Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Ndugu wanajamvi!
Nakusalimuni nyote!
Tangu mama Samia ashike madaraka baadavya kifo cha bwana yule mama wa watu amechukua mrengo wa kiungwana huku akionesha dhamira ya kweli kutoka moyoni mwake kuliunganisha taifa lililokuwa limesambaratishwa na hayati bwana yulee.
Mambo yamekuwa yakienda vema kiasi kwamba mama akawa anaombwa na CHADEMA ahudhurie shughuli zao ambapo alihudhuria shughuli ya wanawake wa CHADEMA na wakamshangilia vema.
Ameendesha nchi kwa haki mpaka Mbowe kaondolewa mashtaka bandia na Lissu kapewa haki zako alizodhulumiwa na utawala wa hayati bwana yule.
Sasa sijui baada ya kula maharage ya wapi, wakaanza kumuandama na kumumbagua kwa uzanzibar wake huku wakikodi wanasheria wa kumtukana kama akina Nshalla na chapombe Mwabukusi bila hata hashima kabisa.
Wakaona haitoshi wakakodi baadhi ya watu wa makanisa kama akina Kitima na Mwamakula kuungana nao kumshambulia Rais lengo likiwa washitakiwe kisha mabwana zao wa nje ya nchi wawatetee! Kwa kweli CHADEMA ni genge ovu sana siyo chama cha siasa. HAKIFAI.
Nakusalimuni nyote!
Tangu mama Samia ashike madaraka baadavya kifo cha bwana yule mama wa watu amechukua mrengo wa kiungwana huku akionesha dhamira ya kweli kutoka moyoni mwake kuliunganisha taifa lililokuwa limesambaratishwa na hayati bwana yulee.
Mambo yamekuwa yakienda vema kiasi kwamba mama akawa anaombwa na CHADEMA ahudhurie shughuli zao ambapo alihudhuria shughuli ya wanawake wa CHADEMA na wakamshangilia vema.
Ameendesha nchi kwa haki mpaka Mbowe kaondolewa mashtaka bandia na Lissu kapewa haki zako alizodhulumiwa na utawala wa hayati bwana yule.
Sasa sijui baada ya kula maharage ya wapi, wakaanza kumuandama na kumumbagua kwa uzanzibar wake huku wakikodi wanasheria wa kumtukana kama akina Nshalla na chapombe Mwabukusi bila hata hashima kabisa.
Wakaona haitoshi wakakodi baadhi ya watu wa makanisa kama akina Kitima na Mwamakula kuungana nao kumshambulia Rais lengo likiwa washitakiwe kisha mabwana zao wa nje ya nchi wawatetee! Kwa kweli CHADEMA ni genge ovu sana siyo chama cha siasa. HAKIFAI.