Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Kila mtu ashind mech zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini Yanga haijawahi kufikia hatua ya Makundi klabu bingwa kwa miaka 25 sasa, ni hatua ngumu sio mchezo, sema watu wanaona Simba inashiriki kila mwaka wakadhani ni rahisi...Mtani Ile danganya toto tu, Eng Hersi anachotaka ni kombe sio kushiriki! Ile ni staili ya kutuliza mashabiki tu maana Pira GAMONDI mashabiki mzuka umepanda sana ni burudani mwanzo mwisho hata Diarra kaambiwa na kocha nayeye awe anaenda mbele kufunga! Hii Yanga itawatesa na kuwapoteza timing Makolo wengi for many years!
Ufalme wa Simba kwenye ligi ya bongo wote kwishney! Power Dynamos wamesema wanaiogopa sana Yanga yenye wachezaji 13 wanaocheza vikosi vya kwanza timu zao za Taifa ( hapa nimemjumuisha Mayele maana bila Yanga asingekuwa mchezaji hatari)! Power Dynamos Wameahidi kuikanda Simba kwao na mi nadhani Kwa ubovu wa Simba hii watafaulu!
Wamesahau ni juzi tu hapa wamegeuzwa mbumbumbu kwa mara nyingine tena na mwenyekiti wao Mangungu kwa kuwaletea Caesar Manzoki awasalimie siku ya uchaguzi!! Halafu kwa kigezo hicho eti wakampa kura za kishindo!! 😃Mikia bana 😂😂 mtaelimika lini nyie