Kweli Tumetoka Mbali, Sio El Merrekh Wala Power Dynamo Waliopokelewa Airport kwa Maandamano

Lakini Yanga haijawahi kufikia hatua ya Makundi klabu bingwa kwa miaka 25 sasa, ni hatua ngumu sio mchezo, sema watu wanaona Simba inashiriki kila mwaka wakadhani ni rahisi...

ukitaka kujua ugumu wa kufikia hatua ya makundi klabu bingwa, waulize viongozi wa Yanga, wanajua ugumu wake zaidi kuliko mashabiki maandazi
 
Aliyekuwa anapokea wageni, naye anashiriki kimataifa...
 
Tulikuwa tunaaibishwa mno na Wale waliokuwa wanaandaa Maandamano ya Mapokezi..!
 
Hakuna cha kustaarabika wala nini. Sema mashabiki wa timu zote mbili wana stress tu kwa michezo yao maana bado hawajafuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…