Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo timu imejaza mashabiki oyo oya sana.
Siyo sawa. Sisi ndo mabingwa dogoHiyo timu imejaza mashabiki oyo oya sana.
Halafu hawajui hata futbol na hawajui kuwa positive kabisaa na mara zote huwa wanaabika. Kifupi ni Mashabiki wa hovyo sana aisee 🤣🤣🤣Hiyo timu imejaza mashabiki oyo oya sana.
Mna points zetu 3Unapigwa ukiwa wapi?🤣🤣🤣🤣
Umeshapigwa hiyo banio(paipu) au ndiyo unasubiria.Siyo sawa. Sisi ndo mabingwa dogo
Punguzeni ushabiki wa hovyo aisee au ndio ule msemo wa Manara. Wenye akili pale Yanga ni Mzee Kikwete na Baba yake?Siyo sawa. Sisi ndo mabingwa dogo
Tunasubiria points zetu 3 tena msimu huu tuchukue Kombe.Halafu hawajui hata futbol na hawajui kuwa positive kabisaa na mara zote huwa wanaabika. Kifupi ni Mashabiki wa hovyo sana aisee 🤣🤣🤣
Kuna jamaa alitaka kunivunjja kioo cha simu kwa sababu ya ushabiki hoya hoya. Mpira sio mdomoni aisee
Ukiwa unatazama mpira mabandani kaa nao mbali unaweza dungwa hata kisu mkuu wengi ni hamnazo😆Halafu hawajui hata futbol na hawajui kuwa positive kabisaa na mara zote huwa wanaabika. Kifupi ni Mashabiki wa hovyo sana aisee 🤣🤣🤣
Kuna jamaa alitaka kunivunjja kioo cha simu kwa sababu ya ushabiki hoya hoya. Mpira sio mdomoni aisee
Umelipiwa deni leo na watu hawakudai kaa kwa kutulia tu.Mna points zetu 3
Ishawahi tokea hiyo banda umiza ule mgoli wa Kibu Mkandaji nikashangaa kuona shabiki wa Uto anamwaga michanga kwenye bandaUkiwa unatazama mpira mabandani kaa nao mbali unaweza dungwa hata kisu mkuu wengi ni hamnazo😆
Yani wenye weledi ni wachache mno ndio maana mtu asiye na utulivu kama manara tulimtoa asee😁Ishawahi tokea hiyo banda umiza ule mgoli wa Kibu Mkandaji nikashangaa kuona shabiki wa Uto anamwaga michanga kwenye banda
Kibanio ni nini?Nimeandika wapi Ban wewe Mbumbumbu?
Punguza mihemko kijanaNimeandika wapi Ban wewe Mbumbumbu?
Weledi❌Yani wenye weledi ni wachache mno ndio maana mtu asiye na utulivu kama manara tulimtoa asee😁
Banio la kubania sufuriaKibanio ni nini?
Aisee 🤣🤣🤣
Hovyo sana. Hawa Simba ni wepesi leo ilikuwa wapigwe 3. Nimeshangaa sanaPunguza mihemko kijana
Mbaya sana kuendeleza mihemuko kwa kila jambo. Sijui hawa mashabiki wa Uto huwa wanaichukuliaje Simba SC?Punguza mihemko kijana