Kweli nasema Simba leo akishinda nipigwe

Kweli nasema Simba leo akishinda nipigwe

Umeshashenyentwa mkuu

Kamdomo kamdomo kamdomo 🙄
IMG-20250202-WA0032.jpg
 
Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.

Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...

Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Uko wapi sasa hivi? Nna shida na wewe tafadhali!!!
 
Ongea naye PM sasa, hapa hadharani. Hata tukiona unatongozwa tunaingilia
Kuingilia sio shida! Shida inakuja mtoto wa kiume tena mtu mzima unapoumia.

Humu kuna watu wapo karibu na wana mipaka yao inaweza kua ni myembamba au minene.
Sio sawa kudandiadandia maongezi ya watu bila kujua ukaribu wao.
 
Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.

Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...

Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Pigaaaaaaa ban hili topolo
 
Back
Top Bottom