Kweli Ndoa yataka Moyo.....


mdada ndoa hujengwa na wawili. Kaeni pamoja mjadili kinyume na hapo ndoa inaweza kuwa chungu. Kwani huyo mdada c rafiki mwema bali nji m2 mbaya kwenu na hasa kwako
 
Ukitaka kuishi kwa raha na furaha acha kufatilia mambo yake ya nje ya mumeo, ili mradi tu awe anatimiza mambo yako ya muhimu, yaani... chakula cha mchana na kile chakula muhimu cha usiku na mengineyo ambapo tukitaka kuyaorodhesha yote hapa wino utaisha bila kuyamaliza.
 
shost kusoma hujui hata picha nayo huoni,hapo unaibiwa,jamaa bado ana mahusiano na huyo dada,kama vp vizia cm yake utajua ukweli,au anzisha timbwili la kupinga kuwasiliana kwao,wanakuchora hao aisee,ila poleeeee!
 
FP, umesema yote, hicho huwa ni kipindi cha majaribu, wengi wetu tumekipitia, be strong, watu tulifika hatua ya kulaliwa nje na humuulizi kalalia pande zipi na asubuhi anakuta umemwandalia kila kitu ye ni kuoga/kubadili hapo hujui kama atarudi au atalala huko huko, tumekipita pia, sasa hivi tunalisongesha kwa sana tu, na majaribu kama haya kwa wengi wetu tukiyavuka yanatupa ujasiri wa ajabu.
 
Yeah nakuunga mkono mkuu ulichosema ni kweli 100% ingawa inahitaji moyo wa pekee na ujasiri wa hali ya juu kusolve ishu kama hiyo kwa njia hiyo.
 
Hongera sana kwa kuishinda mitihani migumu kiasi hicho,ila pia pole sana kwa kupitia kipindi kigumu sana kama hicho.
 
hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke ambaye alikuwa X wake,lazima wanado.Mmeo lazima akufiche.Na inawezekana yule demu anapewa kichwa na mme wako,kwa nini akutukane?ila vumilia ndo ndoa hiyo.
Hujaulizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…