always on her mind. Niliwaza jinsi gani angeumia juu ya hilo ila dogo alinibana to an extent akanipa ultimatum ni either tuendelee or nimcancel mate. Sikuwa na option ila kum cancel mate kutokana na situation ilokuwepo.

Ikawa kero kwa semister nzima ni kushikiwa simu muda wote akute chats zake humo ndio balaa. Alililia sana Amani ya moyo nikaahidi ataipata tu. Nipo serious nitampotezea kabisa after sometime naweka more efforts katika hilo. Mpaka mwisho wa siku nikaweza m cut off yule mate baada ya kukaa nje ya chuo mwaka mzima.

Now ile Amani ya moyo aloitaka nikaweza mpa ajiskie yupo free kwangu. Kilichotokea ndio hayo mapicha picha alonletea mpaka sitamani kupenda tena. Yale yalokuwa yanamkwaza yeye amenifanyia mimi bila huruma wala kujali hata chembe kwa kiburi kuwa mbona hata wewe ulinifanyiaga nilimuuliza is this a revenge? Akawa anakanusha ila akawa anatumia past kama silaha ya kunifanyia ushenzi ingawa tulishaongeaga yakaisha tukasameheana.

Heaven Sent atoto
 
Usilazimishe mtazamo wako kuwa ndio njia sahihi mkuu, pokea mitazamo tofauti in a positive way. Dogo mwenyewe ndio alipendekeza just kwa upendo mwanzoni tu wala mi sikulazimisha. Tukawa tumestay fresh no ngendembwe. Sio kwamba alikuwa mjinga kuona kwamba hajaolewa na mimi na akae na mimi sehemu moja isipokuwa ni ule upendo tu na hisia alizokuwa nazo juu yangu ndio zilimsukuma kuwa hivyo. Ndio dhana ya nguvu ya mapenzi ilipo we kama hujawahi kufanya sacrifice yeyote kwa ajili ya umpendaye basi usitake kuona wanaofanya hivyo ni wajinga!

Ni wajinga ndio maana hawajawa na uhakika wa kuoana wanaishi pamoja mara kila mtu kasepa.
 
Alikuwa ananitafuta most times kwa ishu za kazi assignments, discussions. We were in the same class, same group of class activities na mie ndio nilikuwa mwenyekiti wa group letu.

Mwanzo wa ku date na huyo ex classmate wangu ni kuwa nilizinguanaga na huyo dogo at first.

Kuna kipindi kimoja cha likizo ya semister ya mwisho first year alianza kunletea mapicha picha alikuwa ameanza kunizeveza maana tulikuwa twawasiliana kwa simu tu kwao Migo Migo kwetu Tabata. Ilitokea akaendaga Mkuranga kusimamia lodge ya dada yake mpya ilianzishwa ila wafanyakazi wakawa na hujuma faida haionekani. Kwa sasa imekuwa kiwanja maarufu kwa wala bata na kikubwa tu inaitwa "Asante".

Alipoenda huko tukawa tunawasiliana freshi mwanzoni ila after a few weeks akawa amepunguza sana mawasiliano. Siku nzima kimya hakupigi. Unamtext hajibu. Ikafikia siu hapokei na akipokea anakwambia kachoka anahitaji kupumzika. Yani ikawa mateso. Mda anaosema analala ukipiga simu number busy mpaka saa 7 za usiku. Saa ingine hapokei simu mpaka umpigie na namba ngeni ila whatsapp unaona yupo online. Unamtext hajibu ila kitu ipo delivered.

Niliteseka mno kujua hatma yangu baadae nikampa ultimatum kuwa kama anaona kuna umuhimu wa mapenzi baina yetu then afanye maamuzi hio hali imenichosha. Siku za kufungua chuo zilikuwa zimekaribia akawa amejirudi ila guts zangu ziliniambia kuwa there was really something wrong behind ile shida alonipa and most likely cheating. Hivyo nikawa nishajikatiaga tamaa nikavuta demu kitaa nikagonga kupooza stess maana nliona kama mbwai mbwai. Yule demu akawa amenipenda mno akawa anantumia mesej za magazet zile kila saa.

Nilipanga siku tunayosafiri nikikutana na huyo dogo kwenye basi tu nimkague simu yake on the spot, na akileta ujeuri tu kunipa ntajua kuna jambo analoficha. Na kweli kama nilivyotaraji akawa mbishi kunipa akafuta meseji ndio akanipa. Mungu si athumani baadae tukiwa njiani jamaa likampigia hakupokea. Likamtumia romantic message ya safari njema nikaiona na kuisoma. Kumuuliza huyo nani akawa anababaika kuwa alikuwa moja ya mteja kule lodge kwao alimzoea tu na alimtaka sana ila hakudet nae. Baada ya kuona simu yake alitaka na yangu aone napo kama kunani na mie kwa makusudi sikufuta text za yule demu wa kitaa ili asijione mjanja sana. Nami nimefanya yangu kipindi alichonipotezeaga.

Katikati ya safari ndio text zikazidi ingia za yule demu wa kitaa. Huyo dogo akawa anaumia sana kuona vile kweli akawa anahisi nimemchit. Ila nilimpooza nkamwambia huyo ni just a friend niliwahi kusoma nae zamani ila sijamchanya koz pa yupo mbali zenji huko tulikutana mtandaoni tu. Dogo akawa ameshindwa kuielewa ile hali nikambembeleza wee na kumwambia kuwa sina kweli uhusiano nae na nitamkataa kama haamini ataona. Tulipofika chuo dogo akawa amenikaushia. Nikamwambia bas kama unahisi nimekukosea sana nisamehe maana pia wewe umenikosea kumbuka. Lets bury this tuendelee na mapenzi. Still hakuwa muelewa. Akaanza toa kauli mbaya kila nikimpigia nabembeleza tusameheane tuendelee mtoto hataki. Mashosti zake sijui wakampa bichwa eti a move on wakati hajawahi na hakuujua mziki. Alikuwa ananipenda mno by that time. Akanisumbua for about two weeks nikaamua nami nimpotezee niendelee na mengine maana alikuwa ana act kama ame move on kibishi ingawa roho iliniuma sana.

Ndipo nilipoanzisha uhusiano na huyo classmate wangu ambaye alikuwa a very close friend of mine, groupmate and she was so romantic and funny. Turns out alikuwa kwenye uhusiano na mtu ambaye hakuwa anamjali so katika process ya sharing of stories tukajikuta tupo in love with each other and thats where all it began. From sex to hiking, to schooling together tukawa kama vipepeo. She gave me love bila kipimo nikawa so obsessed nae.

Shida ikaanza pale dogo alipokuwa over jealous na kile ambacho alikiona baina yangu mie na classmate wangu huyo. She was dying inside kwa wivu na ndipo alipogundua thamani yangu kwake. Kiukweli huyo classmate alikuwa so hottt. Ni mzuri sana in every aspect na alimzidi kila kitu huyo dogo ndio vikaanza vilio sasa kwamba mbona nimempotezea. Akawa anapiga simu kila siku nazipotezea kama yeye alivyofanyaga maana alinionesha kuwa kasha move on. Anawalilia washkaji zangu kuwa she really loves me waniombee msamaha and shit.

Alilia kwa semister nzima the next semister nikamsamehe maana ilikuwa kama kero sasa.Pia nilitaka kuwa exclusive patner kwa yule mate wangu ili nitulie nae mazima maana at that time alikuwa anachepuka tu namimi. Ila msela wake bado anaendelea nae as well ila mate akawa mzito kufanya decision nikampunguza. Dogo nae ndipo shida zilipoanzia hapo akataka tukae wote ili ahakikishe kuwa siendelei na yule classmate wangu. She wanted that to happen so abruptly ila haikuwa rahisi kwangu kukata mawasiliano ghafla cause mate nlikuwa nimemkoleza sana tayari na i was always on her mind. Niliwaza jinsi gani angeumia juu ya hilo ila dogo alinibana to an extent akanipa ultimatum ni either tuendelee or nimcancel mate. Sikuwa na option ila kum cancel mate kutokana na situation ilokuwepo.

Ikawa kero kwa semister nzima ni kushikiwa simu muda wote akute chats zake humo ndio balaa. Alililia sana Amani ya moyo nikaahidi ataipata tu. Nipo serious nitampotezea kabisa after sometime naweka more efforts katika hilo. Mpaka mwisho wa siku nikaweza m cut off yule mate baada ya kukaa nje ya chuo mwaka mzima.

Now ile Amani ya moyo aloitaka nikaweza mpa ajiskie yupo free kwangu. Kilichotokea ndio hayo mapicha picha alonletea mpaka sitamani kupenda tena. Yale yalokuwa yanamkwaza yeye amenifanyia mimi bila huruma wala kujali hata chembe kwa kiburi kuwa mbona hata wewe ulinifanyiaga nilimuuliza is this a revenge? Akawa anakanusha ila akawa anatumia past kama silaha ya kunifanyia ushenzi ingawa tulishaongeaga yakaisha tukasameheana.

Heaven Sent atoto
Sijui na age yenu ilichangia, ndo maana mkawa na drama za hapa na pale, Leo akikuumiza unamsamehe, kesho na wewe unamlipizia mmh. Anyway shit happens , take some responsibility for your part in what has happened, then songa mbele. Tunajifunzaga kupitia makosa, na kupitia hata hayo mahusiano ambayo hayakudumu, kuna vitu positive pia tunaondoka navyo
 
Duh, kweli mapenzi yana wenyewe sasa huyo demu kapata faida gani kumuumiza jamaa. Tatizo huwa mnaishi kwa hisia na zinabadilika muda wowote ila hamtakagi kuwa wazi. Zile hisia zikiisha ni vimbwanga mtindo mmoja na hazinaga refill.

Anyway, i've learnt my lesson katika hilo. Wanawake ni wa kupita tu kama moshi wa fegi. Hata awe sweet na hisia kama nn sijui at a certain point zitaisha na atalianzisha upya kwengine and you can't do shit about it, instead you'll be the only one burning from the inside. Yeye wala hana habari anakula vyake na mwengine ambae zimechipua huko too bad ila its the harsh reality so tutatumiana tu maana hamna namna!

Kwahiyo kwa mfano wa huyo wako umekuja na maamuzi ya jumla eti!!! Wanaume mkitendwa mnavyojua kutia huruma!! Kuna wanawake wanakutana na magume gume hatari pia. Hakuna upande ulio safe 100%. We ulimpata asie wako, shukuru songa mbele. Atakuja wako maisha yatasonga. Huwezi unguza shule kisa wanafunzi wamefeli wakati wapo waliofaulu, tambua wapi ulijikwaa songa mbele.
 
Sijui na age yenu ilichangia, ndo maana mkawa na drama za hapa na pale, Leo akikuumiza unamsamehe, kesho na wewe unamlipizia mmh. Anyway shit happens , take some responsibility for your part in what has happened, then songa mbele. Tunajifunzaga kupitia makosa, na kupitia hata hayo mahusiano ambayo hayakudumu, kuna vitu positive pia tunaondoka navyo

Mapenzi ya chuo ni kama ya form two tu, wachache wanajitambua. Ye atulie asome mke atampataga tu wakati sahihi ukifika. Kuna watu wana mazito zaidi yake. Ajifunze asonge mbele, si kila anaekuja kwako ndio wako,wengine wanapita kutufundisha tu japo sometimesni in a hard way, ila ndio lesson learnt. Sio ndio uconclude kuwa wanawake wote vimeo,wakati good ones wapo kibao tu ni wewe tu na unavyochanga karata zako.
 
Mapenzi ya chuo ni kama ya form two tu, wachache wanajitambua. Ye atulie asome mke atampataga tu wakati sahihi ukifika. Kuna watu wana mazito zaidi yake. Ajifunze asonge mbele, si kila anaekuja kwako ndio wako,wengine wanapita kutufundisha tu japo sometimesni in a hard way, ila ndio lesson learnt. Sio ndio uconclude kuwa wanawake wote vimeo,wakati good ones wapo kibao tu ni wewe tu na unavyochanga karata zako.
Amen to that
 
Alikuwa ananitafuta most times kwa ishu za kazi assignments, discussions. We were in the same class, same group of class activities na mie ndio nilikuwa mwenyekiti wa group letu.

Mwanzo wa ku date na huyo ex classmate wangu ni kuwa nilizinguanaga na huyo dogo at first.

Kuna kipindi kimoja cha likizo ya semister ya mwisho first year alianza kunletea mapicha picha alikuwa ameanza kunizeveza maana tulikuwa twawasiliana kwa simu tu kwao Migo Migo kwetu Tabata. Ilitokea akaendaga Mkuranga kusimamia lodge ya dada yake mpya ilianzishwa ila wafanyakazi wakawa na hujuma faida haionekani. Kwa sasa imekuwa kiwanja maarufu kwa wala bata na kikubwa tu inaitwa "Asante".

Alipoenda huko tukawa tunawasiliana freshi mwanzoni ila after a few weeks akawa amepunguza sana mawasiliano. Siku nzima kimya hakupigi. Unamtext hajibu. Ikafikia siu hapokei na akipokea anakwambia kachoka anahitaji kupumzika. Yani ikawa mateso. Mda anaosema analala ukipiga simu number busy mpaka saa 7 za usiku. Saa ingine hapokei simu mpaka umpigie na namba ngeni ila whatsapp unaona yupo online. Unamtext hajibu ila kitu ipo delivered.

Niliteseka mno kujua hatma yangu baadae nikampa ultimatum kuwa kama anaona kuna umuhimu wa mapenzi baina yetu then afanye maamuzi hio hali imenichosha. Siku za kufungua chuo zilikuwa zimekaribia akawa amejirudi ila guts zangu ziliniambia kuwa there was really something wrong behind ile shida alonipa and most likely cheating. Hivyo nikawa nishajikatiaga tamaa nikavuta demu kitaa nikagonga kupooza stess maana nliona kama mbwai mbwai. Yule demu akawa amenipenda mno akawa anantumia mesej za magazet zile kila saa.

Nilipanga siku tunayosafiri nikikutana na huyo dogo kwenye basi tu nimkague simu yake on the spot, na akileta ujeuri tu kunipa ntajua kuna jambo analoficha. Na kweli kama nilivyotaraji akawa mbishi kunipa akafuta meseji ndio akanipa. Mungu si athumani baadae tukiwa njiani jamaa likampigia hakupokea. Likamtumia romantic message ya safari njema nikaiona na kuisoma. Kumuuliza huyo nani akawa anababaika kuwa alikuwa moja ya mteja kule lodge kwao alimzoea tu na alimtaka sana ila hakudet nae. Baada ya kuona simu yake alitaka na yangu aone napo kama kunani na mie kwa makusudi sikufuta text za yule demu wa kitaa ili asijione mjanja sana. Nami nimefanya yangu kipindi alichonipotezeaga.

Katikati ya safari ndio text zikazidi ingia za yule demu wa kitaa. Huyo dogo akawa anaumia sana kuona vile kweli akawa anahisi nimemchit. Ila nilimpooza nkamwambia huyo ni just a friend niliwahi kusoma nae zamani ila sijamchanya koz pa yupo mbali zenji huko tulikutana mtandaoni tu. Dogo akawa ameshindwa kuielewa ile hali nikambembeleza wee na kumwambia kuwa sina kweli uhusiano nae na nitamkataa kama haamini ataona. Tulipofika chuo dogo akawa amenikaushia. Nikamwambia bas kama unahisi nimekukosea sana nisamehe maana pia wewe umenikosea kumbuka. Lets bury this tuendelee na mapenzi. Still hakuwa muelewa. Akaanza toa kauli mbaya kila nikimpigia nabembeleza tusameheane tuendelee mtoto hataki. Mashosti zake sijui wakampa bichwa eti a move on wakati hajawahi na hakuujua mziki. Alikuwa ananipenda mno by that time. Akanisumbua for about two weeks nikaamua nami nimpotezee niendelee na mengine maana alikuwa ana act kama ame move on kibishi ingawa roho iliniuma sana.

Ndipo nilipoanzisha uhusiano na huyo classmate wangu ambaye alikuwa a very close friend of mine, groupmate and she was so romantic and funny. Turns out alikuwa kwenye uhusiano na mtu ambaye hakuwa anamjali so katika process ya sharing of stories tukajikuta tupo in love with each other and thats where all it began. From sex to hiking, to schooling together tukawa kama vipepeo. She gave me love bila kipimo nikawa so obsessed nae.

Shida ikaanza pale dogo alipokuwa over jealous na kile ambacho alikiona baina yangu mie na classmate wangu huyo. She was dying inside kwa wivu na ndipo alipogundua thamani yangu kwake. Kiukweli huyo classmate alikuwa so hottt. Ni mzuri sana in every aspect na alimzidi kila kitu huyo dogo ndio vikaanza vilio sasa kwamba mbona nimempotezea. Akawa anapiga simu kila siku nazipotezea kama yeye alivyofanyaga maana alinionesha kuwa kasha move on. Anawalilia washkaji zangu kuwa she really loves me waniombee msamaha and shit.

Alilia kwa semister nzima the next semister nikamsamehe maana ilikuwa kama kero sasa.Pia nilitaka kuwa exclusive patner kwa yule mate wangu ili nitulie nae mazima maana at that time alikuwa anachepuka tu namimi. Ila msela wake bado anaendelea nae as well ila mate akawa mzito kufanya decision nikampunguza. Dogo nae ndipo shida zilipoanzia hapo akataka tukae wote ili ahakikishe kuwa siendelei na yule classmate wangu. She wanted that to happen so abruptly ila haikuwa rahisi kwangu kukata mawasiliano ghafla cause mate nlikuwa nimemkoleza sana tayari na i was always on her mind. Niliwaza jinsi gani angeumia juu ya hilo ila dogo alinibana to an extent akanipa ultimatum ni either tuendelee or nimcancel mate. Sikuwa na option ila kum cancel mate kutokana na situation ilokuwepo.

Ikawa kero kwa semister nzima ni kushikiwa simu muda wote akute chats zake humo ndio balaa. Alililia sana Amani ya moyo nikaahidi ataipata tu. Nipo serious nitampotezea kabisa after sometime naweka more efforts katika hilo. Mpaka mwisho wa siku nikaweza m cut off yule mate baada ya kukaa nje ya chuo mwaka mzima.

Now ile Amani ya moyo aloitaka nikaweza mpa ajiskie yupo free kwangu. Kilichotokea ndio hayo mapicha picha alonletea mpaka sitamani kupenda tena. Yale yalokuwa yanamkwaza yeye amenifanyia mimi bila huruma wala kujali hata chembe kwa kiburi kuwa mbona hata wewe ulinifanyiaga nilimuuliza is this a revenge? Akawa anakanusha ila akawa anatumia past kama silaha ya kunifanyia ushenzi ingawa tulishaongeaga yakaisha tukasameheana.

Heaven Sent atoto
Hii kweli shughuli... Are you people serious up there??.... I think you should be more serious to your studies young man.... These things have got their time. Your are f**king each other like there is no tomorrow!!!
 
Back
Top Bottom