min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Una uhakika 😁😁Weledi❌
Weredi✅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika 😁😁Weledi❌
Weredi✅
Umeshashenyentwa mkuu
Kamdomo kamdomo kamdomo 🙄
Tuliza pressure kijana😆😆Hovyo sana. Hawa Simba ni wepesi leo ilikuwa wapigwe 3. Nimeshangaa sana
Mpira ni burudani kijana Punguza mihemuko unaishia kuiabisha nafsi na kuipa tabu akili yako.Banio la kubania sufuria
Nimeshangaaa weledi ndio neno sahihi lakini kupaniki na ujuaji usio na msingi ndio umemfanya ajiaibishe 😂😂😂Una uhakika 😁😁
UNATESEKA na kuumia ukiwa wapi?Banio la kubania sufuria
Hapana ka ephen ni kadogo kangu wala hakana shida mkuu sema yanga inamlevya tu😆Nimeshangaaa weledi ndio neno sahihi lakini kupaniki na ujuaji usio na msingi ndio umemfanya ajiaibishe 😂😂😂
Basi kafundishe kawe na kiasiHapana ka ephen ni kadogo kangu wala hakana shida mkuu sema yanga inamlevya tu😆
Uko wapi sasa hivi? Nna shida na wewe tafadhali!!!Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.
Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...
Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Bora umenisaidia kumjibu, ningemjibu mimi kichwa kingemuuma.Hapana ka ephen ni kadogo kangu wala hakana shida mkuu sema yanga inamlevya tu😆
Naongea na min me inakuuma wewe vipi?Basi kafundishe kawe na kiasi
Uko wapi mida hii nije nikupige kalio kwa banio?Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa
Ongea naye PM sasa, hapa hadharani. Hata tukiona unatongozwa tunaingilia huwezi kutuambia kwani dudu ni yetuNaongea na min me inakuuma wewe vipi?
Kuingilia sio shida! Shida inakuja mtoto wa kiume tena mtu mzima unapoumia.Ongea naye PM sasa, hapa hadharani. Hata tukiona unatongozwa tunaingilia
😀😀😀😀Naongea na min me inakuuma wewe vipi?
Nitaongea tarehe 8 mwezi ujao.😀😀😀😀
Kipigo kapigwa tabora kumbe uto ndiyo imewachoma hivi hehehe tulia mkuu vuta pumzi shusha hahaha.
Pigaaaaaaa ban hili topoloSioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.
Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...
Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.