Elections 2010 Kweli tarime kiboko!

Elections 2010 Kweli tarime kiboko!

Jamani kabla hamjatoa adhabu na hasira kwa wagombea toeni adhabu hizo kwa Viongozi wa NEC na wakurugenzi wa chaguzi ambao ni puppets wao! Hili lawezekana.

wale wako mbali....darisalama.....kuwapata itakuwa ngumu na nguvu itapungua....wao wanamtaka huyo walienae karibu.....MF hujaelewa tu vijana wanataka nini?
 
sasa huyo mwikwabe yeye ni nani asishindwe? Hadi kuzimia,siasa gani hizi? yaani uchu wa madaraka kiasi hiki!! hopeless kabisa.Aende aombe kazi nyingine afanye c ana degree ya pale mlimani cjui sayansi!!!
 
wale wako mbali....darisalama.....kuwapata itakuwa ngumu na nguvu itapungua....wao wanamtaka huyo walienae karibu.....MF hujaelewa tu vijana wanataka nini?
Kuna wakurya hata Dar Preta wafanye kwa niaba ya wenzao wa Tarime.
 
Kama kawaida tutawapelekea,kikosi maalum,mwanzo hawana mvuto wakitanzania,2nasifika na tabia ya ustaarabu,uraiya wao nina hatihati nao,baada ya Mheshimiwa kuapishwa,we have to do vatting kwa jimbo la Tarime,nahisi wakimbizi wanataka kuharibu jina letu

Una uraia gani wewe kwanza jina lako tu inaonyesha ni wale walionasa katika utamaduni wa watu wa jangwani pasipo kutafakari. Kwanza wengi wenu mibwege kweli ukitajiwa tu jambo linalohusiana na dini tayari umehamaki. Huna ustaarabu wowote ila uzezeta uliokujaa mpaka kisogoni ambacho kwako unauita upole.
Lazima watanzania tukitaka kujikomboa tuwe wanaharakati kama wakurya na wajaluo vinginevo hii mibwege inayovaa mikanzu kukimbia shule watatumaliza kwa tabia yao kufisadi mali zetu, kuweka kwenye kanzu na kujificha kwenye nyumba zinazoangalia nchi ya ujinga na kujilisha upepo
Wakurya Oyeeeeeeeee!!!!!!
 
tusifanye mzaha, wanaweza kuua ahwa watu jamani... tumefikia huko?
 
Kama kawaida tutawapelekea,kikosi maalum,mwanzo hawana mvuto wakitanzania,2nasifika na tabia ya ustaarabu,uraiya wao nina hatihati nao,baada ya Mheshimiwa kuapishwa,we have to do vatting kwa jimbo la Tarime,nahisi wakimbizi wanataka kuharibu jina letu

kichwani mwako kuna mavi ... badala ya ubongo !!
 
Naogopa nkisikia uchaguzi mdogo! Apo mara nyingi ni kuwa mahakama imetengua ushindi au mtu kafa,watani wangu wakurya,msinyofoe roho ya mtu mana najua hamna mahakama ya wakurya! Kumbuka ndugu uyo alitaka ubunge aidha apate ugali au auze sura au mambo yake yanyoke kama kuingiza vitabu ya Nyangwine kwenye mtaala wa Sekondari ili mifuke yake isinyauke itune. Hata angekuwa nani angetamani ubunge,tuunganishe nguvu kushinikiza haki ipatikane,tupinge mahakamani na tupetite Nec ivunjwe. Mungu apendi hata roho moja ipotee,labda ikishindikana!
 
Jamani huyo nyangwine namfahamu tangu tunasoma wote mara and then mkwawa, yaani ni kilaza hata kuongea hajui .
 
Nashauri waende mahakamani, na si kufanya vinginevyo- Nyangwine, tumia vipeperushi vyako kama kawaida kutoa ujumbe na si kutishia kwa aina hii- Does not work that way. Yeye katangazwa na nec, ni jukumu lenu kuishinikiza tume kufanya mnavyofikiri ni sahihi lakini si kutishia maisha. Unajua hii inazungumzia sana maisha binafsi
 
kama kalazimishiwa na nec please wanatarime fanyeni kitu kuwe na uchaguzi mwingine hapo, hakuna kudanganyika karne hii, toeni hard tyme kwa yeyote aliehusika, mbona mjini wamekuwa waungwana na kutangaza hali halisi? tena bila kulazimishwa? aondoke bwana ufisadi ndo huleta umaskini nchini! mura hoyeeee
 
Jamani huyo nyangwine namfahamu tangu tunasoma wote mara and then mkwawa, yaani ni kilaza hata kuongea hajui .

tooooo personal, did u campaign4him?. You dont need to display u a personal hatread in the forum. He remains beter than u and tha is why he worn.
 
Wajazeni misifa ya kijinga na kinafiki humu huku ninyi mkiendelea kubofya kwenye keyboards zenu. Ubunge wa Tarime una tofauti gani na majimbo mengine?
 
dawa ni ku-chop shingo yake tu... hakuna mahakama yenye kutoa haki hapa tanzania zaidi ya nguvu ya umma...
 
Wote tungekuwa kama hawa...nchi ingenyooka...KIBAHA,MWANZA...wanakopi TARIME...good move
 
...mwaaanawumee anakufa bhiiibaaya taaata!!! Hawa jamaa nachopendea hawatoi adhabu bila kutoa tahadhari! Ila usiposkia onyo, chaaa mooto wutakiwona mura!
 
wananchi wa tarime wamedai kuwa watamkataa kwa njia wanayoijua mbunge mteule wa ccm , nyangwine!

msemaji wa kamati maalumu itakayohakikisha kuwa azma hiyo inatekelezwa haraka na kama walivyopanga (jina nalihifadhi) amesema:

'tumemkataa huyu mgombea wa ccm kwa kumnyima kura lakini tume imemrejesha. Sasa tumeamua kumkataa kwa njia tunayoijua sisi, cha msingi nec ianze maandalizi ya uchaguzi mdogo jimboni hapa. Kama wanadhani tunatania subirini mtaona'

swali: Hawa jamaa wanataka kufanya nini?

CCM wenyewe wanajua Tarime hawatakiwi, lakini wanalazimisha.
 
Back
Top Bottom