Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Banned na nani?Banned
Lugha ya wapi?Hivi BANIO ndio BAN ?
YUle hana akili na ni mpumbavu sanaKuna mwingine anayeitwa Shetani wa Yanga alidai Simba akishinda dhidi ya Tabora United basi mama yake mzazi ashenyentwe.
Hao wavimba macho wamekithiri sana kwa ubaradhuli wao. Yupo sasa anaombewa radhi mitandaoni.
tIGoBanned na nani?
Ok. Tigo imenibana mimi? Sawa.tIGo
Daaah.....angalia sana bint haya maneno yako utakuja yakumbuka siku moja.Wamekaa kileleni kama status za watsup
...hahahhaah
Kila kitu kina wakati braza...ni wakati wetu wa kuwanyali..ikifika zamu yenu tutawaachia wala hatutakumbuka kitu..Daaah.....angalia sana bint haya maneno yako utakuja yakumbuka siku moja.
Ukaishia kuambulia aibuSioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.
Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...
Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Tumewapa grace period. Kulia kupokezanaKila kitu kina wakati braza...ni wakati wetu wa kuwanyali..ikifika zamu yenu tutawaachia wala hatutakumbuka kitu..
imeshalegeaOk. Tigo imenibana mimi? Sawa.
Poyeeeee weeeTumewapa grace period. Kulia kupokezana